kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,807
Ni kwa mujibu wa habari kutoka magazeti mbalimbali leo asubuhi. Inadaiwa kuwa Ikulu imemwongezea mkuu wa jeshi la police nchini IGP Said Mwema muda wa utumishi serikalini baada ya muda wake wa awali kumalizika.
My take:
Inaonekana IGP amefanya kazi nzuri ya kuidhibiti CHADEMA katika harakati zake.
================
Kutoka kwa members wengine:
================
My take:
Inaonekana IGP amefanya kazi nzuri ya kuidhibiti CHADEMA katika harakati zake.
================
Kutoka kwa members wengine:
================
Katika kile kilichodaiwa Rais kutaka baadhi viongozi wa Jeshi la Polisi kuendelea kuwa kazini mpaka 2015 amewapa mkataba wa miaka miwili Mkuu wa Jeshi hilo Said Ally Mwema, Seleman Kova, Michael Kamhanda ambao kisheria walipaswa kustaafu ifikapo Julai Mosi.
Iimekaaje hii!?