AhaaaaahaaaaaahaaaaaaMiaka 28 (hili nina uhakika nalo hasa nikizingatia uchakavu wa injini, rejeta, pia mileage sio ya kitoto ila isingekuwa mizinga yote hayo yanavumilika) kuhusu elimu anasema ana diploma ishu za tourism (kuhusu hili Sina uhakika, kweli mwenye diploma anaweka X kwenye S kweli?)
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Sasa km mbunye unapewa unalaumu nini?,Komaa hivyo hivyo.Anatoa ila anatakiwa kuwa na "mnyororo wa thamani" asiishie kwenye mbususu peke yake
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Shida ipo mkuu.Dah wabongo bana dah,yani starehe mmeifanya kama ugonvi.
Kwani ukipiga kimoja chali ukaridhika kuna shida gani.
View attachment 1766101
Hata kwetu wapo.
Huyu slay queen ukiona kakutafuta basi ujue n kizinga tu asubuhi na mapemaView attachment 1766114 mpaka naambiwa nna tabia mbaya
View attachment 1766101
Hata kwetu wapo.
Huyu slay queen ukiona kakutafuta basi ujue n kizinga tu asubuhi na mapemaView attachment 1766114 mpaka naambiwa nna tabia mbaya
Kumbe wewe ni mwezio yaani mnafanana kitabia hadi jinsia
Hawabadiliki, hata mimi kuna kamoja nlikuwa nako kakaanza kupenda usista duh.Mwanzoni nilisema nimvumilie tu nitambadilisha ila naona mwenzagu atatunza misingi yake ya uandishi
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mvumilie kwanza huenda atabadilika.Basi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za Western Union yaani Barclays kabisa achana na hizi za Mkombozi akaunti!
Huku na huku nikajikuta tu namuelewa kila nikimuona moyo unakosa utulivu nikasema cha kufia nini acha nijilipue! Nikatega mingo, binti akajaa wavuni Sasa sijui yeye ndio aliingia kwenye anga zangu au Mimi ndio niliingia kwenye anga zake but all in all viliumana!
Utamu wa penzi jipya ukawa utamu kweli! Yaani vile nikiwa nae najiona kabisa nipo level nyingine! Sasa shamra shamra za penzi jipya zikaisha ikabidi tuingie kwenye true life yaani maisha ya kweli! Aisee sikudanganyi sijawahi kuona mdada anapiga mizinga Kama huyu manzi wangu! Hakuna cha Kim Kardashian wala Kim Kadashiani, hovyo kabisa! Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!
Mara "Babe nmeixhiwa credit nitumie bx" utamtumia vocha baada ya dakika kumi,
"Babe natk niende town nitumie hata 10k ikanisaidie" yaani Hadi siku inaisha hizo buku mbili mbili buku kumi ninazotuma bora ningeenda kuweka vikoba tu ingenilipa mwisho wa mwaka! Halafu mbaya zaidi anaona kupewa hela ni haki yake yaani nilizaliwa kumpa hela yeye, Sasa najiuliza tukitoa mbususu yake kwenye mahusiano yetu ana faida gani nyingine? Nakosa jibu!
Mbaya zaidi hajui kuandika penye S anaweka X hivi mtu wa hivyo anashindwa kuniua kweli? Hapana nimechoka kwa kweli, wiki hii haiishi ataniacha tu! Imefika hatua naona Bora niachwe hakuna namna!
Haki nimecheka balaa, ngoja nikuitie mzabzab Anaweza kukushauri namnaya kuachana na hiyo mbususuBasi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za Western Union yaani Barclays kabisa achana na hizi za Mkombozi akaunti!
Huku na huku nikajikuta tu namuelewa kila nikimuona moyo unakosa utulivu nikasema cha kufia nini acha nijilipue! Nikatega mingo, binti akajaa wavuni Sasa sijui yeye ndio aliingia kwenye anga zangu au Mimi ndio niliingia kwenye anga zake but all in all viliumana!
Utamu wa penzi jipya ukawa utamu kweli! Yaani vile nikiwa nae najiona kabisa nipo level nyingine! Sasa shamra shamra za penzi jipya zikaisha ikabidi tuingie kwenye true life yaani maisha ya kweli! Aisee sikudanganyi sijawahi kuona mdada anapiga mizinga Kama huyu manzi wangu! Hakuna cha Kim Kardashian wala Kim Kadashiani, hovyo kabisa! Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!
Mara "Babe nmeixhiwa credit nitumie bx" utamtumia vocha baada ya dakika kumi,
"Babe natk niende town nitumie hata 10k ikanisaidie" yaani Hadi siku inaisha hizo buku mbili mbili buku kumi ninazotuma bora ningeenda kuweka vikoba tu ingenilipa mwisho wa mwaka! Halafu mbaya zaidi anaona kupewa hela ni haki yake yaani nilizaliwa kumpa hela yeye, Sasa najiuliza tukitoa mbususu yake kwenye mahusiano yetu ana faida gani nyingine? Nakosa jibu!
Mbaya zaidi hajui kuandika penye S anaweka X hivi mtu wa hivyo anashindwa kuniua kweli? Hapana nimechoka kwa kweli, wiki hii haiishi ataniacha tu! Imefika hatua naona Bora niachwe hakuna namna!
Tatizo si kupia kimoja bali hata akipiga hizo 3/4 atarejesha vipi virutubisho na nguvu alizopoteza baada ya starehe au ndiyo kwaaanza ataenda kushindia mihogo iliyokaangwa na kachumbali akishushia na maji?Dah wabongo bana dah,yani starehe mmeifanya kama ugonvi.
Kwani ukipiga kimoja chali ukaridhika kuna shida gani.
Elimu za kuunga unga hata hiyo diploma ukute hanaMiaka 28 (hili nina uhakika nalo hasa nikizingatia uchakavu wa injini, rejeta, pia mileage sio ya kitoto ila isingekuwa mizinga yote hayo yanavumilika) kuhusu elimu anasema ana diploma ishu za tourism (kuhusu hili Sina uhakika, kweli mwenye diploma anaweka X kwenye S kweli?)
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Huyu akiamka tu anawaza kuomba hela ila kidogo mwezi huu wa ramadhan kafunga amepunguza kuomba omba