LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Damu alizo mwaga zime mgeukaUzee umemvaa mapema, mamlaka yake ya uteuzi imsaidie kazi kumsitiri.
Damu alizo mwaga zime mgeukaUzee umemvaa mapema, mamlaka yake ya uteuzi imsaidie kazi kumsitiri.
Hawa viongozi wetu hawa!!! Dahhh......yaani hata kama wanania nzuri....hivi unatangaza mbinu za kukabiliana na adui hadharani? Kwanini usipandikize watu humo kimya kimya wakaanza kuangalia hicho unachokitaka?Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki?
Kama polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri?
Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu pekee unachoweza kujifunza kule ni namna serikali inavyoua wapinzani wa PK ndani na nje ya nchi. Ni upuuzi kwenda kule 'kujifunza'.
Ndio hapo sasaHawa viongozi wetu hawa!!! Dahhh......yaani hata kama wanania nzuri....hivi unatangaza mbinu za kukabiliana na adui hadharani? Kwanini usipandikize watu humo kimya kimya wakaanza kuangalia hicho unachokitaka?
Kweli ombwe la uongozi Tanzania limekuwa too much sasa...ndio maana Kipanya amewachora, yaani nikichekesho kitupu. Pumzike kama mnashindwa kwenda na kasi ya mabadiliko ya Dunia...sio lazima mfie huko.
Hata kwenye tukio la Hamza Sirro alikuwa very unprofessional, alionesha chuki kwa familia na dini ya Hamza waziwazi. Kwa kiongozi mkubwa kama yeye ule ni uzembe wa hali ya juu mno.na hiki ndio alikisema James Mbatia last week, kwamba wao polisi ndio wachochezi na magaidi
kuwa harass Waislamu au kundi la dini yeyote ile ni kuwajaza chuki na ndio uchochezi wenyewe huo
Huyu mzee wenu kunguni kajisagia mwenyewe, sijui ndio umri wa kustaafu umefika sasa anaamua kujilipua tu liwalo na liwe?Ndo mmeanza kumroga Kamanda Siro kama mlivyofanya kwa Kalemeni. Sageni kunguni mama atamwaga maji ya moto sasa hivi