Ikiwa October 29 ilikuwa birthday ya hayati Magufuli, vipi kuhusu March 17?

Ikiwa October 29 ilikuwa birthday ya hayati Magufuli, vipi kuhusu March 17?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Salaam!

Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli.

Sasa tunaelekea March 17 siku tuliyotangaziwa kifo Cha Magu, na ukizingatia akiba ya dhahabu mzalendo Magu aliyoitunza benki kuu Ili kuifanya nchi yetu kuwa donor county, dhahabu hiyo, wahuni wanapanga kupiga bei wagawane.

Unaona Nini mbeleni?

Karibuni!
 
Salaam!

Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli.

Sasa tunaelekea March 17 siku tuliyotangaziwa kifo Cha Magu, na ukizingatia akiba ya dhahabu mzalendo Magu aliyoitunza benki kuu Ili kuifanya nchi yetu kuwa donor county, dhahabu hiyo, wahuni wanapanga kupiga bei wagawane.

Unaona Nini mbeleni?

Karibuni!
Mliambiwa siku yoyote pangeni huo ujinga wenu, lakini muage kwa wazazi wenu ili wasianze kujiliza mbele ya kamera za ITV na TBC, ili pia msianze kujiliza kwa wazungu wa ICC.
 
Salaam!

Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli.

Sasa tunaelekea March 17 siku tuliyotangaziwa kifo Cha Magu, na ukizingatia akiba ya dhahabu mzalendo Magu aliyoitunza benki kuu Ili kuifanya nchi yetu kuwa donor county, dhahabu hiyo, wahuni wanapanga kupiga bei wagawane.

Unaona Nini mbeleni?

Karibuni!
 
Mbwa aina ya yule aliyemalizana na kingunge waliisha?
 
Hii mipango yenu inachekesha sana, mara capt tesha, mara kanali uongostino, mara kikundi cha uasi, mara naona mnaelekea march 17
-geti lilishafunguliwa na mkaambiwa anzishen muda wowote,
-msije anza kujiliza hapa mara icc, mara tecdema mara bagonsha kaandika na ujinga ujinga mwingi
 
Hii mipango yenu inachekesha sana, mara capt tesha, mara kanali uongostino, mara kikundi cha uasi, mara naona mnaelekea march 17
-geti lilishafunguliwa na mkaambiwa anzishen muda wowote,
-msije anza kujiliza hapa mara icc, mara tecdema mara bagonsha kaandika na ujinga ujinga mwingi
Basi sawa
 
Back
Top Bottom