Igunga OFFICIAL Results: Dr. Kafumu atangazwa mshindi

matokeo tayare,wote tuwe pamoja kwaajili ya maendeleo.kampeni basi tunasubiri vitendoo.
 
haya ccm imeshinda kwa kishindo IGUNGA. CCM ndio dume IGUNGA YALISEMWA MENGI. CDM WAKATAA MATOKEO.
 
kwa mujibu wa radio one..wale jamaa wa magamba wameshinda. Pole sana igunga..maana hamjifunzi na makosa. Hongereni chadema kwa kufukuzia hawa jamaa, mmewaweza najua hapo walipo wameanza kuwaogopa. Yangu macho kwa huyo mbunge mliyemchagua.
 
Chadema wameyakataa matokeo sbb ya rafu nyingi zilizochezwa na ccm.
 
Okey wana haki ya kususa. na wanastahili pongezi jaribu kufikiri , wanapambana na ccm, cuf , bakwata na serikali, we kataka akiri yako na elimu yako ya madrasa unategea haki hapo????? acha kufikiri kwa kutumia masaburi .
kwel kabisa chadema ni kiboko
 
Sita awasha moto mpya Dowans,
asema ni biashara ya wahuni wachache, wezi.
 
Habari ndio hiyo,,ccm imetetea jimbo kwa mbinde,,cdm wapoteana dakika za mwisho..cuf a.k.a ccm 'b'chali chali kwisha kabisaaaaaaa
 
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, CDM kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !

Tatizo siasa mnazifanya kwa ushabiki kama wa mpira' hv kwa akiri yako ni sahihi kwa ccm kuongoza Igunga katika mazingira haya?!
 
Igunga wamechagua mtu wanayemtaka. Tunawatakia kila la kheri. Kafumu asisahau ahadi zake.
 
Back
Top Bottom