Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,388
- 9,758
IOF ndio nini? Shuleni ulifundishwa ujinga?Ikiwa IOF ndio jeshi "bora" duniani, Al Qassam wa Hamas nao tuwaiteje?
IOF ndio nini? Shuleni ulifundishwa ujinga?Ikiwa IOF ndio jeshi "bora" duniani, Al Qassam wa Hamas nao tuwaiteje?
Huyo bibi yetu mjahidina ila yupo nchi ya makafir Canada...!!!IOF ndio nini? Shuleni ulifundishwa ujinga?
Huwezi kuwa Mshabiki wa Yanga alafu unavaa Jezi za Simba siku wakicheza mechiMkuu....sasa hao waislamu...si wanasali kiarabu.....na kuvaa kwa kuiga kila kitu kwa tamaduni za waarabu????
Au unaona aibu kusema uislamu ni dini ya kiarabu????
Hadi kijijini kwetu wanasali kwa kiarabu wakati wao wabantu
Nelson...Kila dini inaona Mungu wake wa kweli.
TURUDI KWENYE MADA YETU MZEE WANGU
Dunia now ni free nchi nyingi nje ya uislam.. acha aenjoy life. Raha ya waisam wapo kama na free visa nchi za kiislam wanakubalika hata akiwa na rangi tofauti japo arabuni atabaguliwa hata kama ni muslim... but nchi free pia anahaki zake anapata... labda alete ujahidina kutishia wengine practice za uislam halisi fanatic muslim. ila kama yupo for amani popote aishi kwa amani bila bughuza.. haitakiwi kumchukia hata kama anakuchukia pengine wamepotoka waoneshe maandiko yao kuwa hawapo sawa..Huyo bibi yetu mjahidina ila yupo nchi ya makafir Canada...!!!
Yuko mwamba mwingine aliyekua Misri miaka ya 60 naye mfanyabiashara aliyejifanya mjerumani.Kuna huyo Jonathan Netanyahu alafu kuna mwamba anaitwa eli cohen alijipenyeza kwenye serikali ya Syria akijifanya mfanyabiashara na kuweka ukaribu na viongozi wa ulinzi mpka raisi wa Syria akataka kumteua kuwa waziri wa ulinzi
Mwaka 1965 akastukiwa na mkuu wa polisi baada ya kugundulika signal za simu akiwasiliana na mossad huko nchini israel hatimae anakamatwa na kunyongwa hadharani
Mchango wake unakumbukwa kwani alipokuwa syria alipanda miti kwenye mstari juu ya kambi zilizokuwa chini ya ardhi huko syria ambayo ilikuja kutumika kama ishara kwa wanajeshi wa israeli na kushinda vita ya mwaka 1967 iliyoitwa SIX DAYS WAR Iliyokuwa dhidi ya mataifa kadhaa ya kiarabu
Alikuwa fluent kwenye kiarabu na lugha nyingine kadhaa
Hapajawah kutokea spy kama huyu mossad ambaye aliivua nguo serikali ya syria
Kuna movie inaitwa THE SPY imebase kwenye true story inaweza kukupa mwanga wa huyu mwamba na mkewe bado yupo hai japo kazeeka na bado anafuatilia kurudishiwa mwili wa mumewe kutoka syria jambo ambalo bado ni gumu
Kwanini hamwafundishi Waislam wa humu thread nyingi wanakashifu tu... mimi nimesoma Quran sababu ya majivuno yao na nilichoambulia hata mwanangu hawezi amini hii dini for logic ya kawaida... Ukija kwa Masheikh wenu wa Dawa waongo mno wana quote aya ukienda soma chapter unakuta wamechukua kipande kimoja au viwili.. waambieni waache wahubiri imani yenu misikitini na mikutano yenu...Nelson...
Hakika.
Ndiyo sababu Allah katika Qur'an kawakataza Waislam kuingia katika migogoro mfano wa huu ninaowazindua ndugu zangu kwa kuwa wameghafilika.
Mimi kama nilivyokueleza siwezi kuingia katika mjadala ambao mtu anasheherekea mauaji ya kimbari.
Kalamu yangu mimi inafika mbali.
Wewe kalamu yako inaishia hapa.
Yeah....naikumbuka hii issues mkuuYuko mwamba mwingine aliyekua Misri miaka ya 60 naye mfanyabiashara aliyejifanya mjerumani.
