mtundu27
Member
- Jul 17, 2018
- 78
- 123
Habari za jioni? Poleni na mihangaiko ya kazi.
Hivi mbona mkuu wa jeshi la polisi anashushiwa heshima kiasi hiki?
Leo tumesikia hukoTarime, mkuu wa mkoa akisema polisi wakimruhusu Zitto ahutubie, basi atafukuza kazi wote waliokuwa huko.
Hivi mamlaka ya kipolisi siku hizi inaendeshwa kwa matamko?
Hii hali isipokemewa, tutakuja pata matatizo mbeleni.
Maana alianza Kangi kumpa maagizo as if ni mtoto wake, leo huko tarime mtu anajifanya Mungu mtu, hii katiba iliyopo sijui imekuwaje mpaka sasa haijarrkebishwa.
Na kwa style hii 2020 naona damu ikimwagika katika nchi hii, maana udiwani tu watu wanatishwa hivi, je urais itakuwaje?
Hivi mbona mkuu wa jeshi la polisi anashushiwa heshima kiasi hiki?
Leo tumesikia hukoTarime, mkuu wa mkoa akisema polisi wakimruhusu Zitto ahutubie, basi atafukuza kazi wote waliokuwa huko.
Hivi mamlaka ya kipolisi siku hizi inaendeshwa kwa matamko?
Hii hali isipokemewa, tutakuja pata matatizo mbeleni.
Maana alianza Kangi kumpa maagizo as if ni mtoto wake, leo huko tarime mtu anajifanya Mungu mtu, hii katiba iliyopo sijui imekuwaje mpaka sasa haijarrkebishwa.
Na kwa style hii 2020 naona damu ikimwagika katika nchi hii, maana udiwani tu watu wanatishwa hivi, je urais itakuwaje?