Ijumaa iwe siku ya mapumziko: Nini ushauri wako?

Ijumaa iwe siku ya mapumziko: Nini ushauri wako?

Easly so damn easy!Step back to where you belong! Go and a get a handgun from wher you hides it,kill yaself to make sure you have taken yr own life. You will meet your maker, to whom he had sunday as a day off 4 u&me.

and here you are calling yourself a great thinker! What a wishful thinking?
 
Mkimaliza hilo, msisahau kudai mashuleni wafundishwe kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto kwa masomo yote, hesabu, kiswahili, sayansi nk.
Bila kusahau kalenda zote maofisi ya serikali ziwe za mwaka wa kiislam sio hizi za mfumo kristo. Wanafunzi wasiandike tarehe za kimfumo kristo, waruhusiwe kutumia tarehe za kiislam kwenye madaftari kama walivyoruhusiwa kuvaa hijab.
 
Mungu alisema ikumbuke siku ya sabato uitakase.siku Hiyo usifanye kazi yoyote.kama jumapili ni ya saba kwa nini biblia iseme siku ya kwanza akafufuka?tuwe wasomi bwana,nawapa big up wasabato.ikawa jioni ikawa asb ndio siku zinavyooenda na Wala siyo ikawa saa sita usiku kama baadhi ya wachungaji wanavyokesha kusubiri siku kuanza usiku saa sita.hata quran. Inakubaliana na biblia na kuiheshimu jumamosi ya hawa wasabato.mimi ni mroma ila week hii naacha nikomae na usabato ndio njia.
 
Wanataka kupumzika baada ya kufanya nini? Kazi zenyewe za kufanya hakuna........nafikiri angeongelea katiba iiibane serikali kuanzisha ajira zaidi ningemuaona wa maana
 
Maandiko ya wakristo yako wazi 'fanya kazi siku sita siku ya saba upumzike' tena iheshimu siku ya sabato na uitakase,sasa hawa waislam wameandikiwa wapi? Au wanataka kutumia bible na kuacha ile nanihii iliyokojolewa na dogo,haya sasa ni mashindano ambayo hamtayaweza,wakristo wanafuata maandiko yao na nyinyi waislamu fuateni yenu acheni uvivu wa kufikiri.
 
Easly so damn easy!Step back to where you belong! Go and a get a handgun from wher you hides it,kill yaself to make sure you have taken yr own life. You will meet your maker, to whom he had sunday as a day off 4 u&me.

Mkuu naona huyo atakuwa wale Masalia.
 
Mungu alisema ikumbuke siku ya sabato uitakase.siku Hiyo usifanye kazi yoyote.kama jumapili ni ya saba kwa nini biblia iseme siku ya kwanza akafufuka?tuwe wasomi bwana,nawapa big up wasabato.ikawa jioni ikawa asb ndio siku zinavyooenda na Wala siyo ikawa saa sita usiku kama baadhi ya wachungaji wanavyokesha kusubiri siku kuanza usiku saa sita.hata quran. Inakubaliana na biblia na kuiheshimu jumamosi ya hawa wasabato.mimi ni mroma ila week hii naacha nikomae na usabato ndio njia.

Haya....
 
Mkuu naona huyo atakuwa wale Masalia wasabato..

Mkuu, sipo huko..ila nimeuliza swali, how can he or you proove what ge said is real?..Sasa kwa kuwa bado sijakubaliana na wewe kwa kutotoa maelezo tena mtu alipokuomba utoe kashfa?

Hakuna kitu kama hicho, si uungwana..si watu wote wanajua mambo yote, Inawezekana anajua(so aeleze how) kama hajui(hakuna ubaya akilifanyia utafiti au kukubali hana uhakika sana katika jambo hilo)..Where is the harm in that?
 
Tatizo Waislamu wamebaki kulumbana na utaratibu wa Wakristo na kusahau mafundisho ya dini yao!!! Kwani korani imeandika wapi kwamba Waislamu wanapaswa kupumzika ijumaa?? Nchi nyingine waislamu wanapumzika hiyo ijumaa? Huu nao ni ujuha mwingine!!
Bora useme wewe KIAZI,nikisema mimi MUHOGO mchungu!
 
Mie nadhani itapendeza kama itakuwa siku ya maandamamo. Manake kwa waislamu huwakilisha siku ya hasira na vurugu kama njia ya kumheshimu Allah.
 
Waache wanaopenda kulala kwenye majanvi walale tu, ili waukaribishe umasikini kwa kasi zaidi na nguvu zaidi, ili maisha yaweduni kwa walalao majanvini. WANA WA MUNGU FANYENI KAZI KWA KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI, SOMENI ELIMU DUNIA KWA SANA, FANYENI KAZI SIKU SABA ZOTE KWA JUMA ILI JAMAA WAZIDI KALALAMA KUWA WANAONEWA. Kazi kazi wana wa Mungu, mpaka kieleweke...
 
Hivi hawa ni Great thinkers ama mambumbu, mtu katoa maoni yake nyie mnaanza kuponda na kuponda kuhusu dini ya watu, si vizuri, kama huna la kuchangia si bora mtu utulie? sio uanze kuponda hasa kwa vitu usovijua. Toeni maoni yenu si kukejeli dini ya mtu.
 
Baaasi isiwe siku ya Mapumziko kwani Jmosi na Jpili zinatosha saana zikizidi hapo tutakuwa na Taifa la wavivu
 
Naomba nisaidiwe kueleweshwa kama nchi za kiislamu,kama vile saudi arabia,iran,pakstan,nk,kama ni sheria siku ya ijumaa ni ya mapumziko
 
Mungu ana namna nyingi sana za kuwaadhibu wanadamu hapa hapa duniani. Idadi ya Waislamu katika ardhi ni sawa na kiwango cha adhabu ambacho Mungu amekielekeza kwa taifa husika.

Hivi katika mambo yooote yanayolikabili taifa letu, hawa wenzetu wao ubize ni kwenye kushindanisha nini cha nani na kwa nini huyu kafanyiwa hivi mimi sijafanyiwa.

Huu ujinga wa kuwa Wakristo wanasali Jumapili sijui umetoka wapi. Wakristo (labda niwasemee Wakatoliki ambao ndio nawafahamu) hawasali jumapili. Sisi Wakatoliki tunasali SIKU ZOTE. ILA, kwa kuwa Jumapili ni PUBLIC HOLIDAY, basi tunakusanyika na kufanya DOMINICA.

Naamini hata watu wengine wenye akili, wangeweza kuitumia Jumapili kuabudu kwa kuwa wapo nyumbani. Bila shaka mnaweza kuona hata siku ya Mwaka mpya, hata iwe Alhamisi, basi Kanisa katoliki hufanya misa
 
UDINI UNAANZA KUWATAFUNA WATANZANIA POOOOOLEPOLE! HIVI KUNA UFAHARI GANI KWENYE USHABIKI WA KIDINI? wakati hata wengine kwenye nyumba za hibada hamuonekani.Jiepusheni na mabishano ya udiniudini kama mnatamani kuwa waumini wa AMANI duniani!BE CAREFUL HUO SIO UFAHARI
 
mungu ana namna nyingi sana za kuwaadhibu wanadamu hapa hapa duniani. Idadi ya waislamu katika ardhi ni sawa na kiwango cha adhabu ambacho mungu amekielekeza kwa taifa husika.

Hivi katika mambo yooote yanayolikabili taifa letu, hawa wenzetu wao ubize ni kwenye kushindanisha nini cha nani na kwa nini huyu kafanyiwa hivi mimi sijafanyiwa.

Huu ujinga wa kuwa wakristo wanasali jumapili sijui umetoka wapi. Wakristo (labda niwasemee wakatoliki ambao ndio nawafahamu) hawasali jumapili. Sisi wakatoliki tunasali siku zote. Ila, kwa kuwa jumapili ni public holiday, basi tunakusanyika na kufanya dominica.

Naamini hata watu wengine wenye akili, wangeweza kuitumia jumapili kuabudu kwa kuwa wapo nyumbani. Bila shaka mnaweza kuona hata siku ya mwaka mpya, hata iwe alhamisi, basi kanisa katoliki hufanya misa


wewe kweli ni haswaa mtoka pabaya
sasa kama vile ilivo kwako wewe mkatoliki juma pili ni siku kuu ndivo ivo ivo ilivo kwa waislam ijmaa ni siku kuu yao katika siku saba za wiki
sasa povu linalokutoka ni la nini
kama unawakilisha maoni yako ulikua una haja gani ya kuleta kashfa
 
Back
Top Bottom