If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

Mhhhh! I am simply out of words! Hivi Ni Chadema walio imply kuna udhalimu au watanzania wenyewe walijionea? Kazi kweli kweli kwenye hili jukwaa la siasa! Nachoka sana na hizi siasa za Bongo especially humu ndani! God bless us all with Knowledge!
Umejibu vema. Ni wananchi ndio tulijionea wenyewe jinsi tulivyoibiwa/chakachuliwa kura zetu hata kama chadema hawakuona. kwanza waliopiga kura kuikataa ccm si wote wana chadema wala wana chadema. So, hakuna division hapo au vipi?
 

Hiyo hata wao wenyewe hawaelewi. Wanachokifanya nii kureplay maamuzi ya kamati kuu tu.
Hata hiyo ya kusema umma wa watanzania unahitaji katiba mpya ni upuuzi mtupu. Wao wamefanya upembuzi gani ambao summary yake inaweza kuwa umma wa watanzania unahitaji katiba mpya au JF ndio umma wa watanzania.
Umma wa watanzania hata haujui katiba ni nini. Kama kuna kitu umma wa watanzania unahitaji ni kufundishwa maana na umuhimu wa katiba.
 
Haya mazagazaga mnayofanya, mtamalizwa nayo kwenye chaguzi zijazo. Hakuna msimamo, hamuelewi mnataka nini halafu kila mtu anajiropokea. Fikirieni impact ya mnayofanya kabla hamjachelewa. People are watching your steps closely.
 
Nakubaliana na Mh Mnyika kuwa CDM haijabadili msimamo, it was the interpretation of the statement that was misleading by the media and pundits.
The major criticism of CDM in this case is that they did not counter the spin well and let the repeated falacy become fact. But CDM has nothing to apologize for, however there are valuable lessons to be learnt.
 
I wonder if there's any purely democratic country under the sun.
 

Hatujasema tunamtambua, tumesema kwamba ametambuliwa na Tume na Katiba ambayo inakataza matokeo yake yasipingwe mahakamani; akitangazwa ametangazwa. For us Kikwete is legal but illegitimate president!

Suala la kutambua ama kutomtambua sio letu, kwa kuwa limeshapatiwa majibu na mfumo uliopo; logically, ukiyakataa matokeo umemkataa na aliyetokana na matokeo hayo! Tulimsusia kwenye hotuba ya kuzindua bunge ili kufikisha ujumbe kuwa tunataka tume ya uchunguzi na kuanza kwa mchakato wa katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine italeta tume huru ya uchaguzi. Msimamo huu uko pale pale na tunapaswa kuunganisha nguvu ya umma kuudai!

JJ
 
I will tell you what I have been honestly thinking, Tatizo la Chadema ni kukosa uongozi makini. Wanatakiwa wareshuffle haraka sana system yao ya uongozi na kuna watu inabidi frankly waachie ngazi wao wenyewe otherwise they will lead this party to hell. Na next uchaguzi kama hawatafanya la maana hivi viti vingi vya ubunge watavipoteza sana. Nachelemea kuamini kuwa kuna tatizo kuwa la kimadaraka humo ndani na kuna watu wanadhani kuwa wanahodhi chama.
 
Hizi siasa za Afrika hovyo kabisa. Watu hawana misimamo...wanapelekeshwa na upepo tu. Mara huku mara kule yaani ili mradi tu....

Ndio wanasiasa wetu Africa wababaishaji na wasanii na njaa zinawasumbua. Ndio maana mie nikiona mwanasiasa mzalendo nitamuunga but vyama vya siasa siviungi maana baadhi yao havina natija wala nia dhati ya kumkomboa mtanzania zaidi ya kutafuta pa kuonja asali tu.
 
Well it seems like everybody had something on this CHADEMA thing but no one dared to say until someone triggered it all. We love you CHADEMA but you need to do something and you need to do it very fast and accurately at the same time to help your fate in a foreseeable future.
 
