Ijue siri kuu ya mahusiano katika Ulimwengu wa Roho

Ndio tunavunjaje Sasa hayo maagano? Nipo naishi namwanamke ambaye sijamuoa kwadini yoyote ile, sikumkuta bikra ila alikuwa katika hali nzurii bado.

Ila kwaupande wangu namuhitaji awe mke wangu, hata yeye pia anaonesha kunihitaji, istoshe tayar tunamtoto.

Sasa swali tunafanyaje ili kuhalalisha naili tuje tuishi kwaamani?
Ndugu, unauliza nini hasa? Wewe unaishi katika dhambi halafu niseme nini? Kwamba unaishi na mke asiye mke wako, halafu mpaka mmezaa, kwani ulikuwa huijui kweli? Kama hukujua basi sawa, lakini kama ulijua kwamba ni dhambi mbele za Mungu kuishi tu kama mke na mume wakati hamkuufuata sheria ya Bwana, basi chunguza moyo wako. Kama umedhamiria kufanya toba hayo ni yako mwenyewe. Kama unategemea nikuambie mfukuze huyo mwanamke, sio jukumu langu. Mimi naihubiri kweli iwekayo huru, mengine ni moyo wako kupondeka. Ukiwa serious tutajadili, lakini kwa sasa uliza maswali ya majaribu ili kutafuta kuhalalisha rehema ya Mungu.
 
Ndio tunavunjaje Sasa hayo maagano? Nipo naishi namwanamke ambaye sijamuoa kwadini yoyote ile, sikumkuta bikra ila alikuwa katika hali nzurii bado.

Ila kwaupande wangu namuhitaji awe mke wangu, hata yeye pia anaonesha kunihitaji, istoshe tayar tunamtoto.

Sasa swali tunafanyaje ili kuhalalisha naili tuje tuishi kwaamani?
1 Wakorintho 7 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
¹³ Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
¹⁴ Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.
¹⁵ Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
 
1 Wakorintho 7 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
¹³ Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
¹⁴ Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.
¹⁵ Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
Nimesoma mkuu ila sasa nataka maelezo hayo uyalete katika lugha yakueleweka isiwe lugha yakiblia, samahani lakini yaani nataka uniletee kwenye uhalisia wainshu yangu ili niweze kukuelewa vzr nakwaufasaha
 
Ndugu, unauliza nini hasa? Wewe unaishi katika dhambi halafu niseme nini? Kwamba unaishi na mke asiye mke wako, halafu mpaka mmezaa, kwani ulikuwa huijui kweli? Kama hukujua basi sawa, lakini kama ulijua jwamba ni dhambi mbele za Mungu kuishi tu kama mke na mume wakati hamkuufuata sheria ya Bwana, basi chunguza moyo wako. Kama umedhamiria kufanya toba hayo ni yako mwenyewe. Kama unategemea nikuamvue mfukuze huyo mwanamke, sio jukumu langu. Mimi naihubiri kweli iwekayo huru, mengine ni moyo wako kupondeka. Ukiwa serious tutajadili, lakini kwa sasa uliza maswali ya majaribu ili kutafuta kuhalalisha rehema ya Mungu.
Mkuu kama nikweli basi iseme hiyo kweli usinipindishepindishe hata kama itakuwa chungu kiasi gani kwangu, vilevile mkuu lengo langu nikutaka kufahamu wala sipo kwaajili ya joking NO!!
 
Mkuu kama nikweli basi iseme hiyo kweli usinipindishepindishe hata kama itakuwa chungu kiasi gani kwangu, vilevile mkuu lengo langu nikutaka kufahamu wala sipo kwaajili ya joking NO!!
Nimesoma mkuu ila sasa nataka maelezo hayo uyalete katika lugha yakueleweka isiwe lugha yakiblia, samahani lakini yaani nataka uniletee kwenye uhalisia wainshu yangu ili niweze kukuelewa vzr nakwaufasaha
1 Wakorintho 7
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
¹³ Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.


