Ijue Botswana japo kidogo tu

Ni kweli kbs mie nimewahi kukaa kidogo ktk jimbo la bangwene,mila na desturi zao ni km wasukuma kbs.nyumba zao za mitambiko,namna wanavyoshughurikia misiba na matanga!!yaani kila kitu utafikiri ni wasukuma kbs.
 
Andaa tu milioni moja na nusu ya Kitanzania, siku mbili au tatu kama kutembea zinatosha mkubwa. (Sina uzoefu sana na matumizi, mwezako huku niliko ni Mario kama mnavyotuita huko, nimefanya tathmini pasipo uhalisia kupitia mimi)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha mkuu.
 
Msukuma kaandikia wasukuma wenzake uzi kujifananisha na Watswana.
 
Hua napita pita tu kwa sasa

Duh, Botswana Nzuri-Gabs yenyewe, Main mall, African mall, Phakalane nk, lakini pamoja na uzuri huo Namibia ni mwisho wa matatizo, Nakumbuka Nyama za Katutula, Swakop na Wavis Bay sio mchezo, ni kweli hizo nchi za South za Namibia na Botswana raia wake hawana tress kabisa, wanaishi maisha ya furaha sana si tupo nyuma sana sana
 

Yeah hawa jamaa wanaishi af maisha simple hawana complication Tz tumekalia siasa tu hakuna lolote Namibia mji kama Swakop walvis unakula upepo wa Atlantic safi kabisa.
 
Napenda sana zile sand Dunes na zile Quad-Bike za kupandia hizo dunes,
Wana enjoy sana basi tu na ndio nchi unaweza sema unaomb uraia ukaishi hua inaniuma sana nilikua napita tu af boda to boda ila nilionjoi sana mana hzo nchi nimekatiza pande 4 kwa gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…