Iko wapi Cement ya 8,000/=? Nataka nianze ujenzi

Tuliahidiwa kuwa bei ya Cement itafika 8,000/= kiwanda cha Dangote kikianza kazi. Sasa kimesha anza nahitaji mifuko 60 kuanza ujenzi nimezunguka maduka kadhaa bei ni 12,000-13,500. Sasa mimi natafuta ile ya buku 8. Nitaipata wapi?
Ilikuwa ni polojo tu mkuu..kama vp funga mkanda
 
Tuliahidiwa kuwa bei ya Cement itafika 8,000/= kiwanda cha Dangote kikianza kazi. Sasa kimesha anza nahitaji mifuko 60 kuanza ujenzi nimezunguka maduka kadhaa bei ni 12,000-13,500. Sasa mimi natafuta ile ya buku 8. Nitaipata wapi?
Tafuta Jembe cement ni cement nzuri sana na bei yake kila mtanzania ana mudu ni shilingi 8,500 Tsh.
 
Tuliahidiwa kuwa bei ya Cement itafika 8,000/= kiwanda cha Dangote kikianza kazi. Sasa kimesha anza nahitaji mifuko 60 kuanza ujenzi nimezunguka maduka kadhaa bei ni 12,000-13,500. Sasa mimi natafuta ile ya buku 8. Nitaipata wapi?
Was an invitation to treat
 
ukiipata nunua nyingi mkuu, na mim nahtaji lakn nadhani hzo za buku 8 ni mpka lagos
 
mkuu elfu nane ilikuwa bila kodi za serikali,now available at 11,500TZS per bag
 
Back
Top Bottom