yaaani maisha yanaenda spidi sana 🤣Mambo yamebadilika ghafla bin vuu🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu ghafla tu🤣yaaani maisha yanaenda spidi sana 🤣
Vyombo hivi hivi tunaosukumana kila weekend kwenye vitu vya baa na kwa dada poa?Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “
Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma
Labda ndio sababu
Niishie hapo 🐼
wajumbe waturudishie pesa sasa 🤣Halafu ghafla tu🤣
Kiendacho kwa mganga hakirudi🤣wajumbe waturudishie pesa sasa 🤣
ntaloga mtuKiendacho kwa mganga hakirudi🤣
🤣🤣Hakuna idara Tanzania ni genge la makada tu, walitakiwa waanze na Samia...
Ulafi wa madaraka ni balaa—unakalia kiti kama mtoto anavyong’ang’ania chupa ya maziwa, bila maarifa wala kipaji. Mbaya zaidi, unaziba masikio kama aliyemeza pamba. Watu wanakuambia, ‘Bwana, mambo haya yamekuzidi,’ lakini wewe bado unajifanya kiongozi. Embu sepa.
View attachment 3411103
Angalau heshima itakuwepo kama ni kweli!Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “
Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma
Labda ndio sababu
Niishie hapo 🐼
Acha kabisa, impact ya slow slow sio poaMambo yamebadilika ghafla bin vuu🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli Mkuu, unakuwa na kiongozi ambaye hata ukitoka nje ya nchi unaona aibu kusema fulani ndiye kiongozi wangu!Mwaka huu ndio mtaelewa hii nchi ina TISS au hakuna
Bado hakuna rangi mtaacha kuona
The state.!
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “
Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma
Labda ndio sababu
Niishie hapo 🐼
Ana hali sasa hata ya kumuwaza Lissu sasa hivi.Ningekuwa Maza ningeagiza Lissu atolewe Magereza haraka......atamchafulia zaidi
Idara ipi? Hii ambayo ina teka, kutesa na kua watu? Labda ishuke nyingine toka mbinguni. [Sifa za kuwa mbunge TZ)Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “
Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma
Labda ndio sababu
Niishie hapo 🐼
Usipate shida. TISS hawana uwezo huo. Ile ni branch ya CCMTISS fanyeni yenu, toeni hao kina Musukuma, kina Kishimba na wenzao wote darasa la 7. Labda Elimu itaanza kuheshimiwa tena nchi hii.