Hapa Paulo anafafanua mkanganyiko unaoweza kujitokeza kwa waamini WAPYA. Kwa sababu wapo ambaobwangetaka kuwaacha wake zao ili waoe wengine walioamini. Kumbe hoja ya msingi, JE MUME KAMPOKEA YESU? Hata kama mke hajampokea, kama amekubali yeye mwenyewe kuendelea kuwa mke wa aliyeokoka, hakuna ruhusa kumpa talaka. Vivyo hivyo kwa mke aliyeamibi, hana ruhusa kumwacha mume asiyeamini bado. ZINGATIA:Hawa niwaamini wapya, hawakuwahi kuijua kweli, sasa wamekuwa ndani ya Kristo na kukutana na sheria ya Mungu, wanapaswa kuenenda hivyo.

¹⁴ Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.

Sababu ndio hiyo, kwamba aliyeamini humtakasa mwenzake, na kwa matendo yake mazuri yaweza kuwa ushuhuda wa mwenza wake naye kuamini. Kwa kuamini kwake mmoja, hata watoto wazaliwao hutakaswa na kuhesabiwa wana wa Mungu.

¹⁵ Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.

Kama mmojawapo akiamua kuwa hawezi kuishi na mtu aliyempokea Kristo, basi na aondoke, hapo hakuna tena kifungo cha ndoa. Lugha nyepesi hapa ni kuwa, ndoa ya awali ya wawili hawa haikuwa rasmi mbele za Mungu kwa sababu haikuwa kwa mujibu wa utaratibu wake. Bali sasa baada ya kujua kweli, ndipo wanafanya mapatano mapya ya ndoa mbele ya Mungu. Wanaweka ahadi mpya kwamba wamehiari kuishi kama mume na mke licha ya mmojawapo kuwamwamini. Hapa kuhiari sio tu kukubalia kuendelea kuishi pamoja, hapana.

Kama mke kakubali kuishi na mume aliyeamini, ili watoto watakaswe kwa hilo, ni lazima kukubaliana kuwalea kwa mujibu wa imani ya mke, ndivyo ilivyo kwa mume pia. Kwamba ndoa mbele za Mungu ni tendo lililokusudiwa kuleta uhai, sio kufurahishana tamaa za mwili. Mungu habariki ndoa ili watoto wafuate imani nyingine, hapo hawawezi kutakaswa. Nadhani umeelewa hii.

Sasa tuje kwa scenario yako, JE WAKATI MNACHUKUANA MLIKUWA MKIIJUA SHERIA YA BWANA? Kama hamkujua, basi hayo maelezo juu yatosha. Lakini kama mliojua na mkafanya dhambi kwa kusudi, maamuzi tu kuishi kama mke na mume (ndivyo makanisa ya kisasa yanavyowapoteza wengi) ili mje mfanye "kurekebisha ndoa" basi yawapasa mfanye toba ya kweli. Tena mlie hasa mbele za Mungu kwa kumaanisha, kwani Mungu si wa marekwbisho. Hakuna sehemu amesema marekebisho ya ndoa, wala ndoa mseto, zaidi ya hiyo ya watu ambao mwanzoni hawakuamini.

Ninyi mmezoana mkaishi kama mke na mume mkazaa na watoto, mbele ya Mungu dhambi iko pale pale, ombeni rehema. Kisha utaratibu utakuwa kama juu hapo, wote mmeamini? Safi. La mmoja hajaamini? Basi mfuate alichoandioa Paulo. Kumbuka linapokuja suala la ndoa, hakuna sehemu Biblia inazungumzia habari ya watoto kama UHALALI WA NDOA. Hayo ni mambo ya kimwili wala si ya kiroho. Fuata maandiko yanasema nini kuhusu uhalali wa ndoa mbele za Mungu.

Kwamba umemkuta si bikra? Jiulize, wewe ulikuwa bikra? Kitendo cha kumtwaa bila ndoa kinatosha kuonyesha jinsi gani umempata unayeendana naye, unataka bikra wa nini tena? Mnahitaji kutafuta rehema ya Mungu kuvunja maagano yaliyotangulia. Yesu alisema hivi kuhusu mke wa ndoa:

Mathayo 19
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
⁴ Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
⁵ akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?


Tangu uumbaji mwanamke mmoja na mwanamume mmoja, hakuna mahali pa kuzini. Hiyo ndio ilikuwa design ya Mungu. Mume anaacha baba na mama anajitwalia mke, hawa si wawili tena bali mwili mmoja (katika roho hawa wameungana, ni kwa njia ya sex).