Mnakumbuka zile ndege zilizokua ziruke kwenda kuimaliza Israel toka Misri halafu zikaja zikachakazwa dakika chache kabla hazijapaa. Mwamba ndio alitoa Siri kwa MOSSAD.
Wamisri waligundua too late na wakamnyonga.
Sawa mkuu nimekuelewa.....tuendelee na mada ya IDF mkuuHuwezi kuwa Mshabiki wa Yanga alafu unavaa Jezi za Simba siku wakicheza mechi
Mzee ingekua waarabu ndio wameua wayahudi.....bila shaka najua ungefarijika.Nelson...
Hakika.
Ndiyo sababu Allah katika Qur'an kawakataza Waislam kuingia katika migogoro mfano wa huu ninaowazindua ndugu zangu kwa kuwa wameghafilika.
Mimi kama nilivyokueleza siwezi kuingia katika mjadala ambao mtu anasheherekea mauaji ya kimbari.
Kalamu yangu mimi inafika mbali.
Wewe kalamu yako inaishia hapa.
Sema Waarabu wana roho za paka, case ya Egypt, Vita vya siku 6, Entebe raids na Golan heights wars ingetosha kuwafunza kuacha kabisa kuwachokoza IsraelAlifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!! Na alikuwa wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekuwa hospital ambapo Amin alimuua baadae!!! Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!
Na alikuwa anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Upo sahii.....waislamu ukiwabana hoja....watakuambia hautakiwi kuhoji......ukihoji unauawa...!!!Dunia now ni free nchi nyingi nje ya uislam.. acha aenjoy life. Raha ya waisam wapo kama na free visa nchi za kiislam wanakubalika hata akiwa na rangi tofauti japo arabuni atabaguliwa hata kama ni muslim... but nchi free pia anahaki zake anapata... labda alete ujahidina kutishia wengine practice za uislam halisi fanatic muslim. ila kama yupo for amani popote aishi kwa amani bila bughuza.. haitakiwi kumchukia hata kama anakuchukia pengine wamepotoka waoneshe maandiko yao kuwa hawapo sawa..
Muslim anamuamnini zaidi Christian zaidi ya Muislam mwenzie... even Mtume wao hali zilipokuwa mbaya alipata hifadhi kwa Christians huko Ethiopia and Christians sio watu wa visasi... me napenda watu wote ila wakianza maneno yao ya kashfa siwaachi kuwarekebisha.. kuna time niliacha kabisa ila social media wamejaa kututukana wakati sisi kila swali lina jibu and wao hawana majibu zaidi ya Taqiyya.
Sio roho za paka.....bali akili fupi mkuuSema Waarabu wana roho za paka, case ya Egypt, Vita vya siku 6, Entebe raids na Golan heights wars ingetosha kuwafunza kuacha kabisa kuwachokoza Israel
Nenda YouTube search Entebe raids 1976Aiseee He will live in the history of Israel from generations to generations
Sijawahi sikia hii mkuu shukrani sana
Na asipiwe msaada maana ninauhakika hilo la kuwakatia watu maji na chakula na mafuta halitawezakna kwenye sovereign state achana mbali na concentrate camp ya gazaIDF ni bora mashariki ya kati tu pale...Semi-regional power.Kwa sasa inasumbua na makundi ya watu wals hata sio nchi (formidable).Warfare imebadilika sana miaka ya karibuni..unaweza kuwa superpower nchi ndogo tu ikakuweka chini..
Israel mpaka akutane na ngoma nzito ndo tutampima...mfano wazichape na Iran kavu kavu ndo tutajua
Nelson...Mzee ingekua waarabu ndio wameua wayahudi.....bila shaka najua ungefarijika.
Hata October 07 waarabu wa hamas walipoua na kubaka wanawake na watoto......natumani wewe na waislamu wengi duniani mlishangilia........!!!
Ila kibao kilipogeuka unasema mauaji ya kimbari.
Hapo mimi napata ukakasi na kauli zako.......!!!
NB: MIMI SIO MNAFIKI NI MUWAZI NA WALA SIEGEMEI UPANDE WOWOTE KATIKA HISTORIA......KALAMU YANGU IPO UPANDE WA TOFAUTI SANA NA WEWE.
Huwa sikisii.IOF ndio nini? Shuleni ulifundishwa ujinga?