IKULU, Dar: Rais Samia Suluhu apokea hati za Mabalozi

SUKUMA GANG mnaonekana kupata shida kwenye kila afanyalo SSH, leo hii mmesahau kuwa mwendazake alikuwa hata akila mahindi barabarani tunaonyewsha, hata akipewa kuku kama mahari ya mama yake mlikuwa mnatuonyesha, akienda kusali mnatuonyesha?
SG ni shida aisee ,hivi tufanyeje hawa watu ?
 
Tena alikuwa anataka afanye ufunguzi hata wa kisima cha maji, anapiga push ups nayo inakuwa habari.

Alikuwa anatembea na maburungutu ya fedha kama papaa, anakula kijiweni nayo habari, Mara ananunua mapapai nayo inakuwa habari.

So heri mama anafanya Mambo ya maana sio kupiga push ups na kutafuna mahindi na kununua kuku barabarani.
Kwa kweli marehemu aliwadharau sana Watanzania.

Kwa zaidi ya 90% siasa zake zilikuwa za uwongo na hila. Alifurahia sana uwepo wa wajinga wengi maana hao aliwafanya mayeka wake.

Wakidanganywa, ndani ya makinikia kuna dhahabu 90%, wanashangilia. Akiwadanganya, Tanzania ina uwezo wa kusaidia Ulaya,wanashangilia. Akiwadanganya kuwa yeye ndiye aliyejenga kilometa nyingi za lami kuliko awamu nyingine yoyote, wanashangilia. Akiwadanganya kuwa utawala wake ndio wa kwanza kununua ndege nyingi, wanashangilia.

Utawala wa marehemu ulifanya maovu mengi kuliko mema. Tufanye jitihada na tumwombe Mungu, isitokee kipindi hata kimoja, Taifa letu likaangukia kwenye utawala unaofanana na wa marehemu.

Tunakushukuru Mungu maana aliyaona machozi ya Watanzania. Tuliomba tupate kiongozi mzuri, tuliomba utuondolee kiongozi dhalimu na dhulumati. Hatukuomba kifo. Lakini kama hekima yako iliona ndicho kilicho heri kwa wengi wenye kudhulumiwa na ambao wangeendelea kudhulumiwa, ni nani sisi hata tuihoji hekima yako?

Tunakushukuru Mungu maana mtawala alikuwa tayari kutesa na kuua walio wengi wenye kumkosoa na waliotaka mabadiliko, wewe mkuu mwenye hekima, kwa kuwapenda watu wako, ukayaleta bila hata ya tone moja la damu kupotea. Huenda tumeshukuru kidogo kwa kuwaokoa walioteseka, na kwa hilo tunaomba usituhesabie kosa maana sisi ni dhaifu wa akili na mioyo. Daima tunahitaji msaada wako. Daima tunaomba kilicho chema katika maisha yetu, japo kuna wakati hata hatujui ni kipi kilicho chema.
 
Kinachokuuma ni nini ,wakati mlipokuwa mnahimiza tiba za zama wa kale za mawe mbona tulikaa kimya ?acheni sindano iwangie pande zote za mwili .Mama piga mzigo ,tuko na wewe
Alichokuwa anafanya Jiwe ni kile ambacho alikuwa akikiamini hata yeye mwenyewe na alifanya kwa manufaa ya wananchi wake hakutaka kulishughulikia hili jambo kwa ajiri tu ya kuwaridhisha wazungu kama ambavyo sasa kunafanyika, ukiangalia serikali wenyewe hawaamini hata huko katika kuvaa barakoa ila wanafanya ili tu kuwaridhisha wazungu ili tupate misaada. Kwahiyo katika hili kiuhalisia bado tunaishi katika misimamo ya Magufuli ila tu kwa kuwa tunataka hela za wazungu hivyo lazima tujioneshe kuwa tupo pamoja.

Sasa wewe unashanga kutumika tiba asili kwenye corona wakati duniani mapambano ya corona yanaongozwa kisiasa zaidi kuliko sayansi ila wewe hushangai hilo.
 
Hayo mabarakoa yao wasije tulazimisha na raia tuvae kwa lazima, ameshaua uchumi wa utalii na biashara kwa kulazimisha all foreigners quarantine kwa 14 days, sasa asitulazimishe na mabarakoa yake.

Kama kweli kasema hivyo, Haya basi flights gani zimesitisha safari kuja hapa nchini kutokana na hilo?
 
Hayo mabarakoa yao wasije tulazimisha na raia tuvae kwa lazima, ameshaua uchumi wa utalii na biashara kwa kulazimisha all foreigners quarantine kwa 14 days, sasa asitulazimishe na mabarakoa yake.
We ni matako Sana Una hasira za kutoteuliwa nyantele
 
Back
Top Bottom