Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,289
- 8,829
Najaribu kumuangalia CR7, bilionea namba moja, Tiger wood, Jinsi walivyo fanya zinaa sijui uasherati lakini bado wana ukwasi wakutosha...Jamaaa anawalisha wakristo matango pori
Naenda mbali kwa bilionea namba tatu ambaye hana imani na uwepo wa Mungu lakini uchumi wake ndio una zidi kupaa,
Sasa swali je haya mafundisho yake yanaengemea upande hupi zaidi...
Condom ukitumia je, ina weza kuwa suluhu? Maana vimiminika havito weza hifadhiwa kwa mwanamama au mwanamke...
Nikaenda mbali kidogo kuuliza kuhusu Elton John, Michael Scofield, na mapadre wa kikatoliki wenye tabia zinazo fanana na mambo jinsi moja
Mungu ampe moyo mzuri wa kutufundisha vizuri zaidi elimu aliyo nayo