Nipe utaratibu wa kuishi huko
MGC
Wako bize kweli kumkamua masikini kama kawachukulia chaoNchi zingine kila siku zinabuniwa njia za kuwafanya raia walipe kodi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kibongo bongo ratio yetu ya magari ipoje mkuu?Hiyo ratio ya watu na magari sio sahihi...
By 2016 ratio ilikuwa gari 1 kwa watu wawili, yaani
( 1: 2.09)
Wewe kapuku kenya inakushinda ndo utaweza brunei ?eti kanchi kahovyo ama kweli nyani haoni kundule ...wewe upo hapa kwenye nchi ambayo mnafanywa anavyotaka ngosha hamko huru ,jela nje nje njaa kali uchumi unadorora kujuana kumeshika hatamu halafu unabana pua hapa bruneiiiiii sendi mxcuuuu ,subiri kutekwa tu na watu wasiojulikanaKwa Nchi ka hovyo kabisa na ka ubaguzi uliopindukia! Eti no,6 na 7 marufuku! kwanza sitaki kwenda huko.
Kwenu nyinyi si kuna haki sawa ,mwanamke anaruhusiwa kuoa mwanamke mwenzie ,mashoga ruhusa kupanda madhabahuni ,kutembea uchi kwenu ndo maendeleo, mmekuwa watumwa washetani weupe nyinyiHuko hakuna night bussiness aisee na mwanamke amedidimizwa sana. Sheria za kipuuzi sana hata hapafai kwenda
Wana rasilimali gani zinazowapa utajiri huu wa kutisha ?1. Nchi ya kiislam iko chini ya sultani, ukubwa km 5786sq ina watu 438,720 tu mpk Feb 2016
2. Free education, free health, ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiwno mkubwa wa watu na magari (1:209)
3. Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba ty hutumika kupoint kitu
4. Sultan Hassanal Bolkiah, ni wa 29 anamiliki magari zaid ya 5,000 ya kifahari;
20 Lamborghinis,
160 Porsches,
130 Rolls Royces,
360 Ferraris,
170 Jaguars,
180 BMWs,
360 Bentleys, and 530 Mercedes-Benzes.
5. 93% ya watu wote wameenda shule au wanasoma
6. Marufuku kuuza au kununua au kunywa pombe hadharani
7. Hakuna nguruwe hata 1 nchi nzima
8. Nchi pekee iliyo northern & southern Hemisphere
9. Mwaka mzima ni joto ikiwa na relative humidity ya 93% na mvua ni ya kutosha
10. Per capital income ni usd~39,970
11. Lazima kuvua viatu unapoingia nyumba yeyote ndani ya Brunei
12. Brunei ni nchi ambayo watu hawalipi kodi yeyote-tax free country
13. Sultani wa sasa bi ukoo uliotawala kwa miaka 600
#kwa_hisani_ya_google & personal visit