Nasema ni kwa sex kwa sababu,mtu mume ameungana na mama yake na baba yake tangu kuzaliwa kwake, hivyo anapokwenda kulala na mwanamke anaweka nafsi yake huko. Anaondoa muunganiko uliokuwapo kwa baba na mama yake, ndio kuwaacha huko!! Sio kuhama wanapoishi, no!! Kiroho unawaacha pale tu unapolala na mwanamke mwingine, unatengeneza SOUL TIE nyingine, huwa nasikia wahubiri wengi mno wanapofafanua hapa husema, MWANAMUME AONDOKE KWA WAZAZI WAKE. Haya no mafundisho ya kidunia, kwani ziko jamii nyingi tu hawana huo utamaduni wa kuondoka kwao na wanaishi kwa furaha.


⁶ Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.

Wamekuwa mwili mmoja, soul tie. Sasa wewe mchungaji, jaji, padre, baraza la wazee nk wawezaje kuvunja SOUL TIE? Hawa wameunganishwa kwa mechanism aliyoweka Mungu mwenyewe, ndio damu ya bikra na mwanamume kupeleka shahawa zake kwa mke mmoja tu, yaani kupeleka nafsi yake. SOUL TIE!! Hakuna mwanadamu awezaye kutenganisha soul tie, ndicho alichokiunganisha Mungu hicho!! NARUDIA TENA, niliwahi mara kadhaa kusema hili, NDOA HAIFUNGWI KANISANI AU MSIKITINI!! Ndoa inafungwa KITANDANI na hapo Mungu huwa shahidi wa mke wa ujana wako, ile damu inapotoka!!

⁷ Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
⁸ Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.


Musa aliruhusu talaka kwa sababu mioyo ya wanadamu hawakuelewa SOUL TIE!! Wakawa na mioyi migumu kwa sababu ndoa waliitazama kimwili zaidi na sio kiroho. Lakini TANGU KUUMBWA KWA MWANADAMU HAIKUWA HIVYO!! Kwa vipi? Tangu Mungu anafanya uumbaji, ALIUMBA NAFSI MOJA TU, AKAIITA ADAMU. Kutokana na hii nafsi iitwayo Adamu ndipo akachomolewa Hawa!! Sasa ndoa ni tendo la kuirejesha nafsi iliyochomolewa, ikajiunganisha pale ilipotoka na kuacha pengo ili kukamilisha KITU KIMOJA. Kumbe tangu mwanzo MUNGU ALIUMBA NAFSI HAI IITWAYO ADAMU, iliyowakilisha mke na mume. Kama una mashaka, nionyeshe ni ww api tena Mungu alitwaa udongo akaumba mwanamke, ama ni wapi alipoumba nafsi hai iitwayo Hawa!! Tusome Biblia kwa kuongozwa na Roho wa Mungu.

⁹ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Umewahi kujiuliza ni kwa nini agizo hili ni KWA MWANAMUME TU!!? Kwa nini isiwe mwanamke naye? Mwanamume ndiye awekaye chapa yake kwa mwanamke inahifadhiwa humo. Sasa ukiwa na tabia unaweka huku na huko UNAZINI, unapeleka nguvu za mwenza wako kwingine, unapeleka nafsi yako kwingine. Mwanamke yeye hupokea tu na kuhifadhi, kisha hutoa manukato ambayo yataambatana na mume kila aendako.

Nawe unaweza mwanamke aliyepewa talaka UNAZINI. Ndani yake amebeba chapa ya mwanamume mwingine, ndio utambulisho wake hapa duniani, kwamba yeye ni nafi ya Juma, John nk. Ndio maana mwanamke huacha habari za ukoo wake na kuambatana na ukoo wa mume, anapotumia ubini wa mume ni kwamba wamekuwa mwili mmoja!! Nakubaliana kabisa na wale wanaosema kama mke ameendelea kutumia majina ya wazazi wake baada ya kuolewa ni makosa. Ndoa ya Mungu haina haki sawa!!

