Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
- Thread starter
- #181
Ukiwa ndani ya ndoa halina shida, ili mradi huleti manjonjo ya kisasa yasiyokusudiwa. Ukifanya nje ya ndoa kwa minajili ya kujifurahisha ni kosaSawa Mkuu nimekuelewa ummenukuu mstari wa Biblia (Mwanzo 1:28) unaosema Zaeni mkaongezeke mkaijaze Dunia .........
Lakini hujanijibu swali Mkuu.,
Kwani kufanya tendo hilo kwa ajili ya kujifurahisha ni kosa?