IDs za JF na Matukio

IDs za JF na Matukio

Mwanakwetu, hivyo vifupisho ulivyoviandika.......nitakutia mikweziiii oohh hoooh!!!

Uwiiii!na hiki kichwa dafu c ndio nitashindwa hata kuandika japo vifupi!nimekoma mwaya!tatizo niko via phone najisahau na kudhan naandika sms lol!
 
Uwiiii!na hiki kichwa dafu c ndio nitashindwa hata kuandika japo vifupi!nimekoma mwaya!tatizo niko via phone najisahau na kudhan naandika sms lol!

Yaani unarudia tena kuniandikia hiyo 'c' yako? Na huu uzee wataka nitoke mboni za macho mie, na ubongo wenyewe huu wa kuscratch! Uache kabisa, unaninyima uhondo wa kusoma!!
 
Kumbe nimekupatia eeh?! Hahahah...... Njoo basi na huku tuburudike na nyimbo za kibongo channel ten! Lol

Hahaha!hao wakata viuno!mie niko MGM kuna movie nimeibamba hapa hata jina cjaijua but imenivutia atii!
 
Yaani unarudia tena kuniandikia hiyo 'c' yako? Na huu uzee wataka nitoke mboni za macho mie, na ubongo wenyewe huu wa kuscratch! Uache kabisa, unaninyima uhondo wa kusoma!!

Mweeee!nimekoma nisamehe bure mpnz lol!
 
Hahaha!hao wakata viuno!mie niko MGM kuna movie nimeibamba hapa hata jina cjaijua but imenivutia atii!

Na kweli wanayarudi si mchezo! Hiyo movie ya kizungu? Kama ni ya kizungu basi endelea tu, mie huwa hazinogi eti!!!
 
Na kweli wanayarudi si mchezo! Hiyo movie ya kizungu? Kama ni ya kizungu basi endelea tu, mie huwa hazinogi eti!!!

Ni ya kizungu mwanya ila ndio nazima zima kuna liucngiz lishaanza kuzingua hapa lol!na hv niko ndan ya net ukiona kimya ndio ivo tena lol!
 
Mzee wa vijisenti.
Mbagala
Gongolamboto
...............
...............
...............
Ajabu sijaona waliojipachikaavatars za Kameruni na Masaburi
 
mbona sielewi?

Pole bishanga,ni hv tunaongelea id za jf ambazo nyingi zinaibuka kulingana na matukio mf.wahanga wa mafuriko!kuna watu wameibuka na id za mabwe pande,mafuriko,wahanga,km ivo,hope umeelewa now!
 
Back
Top Bottom