Sasa ndio maana ikasemwa mwanamume ameruhusiwa kumwacha mke kwa sababu ya uasherati, SIO UZINZI, kwa maana kwamba, ukimwoa bikira, basi umefunga naye agano. Akiwa mzinzi basi jichunguze wewe ni wapi umejikwaa hata kupelelea kumletea harufu tofauti ndani. Pia hata yeye Paulo alisema ANAZINI, lakini kuzini kwake kwa kiasi kikubwa ni kama ULIMWOA AKIWA MZINZI, au umemfanya awe mzinzi. Mnapokutana kwa mara ya kwanza usione damu, basi Yesu Kristo kasema mwenyewe mwanamke huyo na apewe talaka. Talaka kwa sababu kule kumwingilia tu, tayari ndoa, halafu lakini kwa sababu hakuwa na bikra, maana yake hakuna agano kiroho!! Kimwili ni ndoa, kiroho ndoa ilishaliwa na wengine. Hapo umeruhusiea kuivunja hii ndoa ya kimwili kwa sababu hata rohoni HAIPO!!

¹⁰ Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
¹¹ Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.


Sio wote wanaweza kulipokea fundisho hili, ila waliojaliwa, Hawa ndio wana wa ufalme. Hawa ndio waliojaliwa kuzijua siri za ufalme wa Mungu.

Mnisamehe kwa mafundisho magumu namna hii, lakini tujadiliane kwa upendo tu. Wako wengi hunitusi sana ifikapo hapo. Amani ya Bwana ipitayo fahamu zote iwe nawe, Amina.

Morg, alumn, korino
 
Mathayo 5
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁷ Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
²⁸ lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.


Unajua tumezoea kuisoma Biblia huku tukiwa na tafsiri zetu tayari vichwani. Msingi wa usomaji Biblia ni mmoja tu, ACHA NENO LISEME LINACHOKUSUDIA, USILIFANYE LIMAANISHE UNACHOTAKA WEWE. Ndivyo wengi tunavyopotea, hata mafundisho ya kypanda mbegu msingi wake ni huo, kutaka neno limaanishe atakacho mhubiri. Tuendelee.....

Hebu jiulize hapo, Yesu mwenyewe hakusema mwanamke akimtazama mwanaume kwa kumtamani amekwisha kuzini naye!! Hii nayo ni amri ya mwanamume tu, why? Anayetamani ni mwanamume, ndiye anayepelwka emotional energy zake hata kumteka mwanamume. Sasa unapopeleka nguvu zako kwa mwanamke wewe ndiye unayemfanya akutamani, UNATAKA MOYO WAKE. Roho ya mwanamumeni WONDERING SPIRIT. Inahangaika huku na huku kutafuta kile kipande cha roho yake kilichonyofolewa ili kuumba mwanamke.

Mwanamke hatamani kiasili kabisa, ila wanawake wa siku za hivi karibuni wamefikia hata kuomba haki ya kuoa. Unajua sababu? UNAULISHA NINI MOYO WAKO!! Malezi ya independent woman ndio hayo yametufikisha hapo, kwa sababu moyo unajazwa mafunzo ambayo ni tofauti na asili. Sipendi kuliongelea sana hili

Sasa ni kwa vipi ukimtazama kwa kumtamani tu umeshazini naye? Wengi wetu tukiona mwanamkemwenye umbile ambalo ambayo tumelijaza moyoni kama ndio kipimo cha uzuri, basi miili yetu husisimka na kuamsha hamasa ya ngono. Tayari mechanism ya kitendo cha ngono katika roho huwa fully in force. Maji maji yanaweza hata kutoka kwenye uume kuashiria utayari wakulala na mwanamke huyo, ingawa hata salamu hatujampa!! Hii maana yake ni nini? Tayari tumeshalala naye katika ulimwengu wa roho, bali hatujadhihirisha tendo katikamwili tu. Akubali asikubali, yatosha kabisa kwamba Roho zetu zimefikia hatua ya kuamsha moto wa ngono ndani yetu. Sasa akikataa ni sawa na kwamba tumembaka tu, kwa sababu hata katika mwili wanawake wengine hubakwa kwa lazima. Ndio maana ukimtamani tu mwanamke, kwa kiwango cha kuamsha hisia za nfono, tayari ushalala naye.


³¹ Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
³² lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


Ndio yale yale ya uzinzi

Morg, korino, alumn
 
1 Wakorintho 7
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹² Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
¹³ Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.


