"dona kantri" au sioHhahahahah
Bora uamue kuwa serikali ya mwendazaki haikopi bali inasaidia mabeberu
Ndo maana mimi sipendi kuchati kwakweli huwa naboeka haraka kuchati na mtu asojua kupangilia sentensi utasikia nambiye,xawa tnx hapo ndo huwa sijibu smsMkuu kwanza tu kuvumilia uandishi wa x badala ya s ni kipaji tosha!!
Hayo wa mizinga subiri uwabata wenzio waje wakushauri.
Naomba kujua elimu yake na miaka yake kama hautojaliMwanzoni nilisema nimvumilie tu nitambadilisha ila naona mwenzagu atatunza misingi yake ya uandishi
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Dah wabongo bana dah,yani starehe mmeifanya kama ugonvi.Moto unampelekea mpka mbususu inanukia kam injin imeungua au unapapasa kimoja chali
Madem wa aina hii wanafake sana life.. kwa hiyo mizinga mpaka ifike mwezi Wa sita ni bola ufanya maamuz magumuBasi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za Western Union yaani Barclays kabisa achana na hizi za Mkombozi akaunti!
Huku na huku nikajikuta tu namuelewa kila nikimuona moyo unakosa utulivu nikasema cha kufia nini acha nijilipue! Nikatega mingo, binti akajaa wavuni Sasa sijui yeye ndio aliingia kwenye anga zangu au Mimi ndio niliingia kwenye anga zake but all in all viliumana!
Utamu wa penzi jipya ukawa utamu kweli! Yaani vile nikiwa nae najiona kabisa nipo level nyingine! Sasa shamra shamra za penzi jipya zikaisha ikabidi tuingie kwenye true life yaani maisha ya kweli! Aisee sikudanganyi sijawahi kuona mdada anapiga mizinga Kama huyu manzi wangu! Hakuna cha Kim Kardashian wala Kim Kadashiani, hovyo kabisa! Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!
Mara "Babe nmeixhiwa credit nitumie bx" utamtumia vocha baada ya dakika kumi,
"Babe natk niende town nitumie hata 10k ikanisaidie" yaani Hadi siku inaisha hizo buku mbili mbili buku kumi ninazotuma bora ningeenda kuweka vikoba tu ingenilipa mwisho wa mwaka! Halafu mbaya zaidi anaona kupewa hela ni haki yake yaani nilizaliwa kumpa hela yeye, Sasa najiuliza tukitoa mbususu yake kwenye mahusiano yetu ana faida gani nyingine? Nakosa jibu!
Mbaya zaidi hajui kuandika penye S anaweka X hivi mtu wa hivyo anashindwa kuniua kweli? Hapana nimechoka kwa kweli, wiki hii haiishi ataniacha tu! Imefika hatua naona Bora niachwe hakuna namna!
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
huyu jamaa sio member wa uwabata hata. kidogo..keshatoa hela nyingii mnoMkuu kwanza tu kuvumilia uandishi wa x badala ya s ni kipaji tosha!!
Hayo wa mizinga subiri uwabata wenzio waje wakushauri.
Au ulisema kwa kuwa ni Kardashian haina tabu ili mradi wenzio wanakukoma una pisi kali, s mtatumia za kwakoAnatoa ila anatakiwa kuwa na "mnyororo wa thamani" asiishie kwenye mbususu peke yake
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Bora hao wanachanganya S na X, kuna hawa wengine... Ulitoka dakika kumi tu ukaacha simu hapo mezani, kurudi unakuta missed call nane yaani wastani wa calls 1.25 kwa dakika. Unaona hii itakuwa urgent unamtumia text huku mawazo kibao na stress zinakuvuruga, Kuna ishu gani huko?Ndo maana mimi sipendi kuchati kwakweli huwa naboeka haraka kuchati na mtu asojua kupangilia sentensi utasikia nambiye,xawa tnx hapo ndo huwa sijibu sms
Hahahahaha wewe ni hatariView attachment 1766101
Hata kwetu wapo.
Huyu slay queen ukiona kakutafuta basi ujue n kizinga tu asubuhi na mapemaView attachment 1766114 mpaka naambiwa nna tabia mbaya
Maumivu hayakosekani, tunaonekana tupo sawa sababu tu Kuna shughuli nyingine zinatushaghulishaila mkuu you too funny ila unaumia ndani kwa ndani..nakushauri PIGA CHINI
Kwani hela elekezi kulingana na kanuni za uwabata mwisho ni kiasi gani?huyu jamaa sio member wa uwabata hata. kidogo..keshatoa hela nyingii mno
Halafu wanajiita malkia wa shoka, yaani hata shukrani hawanaMadem wa aina hii wanafake sana life.. kwa hiyo mizinga mpaka ifike mwezi Wa sita ni bola ufanya maamuz magumu
Miaka 28 (hili nina uhakika nalo hasa nikizingatia uchakavu wa injini, rejeta, pia mileage sio ya kitoto ila isingekuwa mizinga yote hayo yanavumilika) kuhusu elimu anasema ana diploma ishu za tourism (kuhusu hili Sina uhakika, kweli mwenye diploma anaweka X kwenye S kweli?)Naomba kujua elimu yake na miaka yake kama hautojali