Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,302
Historia inaonyesha Ijumaa kuadhimishwa kama siku muhimu kidini ni muendelezo wa karne nyingi sana wa utamaduni wa kiarabu ambapo siku hii hapo mwanzo ilikuwa ikitumika kama siku ya soko kubwa kwa makabila mbalimbali ya Waarabu waliokuwa wametawanyika mashariki ya kati.
Siku hii ya Ijumaa ilutumika pia kama siku muhimu ya vikao vya koo au makabila ya Kiarabu kukutana na kujadiliana mambo yake. Hapo kale sana Ijumaa kwa Waarabu ilikuwa ikiitwa "Yawm al-'Arubah",
Siku hii ya Ijumaa ilutumika pia kama siku muhimu ya vikao vya koo au makabila ya Kiarabu kukutana na kujadiliana mambo yake. Hapo kale sana Ijumaa kwa Waarabu ilikuwa ikiitwa "Yawm al-'Arubah",