Hapa Paulo anafafanua mkanganyiko unaoweza kujitokeza kwa waamini WAPYA. Kwa sababu wapo ambaobwangetaka kuwaacha wake zao ili waoe wengine walioamini. Kumbe hoja ya msingi, JE MUME KAMPOKEA YESU? Hata kama mke hajampokea, kama amekubali yeye mwenyewe kuendelea kuwa mke wa aliyeokoka, hakuna ruhusa kumpa talaka. Vivyo hivyo kwa mke aliyeamibi, hana ruhusa kumwacha mume asiyeamini bado. ZINGATIA:Hawa niwaamini wapya, hawakuwahi kuijua kweli, sasa wamekuwa ndani ya Kristo na kukutana na sheria ya Mungu, wanapaswa kuenenda hivyo.

¹⁴ Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.

Sababu ndio hiyo, kwamba aliyeamini humtakasa mwenzake, na kwa matendo yake mazuri yaweza kuwa ushuhuda wa mwenza wake naye kuamini. Kwa kuamini kwake mmoja, hata watoto wazaliwao hutakaswa na kuhesabiwa wana wa Mungu.

¹⁵ Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.

Kama mmojawapo akiamua kuwa hawezi kuishi na mtu aliyempokea Kristo, basi na aondoke, hapo hakuna tena kifungo cha ndoa. Lugha nyepesi hapa ni kuwa, ndoa ya awali ya wawili hawa haikuwa rasmi mbele za Mungu kwa sababu haikuwa kwa mujibu wa utaratibu wake. Bali sasa baada ya kujua kweli, ndipo wanafanya mapatano mapya ya ndoa mbele ya Mungu. Wanaweka ahadi mpya kwamba wamehiari kuishi kama mume na mke licha ya mmojawapo kuwamwamini. Hapa kuhiari sio tu kukubalia kuendelea kuishi pamoja, hapana.

Kama mke kakubali kuishi na mume aliyeamini, ili watoto watakaswe kwa hilo, ni lazima kukubaliana kuwalea kwa mujibu wa imani ya mke, ndivyo ilivyo kwa mume pia. Kwamba ndoa mbele za Mungu ni tendo lililokusudiwa kuleta uhai, sio kufurahishana tamaa za mwili. Mungu habariki ndoa ili watoto wafuate imani nyingine, hapo hawawezi kutakaswa. Nadhani umeelewa hii.

Sasa tuje kwa scenario yako, JE WAKATI MNACHUKUANA MLIKUWA MKIIJUA SHERIA YA BWANA? Kama hamkujua, basi hayo maelezo juu yatosha. Lakini kama mliojua na mkafanya dhambi kwa kusudi, maamuzi tu kuishi kama mke na mume (ndivyo makanisa ya kisasa yanavyowapoteza wengi) ili mje mfanye "kurekebisha ndoa" basi yawapasa mfanye toba ya kweli. Tena mlie hasa mbele za Mungu kwa kumaanisha, kwani Mungu si wa marekwbisho. Hakuna sehemu amesema marekebisho ya ndoa, wala ndoa mseto, zaidi ya hiyo ya watu ambao mwanzoni hawakuamini.

Ninyi mmezoana mkaishi kama mke na mume mkazaa na watoto, mbele ya Mungu dhambi iko pale pale, ombeni rehema. Kisha utaratibu utakuwa kama juu hapo, wote mmeamini? Safi. La mmoja hajaamini? Basi mfuate alichoandioa Paulo. Kumbuka linapokuja suala la ndoa, hakuna sehemu Biblia inazungumzia habari ya watoto kama UHALALI WA NDOA. Hayo ni mambo ya kimwili wala si ya kiroho. Fuata maandiko yanasema nini kuhusu uhalali wa ndoa mbele za Mungu.

Kwamba umemkuta si bikra? Jiulize, wewe ulikuwa bikra? Kitendo cha kumtwaa bila ndoa kinatosha kuonyesha jinsi gani umempata unayeendana naye, unataka bikra wa nini tena? Mnahitaji kutafuta rehema ya Mungu kuvunja maagano yaliyotangulia. Yesu alisema hivi kuhusu mke wa ndoa:

Mathayo 19
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
⁴ Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
⁵ akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?


