Igunga OFFICIAL Results: Dr. Kafumu atangazwa mshindi

Kweli ipo sawa hii?
attachment.php


298136_266759406692254_100000745916322_849214_1602343532_n.jpg
 
Well, uchaguzi umeisha sasa ni wakati wa kuangalia mbele na Taifa letu, badala ya kuyumbishwa na na huu uchaguzi mdogo ambao haina any-reflection kwa uchaguzi wa taifa ujao. Cha muhimu ni kujifunza aliyeshinda ameshinda nini na walioshindwa wameshindwa nini, na je wananchi wameshinda? na Taifa at large vipi limeshinda?

- Kwa machache tuliyoyasikia kuhusu huu uchaguzi, ukweli ni kwamba inakatisha sana tamaa on our Nation at large, tunakwenda wapi? Na tunatoka wapi? Mapesa yote yaliyotumika yametoka wapi? Je yatalipwaje huko yaliokotoka?

HUZUNI TUPU KWA TAIFA!

Willy @ NYC, US. - Baharia Mutus!
 
Hiyo ni halali hata ikiwa na saini moja tu, kwani utamlazimisha mtu kusaini kama hataki?
 
Well, uchaguzi umeisha sasa ni wakati wa kuangalia mbele na Taifa letu, badala ya kuyumbishwa na na huu uchaguzi mdogo ambao haina any-reflection kwa uchaguzi wa taifa ujao. Cha muhimu ni kujifunza aliyeshinda ameshinda nini na walioshindwa wameshindwa nini, na je wananchi wameshinda? na Taifa at large vipi limeshinda?

- Kwa machache tuliyoyasikia kuhusu huu uchaguzi, ukweli ni kwamba inakatisha sana tamaa on our Nation at large, tunakwenda wapi? Na tunatoka wapi? Mapesa yote yaliyotumika yametoka wapi? Je yatalipwaje huko yaliokotoka?

HUZUNI TUPU KWA TAIFA!

Willy @ NYC, US. - Baharia Mutus!
Yaani ukisikia matumizi mabaya ya kitaifa ndio hapo utalia na Igunga.. wakati nchi za wenzetu wanapunguza matumizi kuboresha hali ya uchumi wao sisi ndio kwanza tunaongeza matumizi...Lakini tukubali moja ya kwamba Mtu mweusi na matumizi yasiyo na maana ndio MAISHA! Wee waulize watu hapa JF - Kuna ubaya gani kutumia mamillioni ili upendwe na mwanamke asiyekupenda?
 
Hiyo ni halali hata ikiwa na saini moja tu, kwani utamlazimisha mtu kusaini kama hataki?

Ukiwa malaya wa akili basi hata macho yanakosa busara na domo linapayuka kwa kweli .Usitumie mavi kuwaza ndugu kama huna la kusema kaa kimya .Kama hakuna umuhimu eneno la kuweka sahihi hapo kwenhye formu lina maana gani ?
 
jamani wala msiwe na haraka. nape huwa anainia mid night humu jamvini......mwisho usiku wa jana kuamka leo aliingia mida kama saa saba hivi kutuwekea matokeo na majigambo kidogo....so naamini leo tena wameshinda lazima atpita tu huku na atatuambia kama ile project ya kuvua magamba bado ipo au ilikua nguvu ya soda. Halafu nimekumbuka kitu, eti jamani zile $ 100/= alizpkua ameahidiwa kama atahutubia alizipata au ndo ameshindwa?
 
Natamani Nape aendelee na mradi wake wa kuvua magamba vigogo ili kampeni iendelee.

Baada ya ya Igunga tunaelekea wapi kwa kampeni.
Mkuu,
Kama wewe unafuatilia vizuri siasa za Bongo utagundua kwamba Nape hana tena ubavu wa kuzungumzia magamba na nguvu ya hawo wakubwa yaani Rostam, Lowassa na Chenge ndani ya chama Nape hana ubavu wa kuigusa. Ndo maana alipigwa marufuku yeye na wana ccj wenzake kushiriki kampeni za Igunga, na Rostam akapigiwa magoti kuwasaidia ili washinde Igunga. Nape atabaki porojo tupu na wazee wa magamba wataendelea kupeta
 
Lengo la falsafa lilikuwa ni kuwatoa waisilamu Makamba na Rostam. Magamba yameisha, chama kinaendelea na mambo mengine, waisilamu wanaendelea kudanganywa !

Wewe ndio bure kabisa nani kakudanganya RA ni Muislam? Umesomea BAKWATA nn wewe? Nyie ndio mna ufanya Uislam uonekane dini ya kuchezewa na kila mtu atakavyo. Si ajabu hata mama Kimario unadhani ni Muislam. FUNGUA AKILI! RA haswali msikitini. Jaribu kuchunguza.
 
Wewe ndio bure kabisa nani kakudanganya RA ni Muislam? Umesomea BAKWATA nn wewe? Nyie ndio mna ufanya Uislam uonekane dini ya kuchezewa na kila mtu atakavyo. Si ajabu hata mama Kimario unadhani ni Muislam. FUNGUA AKILI! RA haswali msikitini. Jaribu kuchunguza.

m.kimario ni muislam kwa mujib wa bakwata, isipokuwa anafuga mdudu kule tegeta kama mrad, ss nakushangaa ww.
 
