Ponjoro La Kizimkazi
Member
- Jul 1, 2025
- 26
- 41
Wakuu habari za muda huu?
Naandika hapa nikiwa nimefura kupitiliza. Imetosha sasa, hii serikali inabidi ifike mahali iheshimu raia.
Haiwezekani watu wawe wanajizimia zimia tu mitandao wanapojisikia.
Watu tumejiajiri huko YouTube, na leo jioni hii nilikuwa na darasa (huwa natrain watu mbali mbali ambao wanalipia), sasa mtu anatokea mtu sijui kala maharage ya wapi anazima network kisa Humphrey Polepole. Na hii si mara ya kwanza. Si mblock hiyo URL specific. Kwanini mnablock YouTube nzima? Ina maana hii nchi mambo yatakuwa yanasimama kila Polepole akiongea?
Mliblock X(zamani Twitter) hivi hivi, tukakaa kimya maisha yakaendelea. Na msivyo na haya wala aibu, na nyie wenyewe mnapost huko? Sasa mnampostia nani wakati mmeblock? Mnapost ili wananchi wa nchi gani waone?
Jipangeni, censorship haiwezi kuwa way of life. Badilikeni na mjiheshimu, hasa nyinyi TCRA. Tafuteni njia sahihi ya kudili na Polepole. Mtu mmoja hawezi kusimamisha nchi nzima kwa sababu ya incompetence yenu. Tunalipa kodi TRA FFS. 😡
Naandika hapa nikiwa nimefura kupitiliza. Imetosha sasa, hii serikali inabidi ifike mahali iheshimu raia.
Haiwezekani watu wawe wanajizimia zimia tu mitandao wanapojisikia.
Watu tumejiajiri huko YouTube, na leo jioni hii nilikuwa na darasa (huwa natrain watu mbali mbali ambao wanalipia), sasa mtu anatokea mtu sijui kala maharage ya wapi anazima network kisa Humphrey Polepole. Na hii si mara ya kwanza. Si mblock hiyo URL specific. Kwanini mnablock YouTube nzima? Ina maana hii nchi mambo yatakuwa yanasimama kila Polepole akiongea?
Mliblock X(zamani Twitter) hivi hivi, tukakaa kimya maisha yakaendelea. Na msivyo na haya wala aibu, na nyie wenyewe mnapost huko? Sasa mnampostia nani wakati mmeblock? Mnapost ili wananchi wa nchi gani waone?
Jipangeni, censorship haiwezi kuwa way of life. Badilikeni na mjiheshimu, hasa nyinyi TCRA. Tafuteni njia sahihi ya kudili na Polepole. Mtu mmoja hawezi kusimamisha nchi nzima kwa sababu ya incompetence yenu. Tunalipa kodi TRA FFS. 😡