Mdizi Mungu hakupumzika siku ya jumapili, biblia imesema Mungu alifanya kazi kwa siku sita na alipumzika siku ya saba, so hiyo jumapili ilitengenezwa tu na ionekane kama ndio siku ya saba! ukifuatilia kiswahili jumapili ina maanisha siku ya pili ya juma ( second day of the week) na siku ya kwanza ni juma mosi! lakini hapa simaanishi kuwa Ijumaa ndio hasa hiyo siku ya saba aliyopumzika Mungu, yaweza kuwa ni jumapili, jumatatu jumanne au siku yoyote utakayo, ni jinsi tu unavyotaka wewe kuhesabu siku zako za juma! Kuhusu kupumzika Ijumaa hii ni uvivu tu, hata mafundisho ya UISLAM hayasemi hivyo kuna hadithi inasema mtume Muhamad aliwahi kuwaambia waumini wake baada ya swala ya Ijumaa..." Enyi mlioamini punde mmalizapo kuswali swala ya Ijumaa, tawanyikeni juu ya uso wa ardhi mkatafute ridhiki.."! So hata Muhamad alijua kuwa hakuna kulala kabla au baada ya swala ya Ijumaa!Proove it!
Mkimaliza hilo, msisahau kudai mashuleni wafundishwe kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto kwa masomo yote, hesabu, kiswahili, sayansi nk.
Bila kusahau kalenda zote maofisi ya serikali ziwe za mwaka wa kiislam sio hizi za mfumo kristo. Wanafunzi wasiandike tarehe za kimfumo kristo, waruhusiwe kutumia tarehe za kiislam kwenye madaftari kama walivyoruhusiwa kuvaa hijab.
mungu alipumzika siku ya jumapili ..... period
don't head against nature
Sawa..
na Mwaka tuhesabu kiislamu
humu JF pia tuandike kiarabu
tusifuge nguruwe wala Kupaza mahotelini
Bar zote zifungwe
tusiwe na Mahayana ya serikali Bali mahakama ya kadhi tu
wakristo pia waabudu ijumaa
tusile samaki bila kuchinjwa
wanawake wote wafunike nyuso na Miili yao
wanaume wote wafuge ndevu
etc,etc
Matunda ya Hotuba na Mafundisho ya Chuki kila wanapokutana. Hawakuweka wao huu ni Utaratibu uliokuwepo dunia yote sawa na Gregorian Calender inayotupa mwaka, miezi na siku. Maybe tujaribu kuisimamisha dunia kujizungusha ili tuzipe Siku majina ya Kiarabu
uumini wa Ki-Bendera Fausta upepoMkuu, hata samaki achinjwe, du!! Hiyo kali.
Imani tusizozielewa hizi ni hatari mkuu wangu. Ilitokea jamaa alikwenda kuwinda nyati kule West Kilimanjaro na Muhidin hakutaka kula kibudu eti akammalizie kwa kumchinja, sasa sijui angemwelekeza kibra ipi. Yule nyati alimkurupukia kidogo amchote pembe,
tulipomwambia tayari sasa chinja, alikataa na wote tulikula kibudu cha Mbogo.
Mungu alisema ikumbuke siku ya sabato uitakase.siku Hiyo usifanye kazi yoyote.kama jumapili ni ya saba kwa nini biblia iseme siku ya kwanza akafufuka?tuwe wasomi bwana,nawapa big up wasabato.ikawa jioni ikawa asb ndio siku zinavyooenda na Wala siyo ikawa saa sita usiku kama baadhi ya wachungaji wanavyokesha kusubiri siku kuanza usiku saa sita.hata quran. Inakubaliana na biblia na kuiheshimu jumamosi ya hawa wasabato.mimi ni mroma ila week hii naacha nikomae na usabato ndio njia.
Sawa..
na Mwaka tuhesabu kiislamu
humu JF pia tuandike kiarabu
tusifuge nguruwe wala Kupaza mahotelini
Bar zote zifungwe
tusiwe na Mahayana ya serikali Bali mahakama ya kadhi tu
wakristo pia waabudu ijumaa
tusile samaki bila kuchinjwa
wanawake wote wafunike nyuso na Miili yao
wanaume wote wafuge ndevu
etc,etc