Uchaguzi umekwisha mshindi amejulikana ni kama vile mechi ya mpira wa miguu kumalizika baadae ukadai refa alikua na upendeleo. Ninafikiri cha muhimu kwa wakati tulionao ni kufikiria zaidi maslahi ya wakazi wa igunga na kujaribu kureflect uamuzi wao kama ni sahihi.

Changamoto kubwa kwa kiongozi yoyote ni kutekeleza yale aliyoahidi ukitaka kujua hilo muangalie Obama. Tunachohitaji Tanzania kina uhusiano sana na aina ya kiongozi kuliko kuangalia ametoka chama gani. Hilo linaweza kufahamika kwa kuangalia challenges zilizopo. Kwa wale wanaoamini dini wanakubali kua kila nabii alikue akipelekwa na miujiza ambayo itakabiliana na challenges za jamii yake kama ni wachawi basi miujiza yake itakua kama vile kufufua watu.

Kiongozi anaehitajika sasa Tanzania ni yule atakaye jibu challenges za jamii. Raisi peke yake hawezi kulifanya hilo. Kama tabia za kupenda rushwa, uvivu, ubabaishaji, ujanja wa kienyeji hautabadilishwa, haonekani kua kutakua na mabadiliko ya msingi kwa muda wa miaka mingi ijayo. If you want change be part of it. Mahatma Gadhi
 
Ingawa tunapaswa kuwa na mipango ya muda mrefu, lakini Mla ni mla leo, hayo ya 2015 ni maajliwa ya Mwenyezi Mungu. Mwaka 2015 Afrika Mashariki itakuwa nchi moja na Rais atakuwa Y. M7.

Kwani Zanzibar ishakubali ajenda hio ?
 
NO DEMOCRACY!!!

Kwahiyo ina Maana ni rahisi kugushi kura sababu waliojiandikisha ni mara mbili ya waliopiga kura au ni mara nne ya wa CCM na CHADEMA

Kwahiyo ni rahisi hizo kura kuchakachuliwa agalia hizo forms inaleta uwalakini

Ni aibu kweli hakuna ukweli hapo....

Wapiga kura woote hawakuzidi 50,000 na waliojiandikisha ni 171,000 kwahiyo zaidi ya 100,000 hawakupiga kura inaonyesha hakuna demokrasia hapo.




pakua+%252810%2529.jpg



pakua+%252811%2529.jpg
 
Chadema lazima ijue out get out to vote drive ingewanufaisha wao... kwahiyo inengetekeleza hayo zunguka maeneo yote run hiyo drive toa msaada wa usafiri au chakula kama pilau au soda watu wangeenda vituoni kupiga kura

Watu zaidi ya laki moja yaani 100,000 hawakupiga kura na chadema imeshidwa kwa kura elfu nne yaani 4,000
 
Pamoja na serikali yote kuhamia Igunga lakini bado ccm imeshinda kwa tofauti ya kura elfu tatu pamoja na uwizi na kununua shahada,2015 jimbo la igunga litahamia chadema.
 
NgomaNgumu,

Umeandika vizuri lakini je kichwani mwako unaamani kuwa hiyo change italetwa na CCM kama ulivyoandika?..."Kama tabia za kupenda rushwa, uvivu, ubabaishaji, ujanja wa kienyeji hautabadilishwa, haonekani kua kutakua na mabadiliko ya msingi kwa muda wa miaka mingi ijayo. If you want change be part of it. Mahatma Gadhi" .
Mie nakubaliana na bandiko la Mukandara 100% kuwa huwezi kuanza kutibu kidonda wakati mwiba/risasi bado haijatolewa. Maumivu yataendelea mtindo mmoja na huyo paka kwenye corner ataanza kutafuna kila mtu. Kibaya zaidi huyo paka akigundua anaogopwa basi atakuwa hashikiki, haambiliki mwenye madhara makubwa zaidi. Kama kuna mtu anajali maslahi ya nchi basi afanikishe uvunjikaji wa CCM haraka (Watoto kusubiri urithi baba akifa...kuna watoto wengine wanajeuri ya kumuwekea baba sumu wakiona hafi na anakuwa rogue/mkatili/anazeeka vibaya)
 
Kuna uwezekano mkubwa kwamba daftari la kudumu la wapiga kura lina idadi kubwa ya majina kuliko idadi halisi ya wapiga kura walioandikishwa.
Hii siyo kwa Igunga tu, bali kwa maeneo mengi ya nchi.
Yawezekana majina hayo yameongezwa kwa makusudi maalum (kurahisisha uchakachuaji) au kwa kwa bahati mbaya, hata hivyo vyovyote iwavyo ni muhimu kuhakiki upya orodha ya wapiga kura na kurekebisha ili iendane na hali halisi.
Haiwezekani wajitokeze asilimia ndogo ya wapiga kura katika chaguzi zote!
 
Chama cha kijani kimeahinda kwa kuiba kura 26,000....[/QUOTE]

Kama JK aliiba kura atashindwa nini kuiba kura za Igunga. Wacheni wajichimbie makaburi. wameshindwa kuhesabu kura chini ya laki mbili kwa masaa? AIBU KUU.
 
Back
Top Bottom