Walipa kodi wameongezeka kwa ujumla wake, labda wamepungua mawakala wa kukusanya kodi.Acheni kutupanga hivi nchi hii kuna mtu alipi kodi, hivi miamala kwenye sim , malipo kwenye luku , maushuru mbalimbali ikiwemo maegesho ya magari sio kodi
Kwa nini mnataka fanya watz wajinga sana ,pumbavu
Tuna changamoto ya kutofautisha walipa kodi na mawakala.
Mara nyingi walipa kodi huongezeka sambamba na idadi ya watu.