Na kama kweli Dk. Slaa ametoa kauli hii na kusema maneno ya namna hii basi sasa Watanzania wanayo kila sababu na haki ya kuamini kuliko wakati mwingine wowote kuwa mzee huyu (Slaa) sasa amechanganyikiwa na ni mtu wa hatari sana kwa utulivu wa nchi hii.Hapa Dr Slaa, kule Wickleaks! Ikulu sasa joto iko juu!
Hiyo wala si lugha kali kama watu wanavyotaka kusema. Lakini kama mtu angesoma ila Tz Daima between lines, hakuna sehem ambayo ilimuhusisha Kikwete kwamba ndiye mmliki zaidi ya Title.
Habari ilikuwa by implications na ile ilikuwa ni politics. Kwa bahati mbaya Ikulu nao wameingia na sasa watakuwa wanafanya kazi ya kukanusha. Wangekaa kimya na wakaishughulikia DOWANS kivingine wangepata heshma zaidi kuliko kuhangaika kukanusha.
Kiuhalisia Kikwete hawezi kuwa mmiliki ila by implications.
Jamani mbona kila baya awe anasukuwa tu JK, tatizo ni nini hasa ndugu zetu?
Hii sasa inafika mahali mpaka inaudhi kweli. Ndiyo maana tangu sasa bora ikulu iwekiwaporomosheeni matusi ya nguoni hivyo ndiyo mkome na umbeambea wenu huo.
Na kama kweli Dk. Slaa ametoa kauli hii na kusema maneno ya namna hii basi sasa Watanzania wanayo kila sababu na haki ya kuamini kuliko wakati mwingine wowote kuwa mzee huyu (Slaa) sasa amechanganyikiwa na ni mtu wa hatari sana kwa utulivu wa nchi hii.
Shuleni kwetu, mtu mmoja hakwenda mchakamchaka asubuhi kwa sababu aliuhusudu usingizi. Alipotafutwa na mwalimu wa zamu, akajifanya kichaa. Watu wakambeba kumpeleka hospitali ya vichaa. Akagoma akisema mimi siyo kichaa! Wakazidi kumbeba, naye akazidi kusema, mimi siyo kichaaxn. Je, wangemwaminije kama siyo kichaa? TAFAKARI....!
Hii historia ndeeeeeefu ya IKULI inasaidia nini?
IKULU YA KIKWETE, TUAMBIENI, NANI ANAMILIKI DOWANS?
Kukataa kujibu ni kukubali kuwa DOWANS ni ya JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Tatizo hapa si kuwa mmiliki moja kwa moja lakini huyu kama mkuu wa nchi hawezi kukwepa kujua kuwa nani mmiliki wa Dowans.Yeye ana mbinu nyingi za kujua mmiliki.Lakini kakwepa kuzungumzia.Salva atakanusha sana lakini ipo siku atajua.
Hivi Kikwete anamiliki Dowans kama Rais au kam Kikwete?
Endapo anamiliki Dowans kama Kikwete kwa nini mtumishi wa ikulu anamtetea?
Kwa nini Kikwete mwenyewe asijitetee?
Dr Slaa hakusema Dowan inamilikiwa na Rais katika maana kwamba kila Rais wa Tanzania atakaye kuja atakuwa mmiliki by default.
Kikwete ni mmilikiwa wa Dowans kama mtu binafsi, sioni haja ya Salva kujipendekeza kama kiuno katika sakata hili.
Naungana na Dr Slaa kusema mmiliki halali wa mitambo ya DOWANS ni JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Kwa hiyo na wewe ni "kizabizabina" kama Silaa?