Tetesi: GE2025 Idara imefuta Mfumo wa Chawa siasani

Tetesi: GE2025 Idara imefuta Mfumo wa Chawa siasani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “

Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma

Labda ndio sababu

Niishie hapo 🐼
Ulikuwa unauliziwa mkuu upo? Kuna threat humu!
 
Ulikuwa unauliziwa mkuu upo? Kuna threat humu!

Ujifunze kusoma Mkuu.
Hapo kuna Tarehe ya hiyo post.
Mtoa post alipost Tarehe
19 July 2025.

Hiyo post ina mwaka Mmoja na week 3.

Kwa kifupi sio post ya leo.
 
Back
Top Bottom