Idris Sultan atimiza siku 7 Rumande

Unapopambana na ambaye taswira yake kwako ni adui na ni mwenye nguvu kuliko wewe inakubidi utumie akili ya kusoma mazingira, kutambua umakinifu wake, udhaifu wake na kuutambua wakati muafaka! Na si udhaifu, bali ni ufahamu.

Nyakati tuliyonayo ni nyakati isiyokuwa tambuzi ya kuiheshimu katiba ambayo ni sheria mama. Tuna akili itumike vyema kwa kufikiri. Idris ameshindwa kutumia akili, ameshindwa kusoma mazingira, ameshindwa kuutambua umakinifu wa aliyemfanyia mzaha, ameshindwa kuutambua udhaifu wa aliyemfanyia mzaha na ameshindwa kuutambua wakati muafaka na ameshindwa kutambua aliyenao hawajali sheria.

Unafikiri kwa nini vyama vya siasa vinakwenda hatua kwa hatua kukabiliana naye? Mipango ni muhimu. Ukifika wakati muafaka nao watashambulia.

Inakubidi ufahamu sanaa ya picha/vibonzo na sanaa ya video anayoifanya Idris ukiziweka kwenye mizani ipi inayoeleweka na kusambaa kwa kasi ndani ya jamii yetu ni ambayo anayoifanya Idris. Sanaa ya vibonzo/uchoraji anahitaji mtu awe mfuatiliaji wa mambo na inahitaji utumie akili kuelewa ujumbe. Sanaa ya vibonzo/uchoraji inawagusa wale wafuataliaji na wenye upeo wa kufikiri. Ndiyo maana Utawala haihangaiki nayo sana! Ila ya Idris inasambaa sana tena kwa urahisi.

Huyo dogo watamnyoosha!

Utambue wakati! Utambue mazingira uliyoko nayo! Vita ni akili.
 
Freedom of speech??! ……………….
Wanamockiwa wakuu wa dunia itakuwa?... Ni udhaifu mkubwa sana ...ni kama hujakomaa kiuongozi kama unaogopa manyunyu madogo kama haya…

Je, ungekutana na kina Byesige au Mauma yule wa South Africa? Si ndo ungekata roho kabisa?! Idris ndo ukomage na wewe…. unachezaje makida na mtoto wa mwisho? Ukimfunga lazima akashtaki kwa mama na kilio juu.
 
Utawala wa sheria unaheshimu katiba.

Unataka mtu akamatwe kwa just cause.

Sasa leo mtu anakamatwa, halafu sababu ya kukamatwa ni kuharibu ushahidi...
Tunadumbukia shimoni na watu wanachekelea tu. Tunajenga picha ya Rais sio binadamu mwenzetu.

Kuna vitu unashangaa kweli vyombo vyetu vya usalama vinashughulika na vitu ambavyo hazina uzito wowote?

Kwamba picha alipiga mheshimiwa kwa hiyari yake, kisha mtu kucheka tu ni kosa? Tena kosa la kutafutwa?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biggest mistake made by serikali ya awamu ya nne. Silaumu sana ya tano maana hii sheria ilipitishwa awamu ya nne, watu tuliipinga sana maana ni ya kijinga ila wakapitisha tu, tena JK akashika kalamu akasign bill into law. One of the most stupid things kuwahi kutokea Tanzania.

Swali langu ni moja tu, how do you determine kua mtu flani kaumizwa kwa kilichowekwa online? Kama wasomi ilitakiwa wajue kua vitu vingine huwezi kuvidefine, hakuna njia ya kupima.

Mfano nimepost picha, mtu aka-dislike, hicho kitendo kikaniuma sana, kulingana na sheria yao ilivyoandikwa ninaruhusiwa kwenda kushitaki na huyo mtu akafungwa sababu kitendo chake kimenisababishia moyo kuuma.

Sasa nauliza hivi walivyokaa wakapitisha huu uharo walikua wamelewa? bunge zima, ikapita hadi kwa rais, yeye naye alikua kalewa au anapapaswa wakati anasign?

Tanzania imejaa watu stupid inashangaza kwa kweli, loop hole zimejaa kwenye sheria za nchi mtu unasoma unajiuliza kama zilitungwa na watoto wa darasa la saba.
 
Unapopambana na ambaye taswira yake kwako ni adui na ni mwenye nguvu kuliko wewe inakubidi utumie akili ya kusoma mazingira, kutambua umakinifu wake, udhaifu wake na kuutambua wakati muafaka! Na si udhaifu, bali ni ufahamu.

Nyakati tuliyonayo ni nyakati isiyokuwa tambuzi ya kuiheshimu katiba ambayo ni sheria mama. Tuna akili itumike vyema kwa kufikiri. Idris ameshindwa kutumia akili, ameshindwa kusoma mazingira, ameshindwa kuutambua umakinifu wa aliyemfanyia mzaha, ameshindwa kuutambua udhaifu wa aliyemfanyia mzaha na ameshindwa kuutambua wakati muafaka na ameshindwa kutambua aliyenao hawajali sheria.

Unafikiri kwa nini vyama vya siasa vinakwenda hatua kwa hatua kukabiliana naye? Mipango ni muhimu. Ukifika wakati muafaka nao watashambulia.

Inakubidi ufahamu sanaa ya picha/vibonzo na sanaa ya video anayoifanya Idris ukiziweka kwenye mizani ipi inayoeleweka na kusambaa kwa kasi ndani ya jamii yetu ni ambayo anayoifanya Idris. Sanaa ya vibonzo/uchoraji anahitaji mtu awe mfuatiliaji wa mambo na inahitaji utumie akili kuelewa ujumbe. Sanaa ya vibonzo/uchoraji inawagusa wale wafuataliaji na wenye upeo wa kufikiri. Ndiyo maana Utawala haihangaiki nayo sana! Ila ya Idris inasambaa sana tena kwa urahisi.

