:mvutaji: :mvutaji:
HIZI MAMBO UWE UNAVUTA KWA VIWANGO BASI
:confused2:[/QUOTE
Wahusika wamenielewa...
Pia napendekeza Ijumaa iwe siku ya MAANDAMANO
Hakuna aliyemzuia kupumzika yeye na familia yake hata kwa katiba ya sasa. Cha msingi watumishi wa umma wafanye kazi hadi saa 10.30 jioni halafu warudi nyumbani wakapumzike. Mimi huwa nafanya kazi Jumatatu hadi Jumapili, lakini pia huwa napumzika Jumatatu hadi Jumapili.
Mambo ya kufikiria kulala kwenye majamvi misikitini siku nzima ndio yanayotuletea umasikini
Dharau na kejeli ndio mila zenu.....lakini nini msingii wa kuwekwa JuMAPILI kuwa ndio siku ya mapumziko? bila shaka imewekwa na wakoloni kwa sababu wao jumapili ndio siku ya kwenda kanisani ...ingawa sasa hivi hawendi makanisani hapa kwetu..ila jumapili imebaki siku ya ulevi na zinaa..Hakuna aliyemzuia kupumzika yeye na familia yake hata kwa katiba ya sasa. Cha msingi watumishi wa umma wafanye kazi hadi saa 10.30 jioni halafu warudi nyumbani wakapumzike. Mimi huwa nafanya kazi Jumatatu hadi Jumapili, lakini pia huwa napumzika Jumatatu hadi Jumapili.
Mambo ya kufikiria kulala kwenye majamvi misikitini siku nzima ndio yanayotuletea umasikini
Tuwaache wapumzike Ijumaa, nasiku za Jumamosi na Jumapili wafanye kazi
Mkinga nali mkinga, lakini nali boni tauniMkuu, uwe unasoma post za wenzako; umeshaambiwa kuwa katika Quoran hakuna popote palipoandikwa "fanya kazi siku sita, Ijumaa upumzike!" na hakuna aliyekanusha hilo bado.
Mungu ana namna nyingi sana za kuwaadhibu wanadamu hapa hapa duniani. Idadi ya Waislamu katika ardhi ni sawa na kiwango cha adhabu ambacho Mungu amekielekeza kwa taifa husika.
Hivi katika mambo yooote yanayolikabili taifa letu, hawa wenzetu wao ubize ni kwenye kushindanisha nini cha nani na kwa nini huyu kafanyiwa hivi mimi sijafanyiwa.
Huu ujinga wa kuwa Wakristo wanasali Jumapili sijui umetoka wapi. Wakristo (labda niwasemee Wakatoliki ambao ndio nawafahamu) hawasali jumapili. Sisi Wakatoliki tunasali SIKU ZOTE. ILA, kwa kuwa Jumapili ni PUBLIC HOLIDAY, basi tunakusanyika na kufanya DOMINICA.
Naamini hata watu wengine wenye akili, wangeweza kuitumia Jumapili kuabudu kwa kuwa wapo nyumbani. Bila shaka mnaweza kuona hata siku ya Mwaka mpya, hata iwe Alhamisi, basi Kanisa katoliki hufanya misa
:mvutaji: :mvutaji:
HIZI MAMBO UWE UNAVUTA KWA VIWANGO BASI
:confused2:[/QUOTE
Wahusika wamenielewa...
Pia napendekeza Ijumaa iwe siku ya MAANDAMANO
AAH HUNA LOLOTE
AF UNAVOICHEZESHA HIYO 0713,,?MOMBASA VIP USHATEMBELEA KARIBUNI??
turudi ktk madaAAH HUNA LOLOTE
AF UNAVOICHEZESHA HIYO 0713,,?MOMBASA VIP USHATEMBELEA KARIBUNI??
turudi ktk mada
UNAONEKANA HAUPO KIMAJADILIANO ZAID YA MALUMBANO NA KUKEJELIANA