Tangu uumbaji mwanamke mmoja na mwanamume mmoja, hakuna mahali pa kuzini. Hiyo ndio ilikuwa design ya Mungu. Mume anaacha baba na mama anajitwalia mke, hawa si wawili tena bali mwili mmoja (katika roho hawa wameungana, ni kwa njia ya sex).

Nasema ni kwa sex kwa sababu,mtu mume ameungana na mama yake na baba yake tangu kuzaliwa kwake, hivyo anapokwenda kulala na mwanamke anaweka nafsi yake huko. Anaondoa muunganiko uliokuwapo kwa baba na mama yake, ndio kuwaacha huko!! Sio kuhama wanapoishi, no!! Kiroho unawaacha pale tu unapolala na mwanamke mwingine, unatengeneza SOUL TIE nyingine, huwa nasikia wahubiri wengi mno wanapofafanua hapa husema, MWANAMUME AONDOKE KWA WAZAZI WAKE. Haya no mafundisho ya kidunia, kwani ziko jamii nyingi tu hawana huo utamaduni wa kuondoka kwao na wanaishi kwa furaha.


⁶ Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.

Wamekuwa mwili mmoja, soul tie. Sasa wewe mchungaji, jaji, padre, baraza la wazee nk wawezaje kuvunja SOUL TIE? Hawa wameunganishwa kwa mechanism aliyoweka Mungu mwenyewe, ndio damu ya bikra na mwanamume kupeleka shahawa zake kwa mke mmoja tu, yaani kupeleka nafsi yake. SOUL TIE!! Hakuna mwanadamu awezaye kutenganisha soul tie, ndicho alichokiunganisha Mungu hicho!! NARUDIA TENA, niliwahi mara kadhaa kusema hili, NDOA HAIFUNGWI KANISANI AU MSIKITINI!! Ndoa inafungwa KITANDANI na hapo Mungu huwa shahidi wa mke wa ujana wako, ile damu inapotoka!!

⁷ Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
⁸ Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.


Musa aliruhusu talaka kwa sababu mioyo ya wanadamu hawakuelewa SOUL TIE!! Wakawa na mioyi migumu kwa sababu ndoa waliitazama kimwili zaidi na sio kiroho. Lakini TANGU KUUMBWA KWA MWANADAMU HAIKUWA HIVYO!! Kwa vipi? Tangu Mungu anafanya uumbaji, ALIUMBA NAFSI MOJA TU, AKAIITA ADAMU. Kutokana na hii nafsi iitwayo Adamu ndipo akachomolewa Hawa!! Sasa ndoa ni tendo la kuirejesha nafsi iliyochomolewa, ikajiunganisha pale ilipotoka na kuacha pengo ili kukamilisha KITU KIMOJA. Kumbe tangu mwanzo MUNGU ALIUMBA NAFSI HAI IITWAYO ADAMU, iliyowakilisha mke na mume. Kama una mashaka, nionyeshe ni ww api tena Mungu alitwaa udongo akaumba mwanamke, ama ni wapi alipoumba nafsi hai iitwayo Hawa!! Tusome Biblia kwa kuongozwa na Roho wa Mungu.

⁹ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Umewahi kujiuliza ni kwa nini agizo hili ni KWA MWANAMUME TU!!? Kwa nini isiwe mwanamke naye? Mwanamume ndiye awekaye chapa yake kwa mwanamke inahifadhiwa humo. Sasa ukiwa na tabia unaweka huku na huko UNAZINI, unapeleka nguvu za mwenza wako kwingine, unapeleka nafsi yako kwingine. Mwanamke yeye hupokea tu na kuhifadhi, kisha hutoa manukato ambayo yataambatana na mume kila aendako.

Nawe unaweza mwanamke aliyepewa talaka UNAZINI. Ndani yake amebeba chapa ya mwanamume mwingine, ndio utambulisho wake hapa duniani, kwamba yeye ni nafi ya Juma, John nk. Ndio maana mwanamke huacha habari za ukoo wake na kuambatana na ukoo wa mume, anapotumia ubini wa mume ni kwamba wamekuwa mwili mmoja!! Nakubaliana kabisa na wale wanaosema kama mke ameendelea kutumia majina ya wazazi wake baada ya kuolewa ni makosa. Ndoa ya Mungu haina haki sawa!!