Mh Mnyika, unafanya kazi nzuri kufafanua masuala haya na ukumbuke kuwa kazi ni kubwa kwani spin hii imekuwa ikiendelea kwa zaidi ya mwezi. Ila nakusihi usichoke wewe binafsi na uongozi usichoke kufafanua masuala haya.
 

Huu mtazamo ni wako au wa Chadema?
Na Dr. SLaa aliposema hamumtambui Kikwete alikuwa anatoa uamuzi wake au wa Chadema.

Kama mmeona kosa msione ugumu kuapologise, huo ndio uungwana.
 
Kwangu mimi the issue is not apologising the issue is CHADEMA are not acting seriously at the moment. Kwanza ni kina nani wamo katika CC na huwa wanapatikana vipi?
 
Kwangu mimi the issue is not apologising the issue is CHADEMA are not acting seriously at the moment. Kwanza ni kina nani wamo katika CC na huwa wanapatikana vipi?
Mheshimiwa Mnyika nakupongeza, at last it happend. Naomba umfikishie kijana mwenzetu Zitto kwamba haraka sana ajirekebishe, wengu tunaumia sana kwa mienendo yake. Tunatambua kwamba kuna mengi hakubaliani nayo lakini si kwa kuhatarisha mafanikio ya chama kwa sasa. He can simply do it silently and with great tactics. Nimesononeka sana but in you I still have trust. I will also convey my message to Kitila, Mzee Baregu namheshimu lakini sina uhakika tena na convincing power and if at all he can turn the game around.Otherwise, nawatikia kila la kheri katika muda huu wa mageuzi. Swala mmoja la kutia maanani ni kwamba ulimwengu wote unawaona ninyi na si CCM. Kwa hawa hakuna kipya but kwenu kuna matumaini, chezeeni karata zenu vizuri and inshalah, we shall succeed.
 
Gotcha! Mwanakijiji is Neither wrong nor right! i read him as a neutral thinker in relations to CDM or CCM! he is playing with human minds just like the great job of Gilbert Ryle in his philosophical studies of the Concept of Minds in the Cartesian metaphysics. Where you can learn a lot about the Category mistakes!
 
Niliposoma magazeti ya leo, nilipatwa na butwaa sana kuona kuwa "CHADEMA wameamua kumtambua Kikwete kama Raisi halali." Ni jambo lililoniuma sana kwa vile bado nina imani kuwa Kikwete siyo Rais halali. Sasa kwa vile imani yangu ilikuwa inaendana na msimamo wa CHADEMA, basi nilikuwa ninajua kuwa nina wabunge wanaoniwakilisha huko bungeni. Sasa baada ya wao kunigeuka, ni kweli huenda kuna haja ya wao kutuomba radhi sisi wote tuliokuwa wafuasi wake. Ni afadhakli wangesema kuwa hatutambui ushindi wa Kikwete ila kuanzia sasa tutafanya naye kazi kwa vile ndiye aliyesimikwa na vyombo husika kuwa raisi wa nchi hii huku tukiamini kuwa hakuchaguliwa kihalali na wananchi.
 
Nikikonnect hoja nyingi humu ndani naanza kupata hisia ya kupotea kwa historia ya nchi yetu!!!! As if the establishments of TANU, ASP and later CCM was just a smooth ride........

Tukija kwenye hoja za Mkjj especially a,b,c ni kweli CHADEMA needs to come out or stay silent foreva. The way CHADEMA played their political game ni kwamba walituaminisha kwamba wako chimbo wakiandaa dossier yenye vithibitisho visivyopingika kuhusu ni namna gani uchaguzi ulivyoibiwa na kumpa JK ushindi. As such the masses have been in the waiting mode for just too long! Patience is running out and CHADEMA is not updating anyhow on the proceedings ya maandalizi ya dossier yao. Kuna ombwe flani na linakuwa fulfilled na uzushi (Unofficial statements from media). Hivyo basi CDM should possibly do the following, tofauti kidogo na hoja ya mkjj (tough love).

