Tetesi: GE2025 Idara imefuta Mfumo wa Chawa siasani

Tetesi: GE2025 Idara imefuta Mfumo wa Chawa siasani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “

Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma

Labda ndio sababu

Niishie hapo 🐼
Na aliyejipitisha afanyiwe vetting

KATAA WAHUNI
 
Eti vetting!! Tangu lini CCM zaidi ya vimemo TU.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “

Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma

Labda ndio sababu

Niishie hapo 🐼

GwEqWZ_XQAAXxWV.jpeg
 
Shida sio professional au kk. Shida ya wanasiasa akiwa kwenye mrija wa maziwa anajenga hoja za kitoto toto tu, ila system ilimtema, anaanza kujenga hija zenye mashiko ili ku side na wananchi aonekame wa maana. Akirudishwa tena kwenye mrija akili zinapotea anarudi na vihoja vya kitoto
 
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “

Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma

Labda ndio sababu

Niishie hapo 🐼
"Idadi ya wabunge iwe sawa na idadi ya halmashauri na mbunge lazima awe na masters degree."
 
Unaambiwa Bila JKT hutoboi😂😂😂
Sababu kule ndo unaambukizwa uzalendo hakuna mahala pengine
 
Nchi inatakiwa kuwa na viongozi wenye akili kubwa,uweledi,exposure siyo okotaokota tu kuchomekana

Ova
 
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “

Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA wabunge wa Kenya Walisema hawawezi kujibishana na Wabunge wa Tanzania kwa sababu wiwango vyao ni vya KK na siyo kitaaluma

Labda ndio sababu

Niishie hapo 🐼
Yote hiyo ya nini, wote hao 27,000 na 10,000 wawekewe zamu ya kuongea kwenye debate, 90% watakimbia hata kabla ya debate. Waliobaki waendelee na debate wachujwe na wananchi.
Kama zile primary za Marekani
 
Vyombo kazi yao ni kuhakikisha Sanduku ya Kura inaheshimiwa.

Vetting tutafanya sisi wananchi
 
Mwaka huu ndio mtaelewa hii nchi ina TISS au hakuna

Bado hakuna rangi mtaacha kuona

The state.!
ni TISS na GSO hawahawa wanaofanyaga hizi vetting au wengine tunaowajua? hawana taarifa zozote sasa vetting gani wanafanya?
 
Vyombo hivi hivi tunaosukumana kila weekend kwenye vitu vya baa na kwa dada poa?
hahshahhah hapa Dodoma unayakuta yamejazana pale Jacques Restaurant Car wash pembeni ya BoT yanakunywa mapombe na makofia yao kama madereva trekta hakuna wajualo!!
 
Vetting yetu kiboko.
Makala kapita
Mwana wa Masatu kapita
Sitashanga kibajaji , mtambavangu a k.a mama wa ngono na Tall tall wakapenya.
 
Back
Top Bottom