Idadi ya walipa kodi yapungua

Idadi ya walipa kodi yapungua

Acheni kutupanga hivi nchi hii kuna mtu alipi kodi, hivi miamala kwenye sim , malipo kwenye luku , maushuru mbalimbali ikiwemo maegesho ya magari sio kodi

Kwa nini mnataka fanya watz wajinga sana ,pumbavu
unaweza ukajiona una akili kumbe wewe ndo mpumbavu jielimishe au omba uelimishwe. Takwimu za walipa kodi hazijumuishi mambo ya kodi ya subunit unayonunua
 
NO REFORMS NO ELECTION ndiyo jibu la kupata viongozi na watunga sera wenye maono ya kuhusu uchumi, ajira, masoko badala ya hawa waliopo wizarani na bungeni

09 April 2025
Mbamba Bay, Nyasa
Tanzania

HOTUBA YA NISHATI YA MAKAA YA MAWE ILIYOMLETEA MATATIZO TUNDU LISSU

View: https://m.youtube.com/watch?v=TdCkjaIH2rU
Tundu lissu amehutubia wananchi wa mji wa Mbambabay wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Hotuba ambayo ameirudia tena Mbinga mjini kuhusu madini mkakati kwa uanzishaji viwanda vikubwa vya kimkakati kuzalisha nishati, bidhaa na maelfu ya ajira kama pia serikali ikiamua makaa ya nayo yatumike nchini Tanzania mbali ya kuuza makaa nje ya nchi.

TOKA MAKTABA :
18 February 2025

Mradi wa Uchimbaji Chuma cha Liganga Mchuchuma pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu


View: https://m.youtube.com/watch?v=XOTIBat2sjo
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, leo tarehe 18.02.2025 ameendelea na ziara yake ya kikazi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe na kufika kwenye Mradi mkubwa na wa Kielelezo wa Chuma cha Liganga pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu inayosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)Waziri Jafo amesema mMadi huu unaweza kuanza mwaka huu 2025 kwani wataalum wa NDC kwa niaba ya Serikali pamoja na wawakilishi wa Mwekezaji wanakamilisha vipengele vya kimkataba ili Mradi huo uweze kuanza.


TOKA MAKTABA :

16 December 2024

Biteko - Tanzania kuendelea kuchimba, kuuza makaa ya mawe.


View: https://m.youtube.com/watch?v=l387nMlRQ0E

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuchimba na kufanya biashara ya makaa ya mawe kutokana faida za kiuchumi kwa taifa hilo, licha ya bidhaa hiyo kuhusishwa na uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi.

Baadhi ya mataifa barani Ulaya yanaachana na matumizi ya makaa ya mawe hususani katika kuzalisha umeme.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati, Doto Biteko katika mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC Florian Kaijage.

Ambapo miongoni mwa mambo mengine aliyoyazungumzia ni pamoja usambazaji wa gesi majumbani, bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kuwepo kwa umeme wa kutosha na masuala ya uongozi kwa ujumla.

Sisiem wamejaa wataalamu hamnazo.
 
Halafu unaambiwa TRA inavunja record kwa mapato kila mwezi toka mwaka uanze.

Dr Mpango ni mkweli mno mpaka wameamua kumpumzisha.
kwa upande wao wanakua kweli wamevunja rekod yaaan kua juu ya lengo kwasababu wao hupanga maybe tukusanye milion 100 so wakikusanya mil 111 wanakua wamevunja record. Sasa msingi wa hoja yetu tujikite kwenye malengo wanayojiwekea kwa kuzingatia tax to GDP ratio
 
NO REFORMS NO ELECTION ndiyo jibu la kupata viongozi na watunga sera wenye maono ya kuhusu uchumi, ajira, masoko badala ya hawa waliopo wizarani na bungeni

09 April 2025
Mbamba Bay, Nyasa
Tanzania

HOTUBA YA NISHATI YA MAKAA YA MAWE ILIYOMLETEA MATATIZO TUNDU LISSU

View: https://m.youtube.com/watch?v=TdCkjaIH2rU
Tundu lissu amehutubia wananchi wa mji wa Mbambabay wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Hotuba ambayo ameirudia tena Mbinga mjini kuhusu madini mkakati kwa uanzishaji viwanda vikubwa vya kimkakati kuzalisha nishati, bidhaa na maelfu ya ajira kama pia serikali ikiamua makaa ya nayo yatumike nchini Tanzania mbali ya kuuza makaa nje ya nchi.

TOKA MAKTABA :
18 February 2025

Mradi wa Uchimbaji Chuma cha Liganga Mchuchuma pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu


View: https://m.youtube.com/watch?v=XOTIBat2sjo
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, leo tarehe 18.02.2025 ameendelea na ziara yake ya kikazi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe na kufika kwenye Mradi mkubwa na wa Kielelezo wa Chuma cha Liganga pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu inayosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)Waziri Jafo amesema mMadi huu unaweza kuanza mwaka huu 2025 kwani wataalum wa NDC kwa niaba ya Serikali pamoja na wawakilishi wa Mwekezaji wanakamilisha vipengele vya kimkataba ili Mradi huo uweze kuanza.


TOKA MAKTABA :

16 December 2024

Biteko - Tanzania kuendelea kuchimba, kuuza makaa ya mawe.


View: https://m.youtube.com/watch?v=l387nMlRQ0E

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuchimba na kufanya biashara ya makaa ya mawe kutokana faida za kiuchumi kwa taifa hilo, licha ya bidhaa hiyo kuhusishwa na uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi.

Baadhi ya mataifa barani Ulaya yanaachana na matumizi ya makaa ya mawe hususani katika kuzalisha umeme.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati, Doto Biteko katika mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC Florian Kaijage.

Ambapo miongoni mwa mambo mengine aliyoyazungumzia ni pamoja usambazaji wa gesi majumbani, bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kuwepo kwa umeme wa kutosha na masuala ya uongozi kwa ujumla.

Reforms hadi kwenye Ulipaji Kodi??
 
IMG_0361.jpg


Rais Dk. John Pombe Magufuli, akiwa katika Kikao Maalum kati yake na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ameeleza kuwa, Tanzania haifanyi vizuri katika suala la ukusanyaji wa mapato kulinganisha na Nchi nyingine za kiafrika.
Alieleza kwa kufafanua takwimu za kodi kwa kulinganisha Tanzania dhidi ya majirani zake:
  • Tanzania (milioni 55): walipa kodi milioni 2.2; kodi inayotozwa ni 12% ya GDP.
  • Kenya (milioni 46): walipa kodi milioni 3.9; kodi inayotozwa ni 18% ya GDP.
  • Uganda (milioni 37): walipa kodi milioni 1.2; kodi inayotozwa ni 14% ya GDP.
  • South Africa (milioni 56): walipa kodi milioni 19.9; kodi ni 26% ya GDP.
  • Mozambique (milioni 5.3): walipa kodi milioni 5.3; kodi ni 18% ya GDP.
  • Zambia (milioni 16): walipa kodi milioni ?; kodi ni 15% ya GDP.
  • Botswana (milioni 2): walipa kodi milioni 0.7; kodi 14% ya GDP.
  • Burundi (milioni 10): walipa kodi milioni 0.2; kodi 13% ya GDP.
  • Namibia (milioni 2): walipa kodi milioni 0.6; kodi 12% ya GDP.
Hapa Rais Magufuli amepigilia msumari kwenye ukweli. Watanzania wamekuwa wakilalamika kuwa, kodi ni nyingi na kwamba Sera za sasa siyo rafiki kwa mazingira ya kibiashara na uwekezaji nchini. Sasa ukweli umewekwa wazi kuwa, Tanzania ndiyo Nchi yenye wastani mdogo sana wa walipa kodi katika Nchi zote za Afrika Mashariki.
Vilevile, mapato yatokanayo na kodi nchini Tanzania, ni asilimia ndogo sana kulinganisha na Nchi majirani. Tanzania imepigwa na Kenya, Uganda, Zambia, Msumbiji, Rwanda, Burundi, SA, Botswana na Namibia katika asilimia ya Mapato yatokanayo na kodi (kiwango cha kodi kulinganisha na uwiano wa pato la Taifa).

Sasa wewe fikiria, kama Serikali ya sasa imejitahidi kuziba mianya ya kodi na kuongeza walipa kodi lakini bado Tanzania iko nyuma kulinganisha na majirani zake, je kipindi cha kabla ya Magufuli, hali nchini ilikuwaje?

Tatizo liko kwa Watanzania wenyewe. Sera za ovyo za kuwarahisishia maisha watu wavivu ndizo zilizotufikisha hapa. Tuliifanya Tanzania masikini kuwa Nchi inayotegemea consumer goods na kujisahaulisha misingi ya kiuchumi. Leo bado tuko nyuma kwenye kodi but tunalialia, sasa hali ikifika ya kuifanya kodi kuchangia asilimia 15% itakuwaje.

Tuaje uvivu, majirani walikuwa wanatuchora sana kipindi cha nyuma namna tulivyokuwa tunapotea. Sasa hivi tunaifanya Tanzania kuwa Nchi ya kuzalisha bidhaa zetu na siyo kupokea kila kitu kutoka nje.

Rais Magufuli amewakumbusha Watanzania kuwa: Hapa duniani, mambo ya uhakika ni mawili pekee: kifo na kukusanya kodi

Naona umeonesha Nchi yenye walipa kodi wengi ni South Africa; ikifuatiwa na Kenya na Mozambique
Nafikiri moja ya sababu nikuwa na kodi rafiki inayolipika kirahisi; South Africa VAT kwao ni 15% Ikifuatiwa na Kenya na Mozambique ambao VAT ni 16%
Marekani ni kati ya Nchi inayo ongoza kuwa na walipa kodi wazuri Duniani ila ukiangalia VAT kwao ni 11%
Sijasema tupunguze kodi, nimetoa tu sababu...
 
Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.

Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.

Je, unadhani nini kimechangia hali hii?

Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?

Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣

Kwa mtazamo wangu hapa wanazungumziwa walipakodi katika nyanja zote maana kuna kodi zinazolipwa tra na ambazo hazilipwi tra. inawezekana kabisa tra wakawa wanavuka malengo ila baadhi ya sekta zingine walipa kodi wakawa hawapo. mfano kuna mtu anaweza kuwa na kampuni akawa analipa kodi au tozo au liseni ya kampuni baadaye kampuni akafunga na kuwa na bishara binafsi badala ya kampuni hivo tra wakawa wanapokea kodi yao kama kawa ila kwenye liseni ya kampuni katoka. huu ni moja ya mfano.
 
Biashara ya umachinga imerahisishwa sana,kuna walipa kodi wakubwa wamejificha kwenye machinga hususani Kariakoo

Maofisa usafurishaji Bodaboda , bajaj hawalipi PAYE, wenye mifugo, wavuvi, wakulima hawalipi PAYE
 
Naona umeonesha Nchi yenye walipa kodi wengi ni South Africa; ikifuatiwa na Kenya na Mozambique
Nafikiri moja ya sababu nikuwa na kodi rafiki inayolipika kirahisi; South Africa VAT kwao ni 15% Ikifuatiwa na Kenya na Mozambique ambao VAT ni 16%
Marekani ni kati ya Nchi inayo ongoza kuwa na walipa kodi wazuri Duniani ila ukiangalia VAT kwao ni 11%
Sijasema tupunguze kodi, nimetoa tu sababu...

South Africa ajira zote katika Uchumi na biashara zipo rasmi hakuna kazi ndogo kudai kuwa wewe ni kinyozi au unaendesha daladala (taxi), kibarua, mvuvi, mlinzi, daktari, sangoma (mganga wa kienyeji), kibarua n.k hulipi PAYE

Tanzania watu wengi hawapo katika mfumo ndiyo maana hawalipi kodi. Dawa ni kuwa kama haupo ktk PAYE basi watu wote zaidi ya umri wa miaka 18 walipe kodi ya kichwa ili kuwepo usawa wale wa PAYE wasibebeshwe zigo pekee yao.
 
Mkuu hizo ulizotaja ni kodi za huduma. Na sio kodi binafsi.
Maana yangu kwa mfano ni kuwa usiponunua vocha basi upo salama au usipokuwa na gari basi pia upo salama.
Kodi inayoongelewa hapa ni kodi binafsi… twaweza iita kodi ya “kichwa” kwa maana nyingine.
 
VYANZO VINGINE TRA WAONGEZE WIGO WA PAYE

Makato ya PAYE South Africa yameelezwa

View: https://m.youtube.com/watch?v=RtI4Y5y9yYM
Wakubwa vigogo nao ni ma hustler wamesahauliwa kwa kuwa wanafanya kazi mfano BOT, TRA, HALMASHAURI n.k wana miradi ya mabanda ya kuku, nguruwe, bodaboda, bajaj n.k lakini hawalipi kodi za mapato yao yote kwa ujumla
 
Mfanya biashara wa karikakoo
1) Kodi ya mapato
2) Kodi ya pango
3) Kodi ya leseni ya biashara
4) Kodi ya service Levy
5) Fire
6) Usafi
7) Parking Kwa wenye magali
8) Kodi ya fremu
9) Kodi ya store
10) Kodi ya ulinzi


Lazima wapungue Kwa kufunga biashara au kutafuta njia mmbadala
 
Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.

Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.

Je, unadhani nini kimechangia hali hii?

Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?

Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣


Moja ya eneo ambalo lilikuwa wazi ni utoaji wa huduma za afya. Tulikuwa tunakata mti tuliokalia. Vituo vya afya vingi vimefungwa na wafanyakazi kuachishwa kazi. Hakuna aliyeingiza mguu wake kunusuru hili ila tunakuwa tayari kwenye kusoma matokeo yake.

Kama mwekezaji mfano: Aga Khan kafunga vituo 7 vyenye wastani wa kuajiri wafanyakazi 18 kwa kila kituo na bado anaendelea kufunga vingine. Hali ikoje kwa wengine na kwenye sekta nyingine?

Mbili, utitiri wa kodi usio na kuzingatia mfanyabiasha anapata nini bali unakadiria kwenye mtaji wake na kodi za kujurudia ambazo ilitakiwa kuwa hufuma kwa aliyelipa kodi ni mgandamuzo mkubwa. Wafanyabiashara wengi wanaona ni bora kuongea vizuri na mwakirishi wa TRA kuliko kulipa kodi yenyewe. Tume iliundwa ya kutathimini kodi hizi lakini kimya mpaka leo. Ingekuwa tume ya kugawanya majimbo, majibu ndani ya wiki mbili. Sijui vipaumbele vyetu viko wapi?

3: Kuambiwa ukweli hatutaki, tunapenda mapambio matamu.
 
Mbona tuliambiwa Magu aliua uchumi na mama anaufufua?
 
Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.

Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.

Je, unadhani nini kimechangia hali hii?

Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?

Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣

Je huku kwetu kukoje, Rais Makamu wa Rais Waziri mkuu Majaji Mawarizi Wabunge Wakuu wa Mikoa Wilaya n.k wanalipa kosi

Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer alilipa kodi ya £54,718 mwaka jana

Waziri Mkuu Sir Keir Starmer alilipa ushuru wa pauni 54,718 mnamo 2023/24, kulingana na hati iliyotolewa na serikali.

Muhtasari unaonyesha alilipa ushuru wa pauni 152,225 za mapato katika mwaka wa kifedha unaoishia tarehe 5 Aprili 2024, kipindi ambacho chama cha Labour kilikuwa na upinzani.

Sir Keir alipata sehemu kubwa ya mapato yake kutokana na jukumu lake kama mbunge na kiasi kidogo kutoka kwa mirahaba ya vitabu na riba ya £5,174 ya pesa katika akaunti ya akiba.

Kansela Rachel Reeves na Naibu Waziri Mkuu Angela Rayner pia wamechapisha muhtasari wa masuala yao ya ushuru kwa mwaka huo huo.

Reeves alipata jumla ya £91,758 na alilipa £24,215 katika kodi ya mapato.

Chansela alipokea £12,372 kutokana na mapato ya kujiajiri, ambayo yalihusiana na mirahaba ya kitabu na ada za vitabu vya sauti.

Rayner alipata jumla ya £85,205 na kulipa £21,514 katika kodi ya mapato.

Mapato yote ya Rayner na manufaa yanayotozwa ushuru yalitokana na jukumu lake kama mbunge.

Bili ya ushuru ya Sir Keir ya 2023/24 ilikuwa chini kuliko mwaka wa fedha uliopita, alipolipa £52,688 katika kodi ya faida ya mtaji baada ya mauzo ya Desemba 2022 ya shamba ambalo sehemu yake linamilikiwa na mali ya babake.

Mswada wake wa ushuru mnamo 2022/23 ulikuwa chini mara tano kuliko wa Waziri Mkuu wa zamani Rishi Sunak kwa mwaka huo huo.

Muhtasari wa hivi punde zaidi wa Sir Keir wa mapato yake yanayotozwa ushuru nchini Uingereza, faida za mtaji na kodi aliyolipwa katika mwaka uliopita wa kodi kama ilivyoripotiwa kwa HM Revenue & Customs, ulitayarishwa na wahasibu wake wa kukodi.
 
Back
Top Bottom