Ndio maana mnapigwa chini kwenye teuzi maana hapa uneandika uharo ambao ni ushahidi tosha kuwa vijana wa lumumba hawana akili kabisa.Yeye alitakiwa apeleke polisi kuweka usalama kama anaona kusingekuwepo na usalama.
Hebu rudia taratiib kusoma andiko lako ulinganishe na nilichoandika useme aliyeandika uharo ni nani kati yangu na weye.
