Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Mrema ana cheti cha siasa na uongozi wa ilikua chuo cha propaganda cha kivukoni bas sio zaid ya hapo, sio mjuzi wa mambo ya sheria
MREMA NI KIBARAKA NA MTU WA KUJIKOMBA SANA. ATAWAUMIZA WATU ATAKAOFANYA KAZI NAO! lAKINI HOPEFULLY THEY HAVE THE WAY OUTNawaonea huruma watendaji watakaofanya kazi chini ya Mrema.
Mwenyekiti wa bodi ya parole anatakiwa kuwa mbobezi kwenye masuala ya kisheria, sasa huyu mteuzi wa rais ndugu Augustine Mrema sijui cv yake ipoje, je ni mbobezi kwenye haya masuala?
Mwenyewe kashasema achani unaa
Usisahau neno "OR"Shall be vested with knowledge and experience in "legal matters" and "administration of criminal justice".
Shall be? A command
Legal Matters? A lawyer
Administration of criminal justice? A lawyer or anyone else?
Probably, a lawyer can do the job better than anyone else.
What about Mrema? He once was someone dealing with administration of criminal justice stuff.