Kiwwte mjanja sana. Atajiweka mbali kabisa kama vile hakushiriki chochote. Na lengo litimie la Wana network kuchukua kiti baada ya huyu kunyakuliwaAnajua vizuri
Kiwwte mjanja sana. Atajiweka mbali kabisa kama vile hakushiriki chochote. Na lengo litimie la Wana network kuchukua kiti baada ya huyu kunyakuliwaAnajua vizuri
Yaani kitendo Cha Samia kufunguliwa kesi na ICC sijui ataficha wapi uso wakeHuyo mama afungwe ili akakonde huko yabaki manyonyo yake.
Hiii kesi Kikwete hausikiKiwwte mjanja sana. Atajiweka mbali kabisa kama vile hakushiriki chochote. Na lengo litimie la Wana network kuchukua kiti baada ya huyu kunyakuliwa
Walishindwa Nini kumsaidia Netanyau ata kutuma uingereza anaogopa
Naomba iwe hivo.Yaani kitendo Cha Samia kufunguliwa kesi na ICC sijui ataficha wapi uso wake
Naomba iwe hivo.
Wana mtandao wapi hao!!?? Huu utumwa sijui wa wana mtandao umefika mwisho wake,rasimu ya katiba ya warioba ndio itatumika na tume ya uchaguzi itasukwa upya isiyoegemea upande wowote.HAO WANA MTANDAO WANAPITIA WAPI labda wakatawale burundiKiwwte mjanja sana. Atajiweka mbali kabisa kama vile hakushiriki chochote. Na lengo litimie la Wana network kuchukua kiti baada ya huyu kunyakuliwa
Ikitoka arrest warrant ata kwenda kutibiwa itabidi awe mwananyamalaAsiishie kwenye kushtakiwa tu! Ikibidi akamatwe pamoja na kundi lake lote ili akajibu hayo mashtaka yake.
Vibaka wa mama kazi wanayoMawaliki 7500 wataweweza waganga wa kienyeji? Chale mpaka kwenye mashavu ya kikojoleo
Wao (ICC), wakichelewa, sisi (waTanzania) tutawarahisishia kazi.ICC wako open sana
Hivi huyu mzee ndo wameamu, hawamtoi na mahakamani hawampeleki na cha kuwafanya hatuna au sio 🥹Katuga mwenyewe Lissu kamtoa jasho Halafu ndio aende huko ICC? Yatakuwa mambo Yale Yale ya Ze maza dead faza dead now job here here. Itakuwa ni burudani ya kimataifa…
Madrid Bar Association - hiki ni chama Cha wanasheria Cha Madrid-Hispania kina wanasheria 75,000. Kina mawakili wa ICC( kumbuka kina Nassoro Katuga sijui Prof Kabudi sio mawakili wa ICC)Hili jambo la Samia kushitakiwa ICC watu ( haters wa Samia na Machawa wa Samia) wote hawajui chochote kuhusu legal procedures za ICC.
Machawa wanabwatuka kuwa kamwe Samia hawezi kufunguliwa kesi na kutolewa arrest warrant.
Sasa ni hivi hii issues ya ICC ilikuwa ni very calculated mission, na organization zilizomshitaki Samia ni very very strong.
Samia ameshitakiwa na
(I) Intelwatch- ambayo director wake ni Dr Paula Christina, huyu mama December aliojiwa uingereza akisema Wana ushaidi wa kutosha Hadi kupitiliza kuwa Samia ndo alie engineer mauaji. Intelwatch Hawa Hawa waliruka na mauaji ya Ghaza hadi Netanyau akitolewa arrest warrant.
(ii) Madrid Bar Association - hiki ni chama Cha wanasheria Cha Madrid-Hispania kina wanasheria 75,000. Kina mawakili wa ICC( kumbuka kina Nassoro Katuga sijui Prof Kabudi sio mawakili wa ICC)
Nashangaa ninapoona watu wanabishana kuwa Samia hatofunguliwa kesi na ICC, Swali ni kwamba nyie chawa mnaijua ICC kuliko wanasheria 75,000 wa Madrid Bar Association??
So mpaka Sasa hivi hakuna mshindi, Bado ICC haijaweka wazi kama itafungua mashitaka although walalamikaji kina Dr Paula Wana confidence kuwa Samia hachomoki.
Solution- muda ni mwalimu mzuri mpaka huu mwaka inaisha tutajua mengi
My comment on this case kwa data za UN kuwa waliokufa KWENYE MO29 ni watu 700, basi hii namba imefikisha threshold ya ICC. Kama Jean Pierre Bemba according to ICC aliua raia 200-300. Basi there's no way out Samia atachomoka kwenye hili .
Aione
Pro Kabudi
Nassoro Katuga.
Hao ma'lobbyists' anaotafuta huko ni kwa maswala ya huko huko Marekani, hasa kwenye maswala ya 'Congress'...hujasikia Ssh naye katafuta ma-lobbyist wa Washington DC wamsaidie kusafisha njia? Na hao majamaa wanalipwa fedha kubwa, wana influence, na wana wanasheria wabobevu.