ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Matapeli hasa waomba hela wa humu wanafahamu exactly kitu ambacho akikwambia kitakugusa.

Kuna ID alisema mkewe mjamzito au kajifungua sikumbuki vizuri, Binafsi ameshanifata kwa ID tofauti kwa script moja. Watu wa JF wana akili sana walishamshtukia, mi nikawaambia hamuwezi jua labda mtu ana shida kweli, nikamtumia na ni hela ndogo tu nadhani ilikuwa 15 K. Mara ya pili nikamuignore siku ya siku naangalia PM yangu naona mbona hii ID imebadilika imekuwa nyingine?
 
😂😂😂😂😂 Heee sasa kulikuwa na haja gani kusema anataka kukulipa?

The Monk Njoo hapa nahisi kama jamaa yetu yupo humu, iweje anitext kuwa anataka kunilipa lile deni halafu apotee hadi leo?

Nilicheka sana ulivyoniambia subiri uone kama utalipwa 😅😭

Alisema he wanted to make things right, he is kind of matured na nini he is looking into new beggining, haaaa ukaanza kuchagua abaya na nywele za brazil mara unaulizia bei za maproduct ya gucci sijakaa sawa channel sijui mavitu ya mbele huko...nikakwambia tuliyaaaa, kaa kimya uone kwanza muamala, na akikulipa nahamia kwa mswati. Kiko wapi?
 
Now u know 😄😄watu mkaombewa na kuombewa 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️😎
Utapeli na ushenzi...

Mbona hujaniita? 😄
Nilikuwa nasubiri ufungue usiingie dhambini jamani ushaanza kuandika neno ushenzi kabla ya saa 12😒

Mimi usinikumbushe machungu nilivyokuwa najiliza linanisikiliza kama mtu vile😏
 
😄😄😄yaani acha tu
Kuna washenzi humu acha tu
Na sijui wanapata faida gani
Mpk wanafanya tuogope kuonana na watu wa muhimu kwa kuhofiwa kuchafuliwa
Da!
Screenshot_20260210-210624~2.jpg
 
Back
Top Bottom