Kama hayati na yeye hakujua ni nini kilitokea kwenye kutekwa kwa Mo Basi kuna Mengi alikuwa hayajui hadi umauti wake!!!Huyu hajui anachokisema
Kwa hio tuseme lissu angekufa siku hio na uchunguzi ndio ungeishia siku hio!?
Haya mambo hay?
Tukio la mo ndio maana hata magu alishawahi kuwaambia kua hawakueleweka kwa jamii ni nini hasa kilimtokea mo
Huyu akiendelea watu hawatakaa wafanye mikutano ya hadhara au kuidai katiba mpya kwa maandamano ya amani
Tusahau hilo
Mikesha ya mwenge nayo imetuletea balaa. Muoneni na huyu, huu bila shaka ni uzao wa wakesha mwenge.Kwani sasa hivi Makonda umemfanya nini?
Wadhifa wa Lisu unamzuia kuhojiwa na polisi
Hamna mtu wa kuhangaika kufanyia uchunguzi msaliti wa taifaHili tukio hata kama ni miaka mia ijayo..lazima watanzania walifanyie uchunguzi....lazima awekwe wazi aliye toa amri na kutekeleza hili tukio la kishenzi kuwahi kutokea