1. Waje na uthibitisho wa kisayansi kuhusu ni namna gani kura ziliibiwa na kupelekea JK kuwa mshindi though illegitimately.

2. Wakae kimya, kimya tena kimya.

3. Steal the show and change the tune from the media na wabaya wao ambao wako busy kupotray chadema kuna bonge la mgogoro unaoweza kukipasua CHAMA. Jus do something else inayoattract attention naturally.

4. Only a spokesperson kama yupo (kama hayupo ateuliwe/achaguliwe mara moja) should be in contact with the media.

5. CDM leadership should now be more strongly united than eva and find a way of making the wananchi undesrstand they are. Ikiwezekana at this particular moment badala ya kumuadhibu say Zitto promote him. Politically they can easily get away of mgogoro hata kama upo kweli kwamba ni mbinu ya CCM. Wananchi have seen that before and can alwayz understand and believe.
 
Labda hayo ndiyo matokeo ya taarifa hii ya Kubenea

 
We have lost the "free and fair" argument. Period.

mkuu i know you are so desperate right now, but plse ebu kaa chini kidogo, kidogo tu tuongee, Remove all doughts you have, why?? ujue mafisadi
wanajipenyeza saaana kuivuruga CDM, sasa tukianza diversions we will be weak, when things get tough & the tough get going, CDM we are tough, at the end tutashinda
plse i beg you mkuu, mafisadi hii ndio njama zao, but CDM leaders wanajua sana, hata ww shahidi the way they use their media to popularize lies against CDM na pesa na nk, don't go. don't go,hold on, tutapata Katiba mpya, NEC huru, although wamemtambua JK hata mm imeniuma, come down mkuu, najua unahasira leo, just relax buddy, we are going ahead usijali bana, relax MMM
 
I wonder if there's any purely democratic country under the sun.

U r right, no one, watu wakijua hili hawata kata tamaa, CDM twende mbele, na uzuri zaidi Mnyika yupo hapa he answers our questions, rumors or doughts directly, magazeti mengi ni ya mafisadi, so JJ anajibu hapa wazi which is best, MMM calm down, kanyaga twende mkuu
 
Issue kwa chadema sio kuomba radhi bali kujitathimini na kujipanga vizuri kwa hatua itakayofuatia. Ukizingatia ndani ya wabunge wa chadema kulikuwa na mgawanyiko katika kufikia maamuzi ya pamoja, maana kuna waliokuwa wanaunga mkono kutomtambua jk na wengine hawaungi mkono ijapokuwa suala lenyewe. la kumsusia jk lilifikiwa kwa mfumo wa demokrasia ya wengi wape hata hivyo ilianyiwa vurugu na ubinafsi wa baadhi yao. Hivyo cc ya chadema inastahili kupongezwa kwa maamuzi iliyofikia ya kutoka na azimio la kumtambua jk kwani waligundua vita inayowakabili ktk msimamo wao haipo tu kwa ccm bali pia kwa baazi ya askari wao wenyewe. Hivyo walichokifanya ni kurudisha majeshi nyuma kwa ajili ya kujipanga upya na kuwanoa askari wake(wabunge) kwamba vita ikiisha amuliwa kupiganwa askari atakaeonyesha dalili za kurudi nyuma dawa yake ni risasi. Chadema wasingekuwa watu wa mikakati na uwezo wa kungamua, katika hili wangeshindwa vibaya sana maana ccm ilikuwa tayari ishajipatia mamluki ndani ya chadema kuweza kupiga ndani na nje. Chadema tupo pamoja na raha yenu ni yetu na shida yenu ni yetu pia. Sababu ya kuomba radhi haipo maana ss raia tuliona hujuma ya wazi jinsi ilivyokuwa ikifanywa na nec hasa kwenye yale majimbo ambayo wapinzani walionekana kushinda.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…