Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Nchi ya kiislam aisee sharia law iko governed under Malay Islamic Mornachy (MIB)

Sasa namba7 itawezekanaje?
 
Sultan ndio waziri wa ulinzi na ni waziri wa fedha pia.

"Sultan is not accountable to any legislative or watchdog body" (Jones, 2016)
 
Wanachimba Mafuta, wanayo mengi ya kutosha kuzidi idadi ya watu na mahitaji ya nchi, ndo maana huko raia mpaka Mfalme wanamwaga radhi tu.Dini ni fashion Brunei.
 
1. Nchi ya kiislam iko chini ya sultani, ukubwa km 5786sq ina watu 438,720 tu mpk Feb 2016

2. Free education, free health, ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiwno mkubwa wa watu na magari (1:209)

3. Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba ty hutumika kupoint kitu

4. Sultan Hassanal Bolkiah, ni wa 29 anamiliki magari zaid ya 5,000 ya kifahari;
20 Lamborghinis,
160 Porsches,
130 Rolls Royces,
360 Ferraris,
170 Jaguars,
180 BMWs,
360 Bentleys, and 530 Mercedes-Benzes.

5. 93% ya watu wote wameenda shule au wanasoma

9. Mwaka mzima ni joto ikiwa na relative humidity ya 93% na mvua ni ya kutosha

10. Per capital income ni usd~39,970

11. Lazima kuv

12. Brunei ni nchi ambayo watu hawalipi kodi yeyote-tax free country

13. Sultani wa sasa bi ukoo uliotawala kwa miaka 600

#kwa_hisani_ya_google & personal visit

source ya mapato yake pls
 
Miaka ya nyuma uongo ulienea ukisemekana ulitokea ubalozi wa uingereza ya kuwa Brunei wanahitaji wafanyakazi wengi.

Watanzania walikuwemo na mataifa mengi ambao walikwama Malaysia na kurudishwa home.

Mshahara wakati huo walisema ni $30,000 kwa mwezi kufagia barabara mmmh mi nilishtukia hilo too good to be true
 
Back
Top Bottom