Ifahamu Parole ni nini? Wengi hamjui faida zake

Shall be a person vested with knowledge and experience in legal matters OR in admnistration of criminal justice. Hili neno OR linatoa alternative kwamba kama hana knowledge and exprience in legal matters basi awe na knowledge na experience in administration of criminal justice. Haina maana kwamba maneno yote yanayotangulia neno OR hayahusiani na maneno yanayofuata. Vinginevyo hata sarufi ya kawaida ya kiingereza itakataa.
Du watu wengine inabidi kuwafafanulia km vile watoto wa kindergaten.
 
Mheshimiwa wa sasa wa VUNJO awe makini.....asije akateleza.....kuchunga ng'ombe kutamuhusu.


administraion ya criminal justice ina maana ya majaji au prosecutors
na hapa or linaunganishwa na neno 'knowledge' yaani hapa kinachotakiwa ni 'knowledge' ya sheria na uzoefu wa sheria....Hili mrema hana
OR awe na 'knowledge' na uzoefu wa criminal justice...na kwenye kigezo hichi mrema hayumo
hivyo hapa tumekosea...tumpatie nafasi ingine kama kuna ulazima

naona dalili za kutengua uteuzi wa mwenyekiti wa parole
 
Watakoishi sana watashuhudia Lowasa na Sumaye wakiteuliwa na Raisi wa kipindi hicho akitoka chama hicho chakavu, muda utasema ukweli tu.
Anaye waamini hawa watu akina Lowasa, Sumaye, Mrema na mfano wao eti ni wapinzani wa kweli, huyu mtu mpelekeni Milembe hospitali.
 
Ukiwa mwana CCM suala zima la ELIMU huwa cyo kigezo critical sana ila huwa ni added qualification. Elimu huwa ni kigezo kwa yule ambaye ukada wake ndani ya CCM ni wa mashaka mashaka.Mrema yule ni CCM damudamu.

Kwani huko ambako siyo ccm kuna elimu gani? Halafu hapa mnapotosha - sheria iko wazi - knowledge and experience in legal matters or administration of criminal justice - sasa Nani hajui kuwa Mrema amefanya kazi kwenye vyombo vya dola muda mrefu na ana uzoefu mkubwa kwenye mambo yanayohusu uhalifu? Hii ni kutafuta kiki ya kukosoa kila jambo ambalo Rais wetu anafanya!
 
Ulumbumbani ukiwa kada tu ni sifa tosha ya kuwa na nyadhifa yoyote hapa Tz ni juhudi yako
 
Kama mkuu wa kaya anaweza kuteua mtu bila hata kujiridhisha na vyeti vya kitaaluma pamoja na weledi wa wahusika basi kwa hili hata sishangai ilhali Mhe Mrema ana historia kuu katika siasa za Tz miaka iliyopita
 
Mwenyekiti wa bodi ya parole anatakiwa kuwa mbobezi kwenye masuala ya kisheria, sasa huyu mteuzi wa rais ndugu Augustine Mrema sijui cv yake ipoje, je ni mbobezi kwenye haya masuala?

2854cedc7b2cea5f689cac9894944234.jpg
hata akikuchapa bila kosa lakini baba huwa hakosei shauli yako
 
Lazima wawe na ufahamu na mambo yenyewe, halafu na uthubutu uwepo sio unafiki
Jiulize tu ni kwanini hata huu uzi umeunganishwa?Hii thread hapo juu haizungumzii sifa za mtu anaetakiwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole ila umeunganishws tu.Hata hivyo uzuri ujumbe umefika.

Sheria ziko wazi na wala si swala la kutafuta ushahidi kanakwamba kuna kesi ya kujibu hapa. Sifa hizo Mrema anazo?
 
Waziri wa mambo ya ndani ni nafasi ya kisiasa sana kwa mfumo wetu, pengine ingekuwa na maana zaidi kama angewahi kuwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani!

Kumbuka kuwa yeye ameteuliwa kuwa mwenyekiti tu na kwamba kuna makamishna wenye sifa za kutosha wa kumsaidia. Wanaopinga ni wale wasomi uchwara ambao hata wao wenyewe hawajiwezi.
 
Waacheni wasukume gari la Mrema wakichoka wataacha ( By Mwl, Nyerere R.I.P.)
 
Back
Top Bottom