Ijue Comoro: Fursa za Biashara na Changamoto Zake

Yaani wewe ndio mjinga unaebisha kitu ambacho hujui.

Kuna watu wengine naona upumb*** ni asili yenu.
Really?
We jamaa mbona unabisha vitu ambavyo hujui? Anyway wapuuzi kama wewe ni wakupuuza.
Seriously?
Inaonekana hata Comoro hajawahi kufika
Ni kweli na wala sina mpango wa kufika huko, route zangu ni Sheghen countries and UK.
Need i say more?
Hata wazungu wanaokuja Tanzania wana hiyari ya kuomba viza kwenye balozi zetu kwenye nchi zao, au viza on arrival airport, hujuwi kitu takataka tu.
Acha kumjibu huyo Matola. Ni chizii flani anayejifanya anajua kila kitu.
Hakuna anayejiuwa kila kitu, ila huwezi kunidanganya vitu vidogo sana kwangu kama hivi.
Nimeanza kusafiri wakati Uingereza Watanzania tulikuwa tunaingia kwa entry tu airport hatukuwa tukiomba viza ubalozini kabla Wapemba hawajatuharibia mwaka 1995 na CUF yao.

Ndio sembuse Comoro nchi ambayo naamini bado swala la choo kwa kila nyumba bado mtihani ndio wawe na condition hizo?

Je una lingine?
 
Sijawahi kuona mzee mjinga kama wewe.
Si ukubali tu kuwa hujui.

Eti enzi mnaenda uingereza.
Hivi una hata passport kweli?
 
1comorian franc=0.0023USD

Iyo thaman unayosema ni ipi mkuu
Kama umesoma vizuri ukaelewa, nilisema sielewi kwanini pesa yao ina thamani ukilinganisha na ya kwetu.

Kwa mfano 1000 ya Comoro ni almost 5400 ya kwetu ukiipeleka kwenye USD unapata ngapi?
 
Iko hivi Comoros ni nchi ya kitu kidogo rushwa na ubwanyenye ni mwingi sana.
Kwa hiyo hata mambo yanavyoendeshwa ni lazima uwe na connection ya kukushika mkono.

1. Nilishuhudi mtanzania akiharibiwa matikiti maji yake kisa kakosana na mamlaka.

2.Ukiwa mgeni ukiwekeza uwekezaji mkubwa huyo aliyekushika mkono anaweza kukufanya kitega uchumi pia.

3.Usafiri ni ndege tena ATC na kuna vindege vingine vidogo nimesahau majina

4.Meli ni kwa ajili ya mizigo, by the time niko kule kuna kampuni ilikuwa inafanya research ya kupeleka meli na hata JMT kupitia JWTZ walitaka kupeleka meli za mizigo.

5.Nchi haiko stable kisiasa, Rais wa madarakani ka edit katiba kaongeza muda, halafu kamuweka lockdown raisi wa Zamani Sambi.

6.Visa, zipo za airport ila mpaka uwe na justificative za wapi unafikia, kifupi jamaa hawako systematic, walishawahi kumzuia jamaa fulani pale airport aliletwa na kampuni.

7.Ukitaka kuona sisi JMT ni matajiri nenda Comoros.

8.Mademu wakali wengi ni wa Kianjouan wana kama mixer.

9.Comoros iko kwenye arab league.

10.Mtanzania unaitwa Mdarisalama

11.Moroni kwa hapa kwetu ni kama pale Rangi tatu
Kutoka Zakhem mpaka Charambe, kwa anayepajua jenga picha hiyo.

12.Fursa za biashara ni za chakula sana sana,zamani mpaka nyama
Mchele( maele),magimbi, ndizi, mayai hivi utauza,jamaa hawaujui ugali.
Watu wanapeleka mpaka ndimu.

13.Kilimo:Ardhi ya Grande Comoros sehemu kubwa ina mawe, kilimo labda kisiwa cha Mohel na Anjouan.

14.Wabongo wapo mpaka mama ntilie, mafundi simu, wauza maduka. Asilimia kubwa ni wazanzibar kutoka na historical back ground kwani kuna mpaka majina ya sehemu kufanana
Mfano ngome kongwe kule kuna Ngome kazi kama sikosei.

15.Lugha ni Chikomore na Kifaransa, Kiingereza chako utawapata wachache, hata mademu itakuwa shida, bora uongee kiswahili wanakuelewa kidogo.

16. Muunganiko wa watanzia upo ila haupo thabiti sana kwa kweli, kuhujumiana, majungu kibiashara kupo sana.

Inatosha hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…