Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,352
- 95,134
Hivi Yesu alikuwa dini gani?
Alisali kulingana namna wazazi na jamii yake ilivyosali...
Kwenye Bible inaonesha aliingia kwenye masinagogi n.k
Hivi Yesu alikuwa dini gani?
Unamaanisha "uyahudi" usipige chenga.Sasa,mbona weye mfuasi wake ni mkatoliki na si "the Jew"?Alisali kulingana namna wazazi na jamii yake ilivyosali...
Kwenye Bible inaonesha aliingia kwenye masinagogi n.k
Unamaanisha "uyahudi" usipige chenga.Sasa,mbona weye mfuasi wake ni mkatoliki na si "the Jew"?
Lengo lenu hapa ni kuwatafuta wakatoliki ubaya tuu
Walokole wa bongo bhana...
Sasa,kwa nini "tuchokonoane" kwa kusema "hilo" halijaandikwa kwenye Bible?Wapi imeandikwa tuwe waKristu wakati "yeye" hakuwa mKristu?Sasa mkuu, sisi sote si tunaishi baada ya Kristo kuwepo...
dahNakuamuru usinywe.Mimi nimekuambia.Kaa kwa huzuni kama umeibiwa hela.
Dawa ni kutoa majibu ya tricks tu.
Yesu anahukumiwa unasema furaha, Leo tunahuzunika nae pamoja.....nikumbukizi,Kufa kwa Yesu kristo msalabani ni jambo la furaha, shangwe na ushindi katika imani ya Kikristo maana ndio lilizaaa ukombozi, sasa kwanini watu wakae na huzuni, unyonge na kujinyima?
Wakristo kuleni vinono leo.
Sasa,kwa nini "tuchokonoane" kwa kusema "hilo" halijaandikwa kwenye Bible?Wapi imeandikwa tuwe waKristu wakati "yeye" hakuwa mKristu?
Hiyo ilikuwepo kabla ya Yesu kuja.....Hizo ni amri za kanisa. Ziliwekwa na binadamu kama wewe, kama huna imani nao we kula.
Hahahahaha....Wakristo maanaa yake ni wafuasi WA Kristo,sijui umeelewaSasa,kwa nini "tuchokonoane" kwa kusema "hilo" halijaandikwa kwenye Bible?Wapi imeandikwa tuwe waKristu wakati "yeye" hakuwa mKristu?
Nyama ni aina mojawapo ya chakula ambacho anatakiwa kula binadamu. Unapoihusisha nyama na furaha kama sehemu ya sababu ya kuzuia watu kula nyama siku ya huzuni napata wasiwasi kuhusu uelewa wako.Siku ya huzuni unaanzaje kula vinono?Anateswa,kutwezwa,kutokwa damu na kusulubiwa msalabani hadi kufa.Kula nyama ni kiashiria cha furaha na ufahari.Kwa nini ulie huku unacheka?Halafu ni siku moja tu/masaa machache nini kinakushinda?Kwani kila siku huwa unakula nyama?
wangejaa km pishi😂😂😂 ila amekuta anaepigana nae hana tym ya kutafta ushindi wa maneno,Uzuri bana hatunaga mapovu wangekua walee waleeeee wangeshajaa hapa kumwaga povu la imani yao kusakamwa.
Kama sio mkatoliki kula tu hakuna atakayekuchapa fimbo😂😂😂😂
Wapi imeandikwa kwenye Bible tuwe "waKristo"?Hahahahaha....Wakristo maanaa yake ni wafuasi WA Kristo,sijui umeelewa
Wewe ndio unachanganya madema.Unachanganya habari/madesa/taarifa.Furaha huja siku ya kufufuka kwake.Haleluya!
Mkuu,weye endelea kupata "mawasiwasi" na uelewa wangu tu.Kijijini kwetu na kwa "Imani" yangu,kula nyama ni ishara ya furaha na ukwasi mwingi.Italiwa siku akifufuka Masihi Yesu Kristo.Nyama ni aina mojawapo ya chakula ambacho anatakiwa kula binadamu. Unapoihusisha nyama na furaha kama sehemu ya sababu ya kuzuia watu kula nyama siku ya huzuni napata wasiwasi kuhusu uelewa wako.