Sasa ndio maana ikasemwa mwanamume ameruhusiwa kumwacha mke kwa sababu ya uasherati, SIO UZINZI, kwa maana kwamba, ukimwoa bikira, basi umefunga naye agano. Akiwa mzinzi basi jichunguze wewe ni wapi umejikwaa hata kupelelea kumletea harufu tofauti ndani. Pia hata yeye Paulo alisema ANAZINI, lakini kuzini kwake kwa kiasi kikubwa ni kama ULIMWOA AKIWA MZINZI, au umemfanya awe mzinzi. Mnapokutana kwa mara ya kwanza usione damu, basi Yesu Kristo kasema mwenyewe mwanamke huyo na apewe talaka. Talaka kwa sababu kule kumwingilia tu, tayari ndoa, halafu lakini kwa sababu hakuwa na bikra, maana yake hakuna agano kiroho!! Kimwili ni ndoa, kiroho ndoa ilishaliwa na wengine. Hapo umeruhusiea kuivunja hii ndoa ya kimwili kwa sababu hata rohoni HAIPO!!

¹⁰ Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
¹¹ Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.


Sio wote wanaweza kulipokea fundisho hili, ila waliojaliwa, Hawa ndio wana wa ufalme. Hawa ndio waliojaliwa kuzijua siri za ufalme wa Mungu.

Mnisamehe kwa mafundisho magumu namna hii, lakini tujadiliane kwa upendo tu. Wako wengi hunitusi sana ifikapo hapo. Amani ya Bwana ipitayo fahamu zote iwe nawe, Amina.

Morg, alumn, korino
Duh somo zurii sana japo kuwa ndani yasomo yapo mengi ya kuumiza hasa hapo Yesu aliposema azinie namwanamke asitoe damu basi apewe talaka...... Sasa mkuu kwamimi ili ndoa yangu iwe kiroho yanipasa nini? Au ndio basi tena ishaharibu??? Mkuu samahani somo hili sio jepesi!!!

naMUNGU akubariki endelea kutoa somo
 
Mimi huwa nahoji sana swala la kusubiria kuingia katika ndoa baada ya kumaliza maswala ya elimu na kupata kazi. Hivi watu wanaopendana katika umri wa 19 years ay 20 years hawawezi kufunga ndoa na wakaendelea kufukuzana na maisha, y tunafosi kusubiri matokeo yake madogo wanatumia P2 kwa sana, wanatoa ujauzito, wanazini kwa sana na wengine wanapiga punyeto hadi basi.
Hajaoa au kuolewa lakini mwili wake kiasili umeumbwa na matamanio soon baada ya kubalehe anaanza kupata hisia za kufanya mapenzi, dini inasema nini kuhusu hilo?
So anapaswa kufanya suppression ya hizo hisia akidhi matakwa ya dini ya kusubiri mpaka aoe au aolewe to which anabalehe akiwa 10s na ataoa au kuolewa kuanzia 20s mpaka 30s na wengine mpaka 40s.
Hebu nyie warohoni wasaidieni vijana sio kuwaita wazinzi sijui waasherati wakati wanatii hisia walizoumbiwa pasipo ridhaa yao.
Maana Kama vipi ili wasitende dhambi waondolewe hizo hisia na sio ku supress hisia kitu ambacho kimsingi kina madhara makubwa tu.
Waarabu kijana akibalehe mzazi humuoza despite anasoma au la ila sisi weusi na wazungu tunasubiri kwanza huku tunazo hisia tunazihifadhi kinafiki tunajiona tunasubiri wakati.

Ikiwa bikira Maria tunaambiwa alichumbiwa akiwa binti mdogo alikuwa bikra, Sasa huyu unaemuokokesha halafu anasuburi amalize University ndipo apatikane mchumba amuoe, hicho kipindi chote hisia zake za kimahaba anapeleka wapi mnadhani?

Halafu tendo moja mnalipea majina mabaya kibaooo kiasi kwamba mnalimalizia utamu na kuleta madhara kisaikolojia kila mtu akitafakari saa hiyo kichwa cha chini hakisomi namba balaa tupu.