Huyo dogo watamnyoosha!

Utambue wakati! Utambue mazingira uliyoko nayo! Vita ni akili.
Huo sio mzaha? Mzaha ni sehemu ya kazi ya msanii nafikir waliosoma fasihi wanajua sasa kutafsiri kicheko cha idriss inahitaj umakini sana nani anajua kilichomchekesha? Huoni kama tumekua majuha mkuu?
26677818_1310297089077002_3453828815766127757_o.jpg
 
Ni kweli mkuu sikupingi lakini kwanini uteseke na kitu unachoweza kukikwepa? huyu jamaa hateswi na wenye nchi anateswa na wanaotaka waonekane kwa mwenye nchi!
Nimekupata
 
Bado nashangaa wanao mtetea idris inamaana kwao hakuna wakubwa? Spika Sitta alikua na kauli yake fulani "Ukishindwa kuniheshimu kama spika niheshimu basi kama mzazi"

Idris amekosa nidhamu wacha ulimwengu umfunze
 
Tunadumbukia shimoni na watu wanachekelea tu. Tunajenga picha ya Rais sio binadamu mwenzetu. Kuna vitu unashangaa kweli vyombo vyetu vya usalama vinashughulika na vitu ambavyo hazina uzito wowote?
Kwamba picha alipiga mheshimiwa kwa hiyari yake, kisha mtu kucheka tu ni kosa? Tena kosa la kutafutwa?


Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu, tunatumia vibaya sana polisi.

Katika nchi huru, search warrant ni kitu kikubwa sana.

Sisi tunaitumia willy nilly.

Itafikia wakati watu wataanza na list ya watu, polisi watapeea kazi ya kutafuta makosa ya kuwa fit hao watu.

Na broad powers za kuwa search ilimradi tu wawapate na makosa.

Watu wanaochekelea habari hizi naona hawajaelewa hili.

Unamkamataje mtu kwa kukosa la kuharibu ushahidi?

Kabla hajaharibu ushahidi kosa lake lilikuwa nini?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Bado nashangaa wanao mtetea idris inamaana kwao hakuna wakubwa??
Spika Sitta alikua na kauli yake fulani "Ukishindwa kuniheshimu kama spika niheshimu basi kama mzazi"
Idris amekosa nidhamu wacha ulimwengu umfunze
Kwa hiyo watu wakubwa zaidi ya Magufuli ni sawa kumcheka Magufuli.

Wadogo tu ndio vibaya kumcheka Magufuli?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Biggest mistake made by serikali ya awamu ya nne.
Silaumu sana ya tano maana hii sheria ilipitishwa awamu ya nne, watu tuliipinga sana maana ni ya kijinga ila wakapitisha tu, tena JK akashika kalamu akasign bill into law. One of the most stupid things kuwahi kutokea Tanzania....
Hizi ni siasa tu.

Seif Sharif Hamad alivaa suti ya msulupwete.

Watu wakacheka sana mitandaoni.

Hatujaona polisi kukamata mtu kwa sababu Hamad kaumizwa.

Huyo Magufuli ni mtu zaidi ya Seif Sharif Hamad?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Naielewa sana hoja yako Kiranga, tatizo linakuja anafanya mzaha kwenye taifa la aina gani? wananchi wa nchi gani? ingekuwa mbele idrisa angepiganiwa hata na jamii.. wananchi wengi wa baadhi ya nchi zenye demokrasia ya kweli hawana uoga.. lakini si wa nchi yetu.. Idrisaa anatakiwa agundue hicho kitu!
Labda tunahitaji watu kama Idris wajitoe muhanga ili watu wajitambue.

Tatizo muamko wa elimu ya uraia ni mdogo sana Tanzania. Isitoshe, watu wanaendeshwa na woga zaidi ya uchambuzi wa mambo kwa kina.

Hakuna maendeleo bila uhuru. Hususan uhuru wa fikra.

Ukiwekewa mioaka ya kufikiri umefungwa minyororo mibaya sana kuliko minyororo ya chuma katika utumwa.

Hii habari ya Idris inaonesha tumefungwa minyororo ya fikra.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Freedom of speech??! ……………….
Wanamockiwa wakuu wa dunia itakuwa?... Ni udhaifu mkubwa sana ...ni kama hujakomaa kiuongozi kama unaogopa manyunyu madogo kama haya…..Je ungekutana na kina Byesige au Mauma yule wa South Africa? Si ndo ungekata roho kabisa?! Idris ndo ukomage na wewe…. unachezaje makida na mtoto wa mwisho? Ukimfunga lazima akashtaki kwa mama na kilio juu.
Marekani karibu kila wiki tunaangalia watu wanavyomkejeli Trump katika "Saturday Night Live".

Trump hafanyi kitu. Mwenyewe kamletea figisu kibao Obama wakati Obama rais.

Huu ni uhuru wa kujieleza. Ni sehemu muhimu katika maendeleo.

Sisi tunakataza watu hata kucheka.

Halafu tunashangaa kwa nini hatuendelei.

Utaendelea vipi wakati umefunga akili za watu minyororo ya woga?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Mchekeshaji na mwanamitindo maarufu nchini Idris Sultan ameendelea kusota rumande kwa siku saba kutokana na makosa ya kimtandao. Idris aliitwa kuhojiwa na jeshi la Polisi toka may 19, 2020 ambapo anashikiliwa hadi leo.

Sheria zinasemaje kwa mtuhimiwa?
Ana haki zake nae pamoja na kutuhumiwa.
#KatibaNiYetu
View attachment 1459884
Koti tu! Au kuna kingine?
 
Back
Top Bottom