Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtademka sana mpaka shanga na chupi ziwatoke viunoni. Mama hataki lakini..mmeshapigiwa ngoma mpya mmeanza kudemka nayo.
naikumbuka ile mifugo ya Serengeti
Ndungai na muhongoNa Nape na Makamba
Walioingia Bungeni kwa uchafuzi wa Uchaguzi...Wewe Mataga acha kujitoa ufahamu! Walio ambiwa waache kudemka ni akina nani? Siyo wale ndugu zako wa kule bungeni wanao tumia muda mwingi kutaka kumlinganisha hayati na Rais wa sasa?
Kutwaaaa mnalia na story za kumsifia mtu aliyekufa hadi Mama samia amewachoka amewatolea uvivu.
Nilimuona anashangilia kwa kupiga meza wakati lusinde anademka.Ulimsikia PM?
Hilo ni neno lenye asili ya makabila ya kibantu, na linatafsiri nyingi mfano makabila ya mkoa watanga KUDEMKA wanalitumia kwa uchezaji wa ngoma vineyard au mtoto wakiume akitembea uchi, ndio anaambiwa ADEMKA MWAZIHongera Mh Rais Samia Suluhu kwa kutuongezea msamihati kwenye lugha yetu.
Katika kongamano na viongozi wa dini Rais Samia ametumia neno la kiswahili ambalo ni adimu kulisikia mitaani ingawa ni neno la kiswahili kutoka asili ya kusini mwa zanzibar.
demka Taz. demnga.
demnga V cheza ngoma kwa maringo; kujionea fahari katika uchezaji ngoma; kuonyesha
mbinu mbalimbali zilizo bora katika mchezo wa ngoma (play by swaggering):
Nanuhuyu kanademnga (demka) ja gurudumu bovu. ......Fulani anacheza
kama gurudumu bovu.
Watu pya wevu wakamlola yeye avyoja akademnga
(demka). ...Watu wote wakimtazama alipokuwa akicheza kwa maringo.
WATU WAACHE KUDEMKA ....WACHAPE KAZI IENDELEE
Ulimsikia PM?
Nimemsikia lusinde na musukuma.
Na Nape na Makamba
Ndungai na muhongo
Achen ccm kudemka hovyo mtaangusha mishanga ya kiunoniDaudi mama kasema uache kudemka, yeye SSH na JPM ni kitu kimoja
View attachment 1755728
Cc Tate Mkuu Wangari Maathai fundi25 Themagufulianz
Wanacheza kwa kudemka hawajui yeye ni Rais kama alivyo kuwa Rais Magufuli tofauti jinsia! Mama kafokaDaudi mama kasema uache kudemka, yeye SSH na JPM ni kitu kimoja
View attachment 1755728
Cc Tate Mkuu Wangari Maathai fundi25 Themagufulianz
Kama ni za gold tuta ziokota kama za Kimasai wasidemkeAchen ccm kudemka hovyo mtaangusha mishanga ya kiunoni
Kwa sauti ya upole lakini yamewaingia akiliniMama kafoka
😂😂😂😂😂😂lolKama ni za gold tuta ziokota kama za Kimasai wasidemke
Sioni za Gold pale ni za Kimasai fullKama ni za gold tuta ziokota kama za Kimasai wasidemke
😂😂😂😂😂 waache kudemkaSioni za Gold pale ni za Kimasai full
Watu wazalendo kweli wanavaa shanga zenye rangi ya bendera ya taifa😂😂😂😂😂😂lol