Chill with big boys
Member
- Jun 10, 2022
- 29
- 22
Mkuu hii point yako ni ya makini sana umenena vema mkuu, unaongeza mtoto mwingine kutokana na uwezo wa mfuko kama ni mmoja ndo una uwezo wa kumlea basi ni huyo huyo, ili kutowatesa watoto,Mfuko ndio uamue unamudu wangapi!
Usikubali kuamuliwa na mihemko ya kuchwani kwamba watoto ndio utajiri wako kesho, utateseka na utawatesa watoti.
Kama unamudu mmoja basi huyo anatosha mpaka uwe na uwezo wa kuhudumia mwingine, hatushindanishi nguvu za kiume aisee
Na hii kauli ya "Mungu akuleta mtoto analeta na sahani yake" kua nayo makini, ndio maana huyohuyo alisema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"