Watu wa vitabu mje mseme hapa.
1. Kama kutenda kabla ni kosa kwanini hisia ziumbwe kabla ya hiyo ndoa?
2 kwanini hizo hisia hazikuumbwa baada ya ndoa ili ibalansi mahesabu?
3. Kwanini mnazuia watu wasifanye wakati hawana option na hizo hisia zao, yaani ana njaa mnamkataza kula msosi uko mbele yake dah!
4. Sex Kama other basic needs why inawekewa masharti Sana?
 
Duh somo zurii sana japo kuwa ndani yasomo yapo mengi ya kuumiza hasa hapo Yesu aliposema azinie namwanamke asitoe damu basi apewe talaka...... Sasa mkuu kwamimi ili ndoa yangu iwe kiroho yanipasa nini? Au ndio basi tena ishaharibu??? Mkuu samahani somo hili sio jepesi!!!

naMUNGU akubariki endelea kutoa somo
Nishaeleza huko juu, REHEMA, ndio maana Kristo alikuja. Sote tumetenda dhambi, lakini haitupasi tudumu katika dhambi. Muhimu hapa ni KUWALEA VEMA WATOTO WETU wasiingie kwenye mitego ya hadaa
 
Wewe ulipanga kupinga, huna hoja. Mada inaendelea na ukiwa mpole utajifunza mengi. Unadhani Yesu aliposema mke asiachwe isipokuwa kwa uasherati (porneia) alimaanisha nini? Soma mathayo 19 unijibu.

Fahamu mada ni ndefu sana, inaendelea mpaka kwa wanaomjua Kristo wakiwa wamejiingiza kwenye uzinzi. Kuna rehema, tulia mkuu.
Na mume akiingia kwenye uzinzi je?
 
Hivi vitu unavyotoa ni vigum sana Nyenyere. Alafu umegusia udanganyifu juu ya upandaji mbegu. Naomba uje na hilo somo pia tunajifunza sana kutoka kwako. Barikiwa mkuu
 
Hajaoa au kuolewa lakini mwili wake kiasili umeumbwa na matamanio soon baada ya kubalehe anaanza kupata hisia za kufanya mapenzi, dini inasema nini kuhusu hilo?
So anapaswa kufanya suppression ya hizo hisia akidhi matakwa ya dini ya kusubiri mpaka aoe au aolewe to which anabalehe akiwa 10s na ataoa au kuolewa kuanzia 20s mpaka 30s na wengine mpaka 40s.
Hebu nyie warohoni wasaidieni vijana sio kuwaita wazinzi sijui waasherati wakati wanatii hisia walizoumbiwa pasipo ridhaa yao.
Maana Kama vipi ili wasitende dhambi waondolewe hizo hisia na sio ku supress hisia kitu ambacho kimsingi kina madhara makubwa tu.
Waarabu kijana akibalehe mzazi humuoza despite anasoma au la ila sisi weusi na wazungu tunasubiri kwanza huku tunazo hisia tunazihifadhi kinafiki tunajiona tunasubiri wakati.

Ikiwa bikira Maria tunaambiwa alichumbiwa akiwa binti mdogo alikuwa bikra, Sasa huyu unaemuokokesha halafu anasuburi amalize University ndipo apatikane mchumba amuoe, hicho kipindi chote hisia zake za kimahaba anapeleka wapi mnadhani?

Halafu tendo moja mnalipea majina mabaya kibaooo kiasi kwamba mnalimalizia utamu na kuleta madhara kisaikolojia kila mtu akitafakari saa hiyo kichwa cha chini hakisomi namba balaa tupu.

Watu wa vitabu mje mseme hapa.
1. Kama kutenda kabla ni kosa kwanini hisia ziumbwe kabla ya hiyo ndoa?
2 kwanini hizo hisia hazikuumbwa baada ya ndoa ili ibalansi mahesabu?
3. Kwanini mnazuia watu wasifanye wakati hawana option na hizo hisia zao, yaani ana njaa mnamkataza kula msosi uko mbele yake dah!
4. Sex Kama other basic needs why inawekewa masharti Sana?
Yes, lete challenge watu tujifunze maana mambo Mengineo bwana hata hayana balance. Tunamsubiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom