cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,423
Heeeeh makubwa bas km ndo hivyo, ila mie ndo nkajua hivi,Ni story tu za vijiweni , huyo mshikaji wako kapangwa tu na madali kwamba hii nyumba ni ya idris ili aingizwe king kupanga....Ni technics tu za madalali ,hata ukiwa unatafuta kiwanja utapelekwa watakwambia kiwanja cha mbele ni cha sirro ,kingine cha mbele ni cha murot , utaambiwa kiwanja pembeni ni cha kova ili mradi tu ununue tu.
Madali ni waongo sana kuna kiwanja jamaa yangu alinunua dalali akawa anatangaza kiwanja cha pembeni cha Tenga wa TFF ili mradi amjaze tu jamaa yangu.
Lakini tumuamini mwenyewe idrisa km alivyosema, maan ndo anaujua ukweli wote.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app