Ifike hatua niachwe tu!

Miaka 28 (hili nina uhakika nalo hasa nikizingatia uchakavu wa injini, rejeta, pia mileage sio ya kitoto ila isingekuwa mizinga yote hayo yanavumilika) kuhusu elimu anasema ana diploma ishu za tourism (kuhusu hili Sina uhakika, kweli mwenye diploma anaweka X kwenye S kweli?)

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ahaaaaahaaaaaahaaaaaa

Xaxa bebi cio vixuri
 
Mwanzoni nilisema nimvumilie tu nitambadilisha ila naona mwenzagu atatunza misingi yake ya uandishi

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Hawabadiliki, hata mimi kuna kamoja nlikuwa nako kakaanza kupenda usista duh.
Mizinha yakw siyo ya nchi hii. Kila simu moya kanataka, kila fashion kanataka, na kana demand over kameniwekesha pesa, yani kangekuwa na mwanasheria kangekuwa kanatuma demand note.

Nikaona isiwe tabu nikawa kakiomba hata lak tano mimi jibu usijali utapata, lakini situmi hata ten.
Kanaongea wee halafu kanaomba sijui simu, mimi nakambia usijali utapata tu hilo tu.

Kalichoka kenyewe, na nikakapotezea huko mbali. Kakawa kanipa spokei, kaanza tuma msg nikakablock.
 
Basi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za Western Union yaani Barclays kabisa achana na hizi za Mkombozi akaunti!

Huku na huku nikajikuta tu namuelewa kila nikimuona moyo unakosa utulivu nikasema cha kufia nini acha nijilipue! Nikatega mingo, binti akajaa wavuni Sasa sijui yeye ndio aliingia kwenye anga zangu au Mimi ndio niliingia kwenye anga zake but all in all viliumana!

Utamu wa penzi jipya ukawa utamu kweli! Yaani vile nikiwa nae najiona kabisa nipo level nyingine! Sasa shamra shamra za penzi jipya zikaisha ikabidi tuingie kwenye true life yaani maisha ya kweli! Aisee sikudanganyi sijawahi kuona mdada anapiga mizinga Kama huyu manzi wangu! Hakuna cha Kim Kardashian wala Kim Kadashiani, hovyo kabisa! Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!

Mara "Babe nmeixhiwa credit nitumie bx" utamtumia vocha baada ya dakika kumi,
"Babe natk niende town nitumie hata 10k ikanisaidie" yaani Hadi siku inaisha hizo buku mbili mbili buku kumi ninazotuma bora ningeenda kuweka vikoba tu ingenilipa mwisho wa mwaka! Halafu mbaya zaidi anaona kupewa hela ni haki yake yaani nilizaliwa kumpa hela yeye, Sasa najiuliza tukitoa mbususu yake kwenye mahusiano yetu ana faida gani nyingine? Nakosa jibu!

Mbaya zaidi hajui kuandika penye S anaweka X hivi mtu wa hivyo anashindwa kuniua kweli? Hapana nimechoka kwa kweli, wiki hii haiishi ataniacha tu! Imefika hatua naona Bora niachwe hakuna namna!
Mvumilie kwanza huenda atabadilika.
 
Basi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za Western Union yaani Barclays kabisa achana na hizi za Mkombozi akaunti!

Huku na huku nikajikuta tu namuelewa kila nikimuona moyo unakosa utulivu nikasema cha kufia nini acha nijilipue! Nikatega mingo, binti akajaa wavuni Sasa sijui yeye ndio aliingia kwenye anga zangu au Mimi ndio niliingia kwenye anga zake but all in all viliumana!

Utamu wa penzi jipya ukawa utamu kweli! Yaani vile nikiwa nae najiona kabisa nipo level nyingine! Sasa shamra shamra za penzi jipya zikaisha ikabidi tuingie kwenye true life yaani maisha ya kweli! Aisee sikudanganyi sijawahi kuona mdada anapiga mizinga Kama huyu manzi wangu! Hakuna cha Kim Kardashian wala Kim Kadashiani, hovyo kabisa! Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!

Mara "Babe nmeixhiwa credit nitumie bx" utamtumia vocha baada ya dakika kumi,
"Babe natk niende town nitumie hata 10k ikanisaidie" yaani Hadi siku inaisha hizo buku mbili mbili buku kumi ninazotuma bora ningeenda kuweka vikoba tu ingenilipa mwisho wa mwaka! Halafu mbaya zaidi anaona kupewa hela ni haki yake yaani nilizaliwa kumpa hela yeye, Sasa najiuliza tukitoa mbususu yake kwenye mahusiano yetu ana faida gani nyingine? Nakosa jibu!

Mbaya zaidi hajui kuandika penye S anaweka X hivi mtu wa hivyo anashindwa kuniua kweli? Hapana nimechoka kwa kweli, wiki hii haiishi ataniacha tu! Imefika hatua naona Bora niachwe hakuna namna!
Haki nimecheka balaa, ngoja nikuitie mzabzab Anaweza kukushauri namnaya kuachana na hiyo mbususu
 
Alitaka akugeuze CAPTAIN-SAVE-A-HOE
JamiiForums807150113.jpg
 
Dah wabongo bana dah,yani starehe mmeifanya kama ugonvi.
Kwani ukipiga kimoja chali ukaridhika kuna shida gani.
Tatizo si kupia kimoja bali hata akipiga hizo 3/4 atarejesha vipi virutubisho na nguvu alizopoteza baada ya starehe au ndiyo kwaaanza ataenda kushindia mihogo iliyokaangwa na kachumbali akishushia na maji?
 
Imenikumbusha Miaka ya nyuma sana

Nlkua na kabint ka chuo,
Ukishinda nae sikU nzima utatajiwa mahitaji yasiyopungua pesa taslimu million 1.

Ukitembea na barabarani, kila kitu kizur anakitamani.

Kama anashida,
ukituma kuanzia laki ndo atasema asante.

Ukituma chini ya hapo Ata Asante upewi.

Nlipomwambia iyo tabia sitaki,
Akachukia eti
"Sasa shida zangu nsipokwambia wewe ntamwambia nani, Kama vipi TUACHANE"

Nkamjibu "POA"
 
Miaka 28 (hili nina uhakika nalo hasa nikizingatia uchakavu wa injini, rejeta, pia mileage sio ya kitoto ila isingekuwa mizinga yote hayo yanavumilika) kuhusu elimu anasema ana diploma ishu za tourism (kuhusu hili Sina uhakika, kweli mwenye diploma anaweka X kwenye S kweli?)

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Elimu za kuunga unga hata hiyo diploma ukute hana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom