Idadi ya walipa kodi yapungua

Idadi ya walipa kodi yapungua

Je huku kwetu kukoje, Rais Makamu wa Rais Waziri mkuu Majaji Mawarizi Wabunge Wakuu wa Mikoa Wilaya n.k wanalipa kosi

Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer alilipa kodi ya £54,718 mwaka jana

Waziri Mkuu Sir Keir Starmer alilipa ushuru wa pauni 54,718 mnamo 2023/24, kulingana na hati iliyotolewa na serikali.

Muhtasari unaonyesha alilipa ushuru wa pauni 152,225 za mapato katika mwaka wa kifedha unaoishia tarehe 5 Aprili 2024, kipindi ambacho chama cha Labour kilikuwa na upinzani.

Sir Keir alipata sehemu kubwa ya mapato yake kutokana na jukumu lake kama mbunge na kiasi kidogo kutoka kwa mirahaba ya vitabu na riba ya £5,174 ya pesa katika akaunti ya akiba.

Kansela Rachel Reeves na Naibu Waziri Mkuu Angela Rayner pia wamechapisha muhtasari wa masuala yao ya ushuru kwa mwaka huo huo.

Reeves alipata jumla ya £91,758 na alilipa £24,215 katika kodi ya mapato.

Chansela alipokea £12,372 kutokana na mapato ya kujiajiri, ambayo yalihusiana na mirahaba ya kitabu na ada za vitabu vya sauti.

Rayner alipata jumla ya £85,205 na kulipa £21,514 katika kodi ya mapato.

Mapato yote ya Rayner na manufaa yanayotozwa ushuru yalitokana na jukumu lake kama mbunge.

Bili ya ushuru ya Sir Keir ya 2023/24 ilikuwa chini kuliko mwaka wa fedha uliopita, alipolipa £52,688 katika kodi ya faida ya mtaji baada ya mauzo ya Desemba 2022 ya shamba ambalo sehemu yake linamilikiwa na mali ya babake.

Mswada wake wa ushuru mnamo 2022/23 ulikuwa chini mara tano kuliko wa Waziri Mkuu wa zamani Rishi Sunak kwa mwaka huo huo.

Muhtasari wa hivi punde zaidi wa Sir Keir wa mapato yake yanayotozwa ushuru nchini Uingereza, faida za mtaji na kodi aliyolipwa katika mwaka uliopita wa kodi kama ilivyoripotiwa kwa HM Revenue & Customs, ulitayarishwa na wahasibu wake wa kukodi.

Umetupa mfano mzuri, nina hakika wale vigogo wa serikalini mashirika waliofungua miradi huwa hawalipi kodi kutokana na kipato hicho cha ziada.

Mfano Mzee Pinda Peter Kayanda Mizengo ana mradi wa shamba la zabibu, je anakadiriwa kodi ya ziada kutokana na chanzo hicho cha mapato ?

View: https://m.youtube.com/watch?v=6JDKAses07U
Mfano mwingine mbunge Charles Kitwanga je analipa kodi ya mapato kutokana na ku hustle kwa kufuga kuku nyumbani kwake ?


View: https://m.youtube.com/watch?v=7d_ouFn-j-g

Mifano ni kibao kuwa kuna shughuli nyingi za wakubwa na wadogo za kujiingizia kipato lakini hawalipi kodi stahiki ikiwemo kodi ya mapato. Eneo hiki likitazamwa basi wigo wa walipa kodi utaongezeka kufanya idadi rasmi kuwa kubwa zaidi ya walipa kodi ma hustlers na vibarua wao wangetakiwa walipwe ujira ili waweze kuingizwa katika PAYE.
 
Wigo mwingine ukitazwamwa ni kwa wenye mashamba wanatakiwa pia kulipa kodi ya mapato


View: https://m.youtube.com/watch?v=Ytf8D5bNFyw
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ameendelea kuwekeza nguvu zake katika kilimo wakati huu baada ya kustaafu majukumu ya Kitaifa.


Wenye mashamba ya kueleweka je wanalipa kodi ya mapato PAYE mbali ya kodi zile za mageti ya mazao n.k Masanja Mkandamizaji akionesha mafanikio ya ajira ya kilimo


View: https://m.youtube.com/watch?v=pFywWew6Fdk
 
Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.

Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.

Je, unadhani nini kimechangia hali hii?

Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?

Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣

Kwahiyo ongezeko la makusanyo ni kutokana na nini. Au wameongeza ukamuaji
 
Hawa viongozi wetu wanatufanya sote ni mapoyoyo ujue!

Enhe, principle za uanzishwaji wa kodi ya VAT ilikuwa ni nini?

Kuwaita raia wote kuwa ni walipa kodi wa nchi hii lengo lake ni nini?

Ni hatua gani za kisheria zilizokwisha chukuliwa kwa waliokwepa kodi halali za Serikali?
Chochote kitakacho nunuliwa na mtoto au mkubwa iwe ni chakula mavazi au chochote kile kodi tayari mtu ameshatozwa humo !
Huwa nashangaa kusikia wale watu wanaokusanyia kodi Serikali kutokana na Biashara kubwa kubwa zao Eti ndio wanahesabika ndio walipa kodi Nchini
😱😱 !
Sisi akina Kalimazila ambao ndio wengi kila siku tunanunua hizo bidhaa na hizo huduma zinazotolewa na hao wanaoitwa ndio walipa kodi hatuhesabiwi kama ni walipa kodi 😳😱😱 !
Kwakweli itabidi Turudi tena shuleni !
 
Unaweza kuwadanganya Watu !
Lakini Mungu huwa hadanganywi !
Mungu anawaona wanaozitwanga Kodi za Wananchi masikini wa Nchi hii 😳 !
 
Wigo mwingine ukitazwamwa ni kwa wenye mashamba wanatakiwa pia kulipa kodi ya mapato


View: https://m.youtube.com/watch?v=Ytf8D5bNFyw
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ameendelea kuwekeza nguvu zake katika kilimo wakati huu baada ya kustaafu majukumu ya Kitaifa.


Wenye mashamba ya kueleweka je wanalipa kodi ya mapato PAYE mbali ya kodi zile za mageti ya mazao n.k Masanja Mkandamizaji akionesha mafanikio ya ajira ya kilimo


View: https://m.youtube.com/watch?v=pFywWew6Fdk

Kwa wengine Mashamba ni Boshen tu au sehemu ya kufanyia picnic na mapichapicha tu !
 
Huu ndo upuuzi sasa tunalisha watu, mfanyakazi kila mwezi analipa kodi je lini TRA imemkadiria , so mfanyakazi wa tz sio mlipa kodi kwa sababu hajakadiriwa na TRA ?
Nijibu kabla sijakufuata na fimbo jirani ,nakueshim
Mimi nakuona wewe ndio unashindwa kuelewa, receipt yako inaandika pesa imekatwa na TRA basi unalipa kodi na hapo lazima uwe na Tin number kama huna basi hulipi kodi hapo sijui umeelewa??
 
Exclusive interview - Mtaalamu mchumi Prof Gift Mugano (Ph.D) akielezea sababbu za nafasi za kazi kupungua, idadi ya walipa kodi kungua / kuwa ndogo, sera za kodi n.k


View: https://m.youtube.com/watch?v=Ri4HFYwoCIw
Leading Expert in BRICS' Think Tank|Director Centre for African Governance & Development| Durban University of ...
 
Back
Top Bottom