Ijue maana ya neno "Demka". Ni Kiswahili kutoka Zanzibar chenye asili ya lugha ya Kikae

Wewe Mataga acha kujitoa ufahamu! Walio ambiwa waache kudemka ni akina nani? Siyo wale ndugu zako wa kule bungeni wanao tumia muda mwingi kutaka kumlinganisha hayati na Rais wa sasa?
Walioingia Bungeni kwa uchafuzi wa Uchaguzi...
 
Hilo ni neno lenye asili ya makabila ya kibantu, na linatafsiri nyingi mfano makabila ya mkoa watanga KUDEMKA wanalitumia kwa uchezaji wa ngoma vineyard au mtoto wakiume akitembea uchi, ndio anaambiwa ADEMKA MWAZI
 
Wa kulaumiwa kwenye hili sakata la "kudemka" wala sio wakina Kibajaji au Msukuma, bali ni yule mpiga ngoma mkuu mwenye file hospitali ya Milembe. Yeye ndiyo anatolerate hyo ngoma ya Sindimba kupigwa ndani jengo la serikali Huku yeye akiwa ndiye mkatikaji mkuu! Bora Mama amemtolea uvivu kwani anakera sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…