Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,817
- 9,458
Yako ya zamani kumbe ni Ile.. hahaAttention seekers..
The wanna be’s
Aisee za dini nazo zilinacha mdomo wazi🫢
Nyie matapeli wapo🙆🏽♀️ 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Yako ya zamani kumbe ni Ile.. hahaAttention seekers..
The wanna be’s
Aisee za dini nazo zilinacha mdomo wazi🫢
Nyie matapeli wapo🙆🏽♀️ 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Do u remember babgal???😆😆😆😆😆 Wewe ni nabii!
Nilishajiona navohamisha hela kwenye saving account yangu inavimba!
Kumbe ni tabia yao, nadhani kuna muda guilty fulani inawashika, ila kama alivyosema ankali Mshana, Tapeli ni tapeli tu.
Tumuweke kwenye maombi huenda ni pepo hakuna mtu wa kawaida wa hivi! Hawa ndio wale wanaishi jf hawezi kupumua bila hii forum😂Shenzi tabia za watt wa miaka 15 wanaobalehe mtu mzima haoni aibu
Sijui anapata faida gani
Mshenzi tu ameshataja watu kibao huko vichochoroni na taarifa zinatuurudia anahisi yuko pluto anajiongelesha ka mpuuzi!Btw , wanaokula humu wako kimya ht hawana kelele 😎🏃♀️😄
Ila ambao hawapewi full kelele
Chino leo niko na kikao serious naomba utulie😆Yako ya zamani kumbe ni Ile.. haha
Cc GENTAMYCINEWhy can't you just be real!? Woga wa nini sass😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self
Your reaction..
Your handwriting..
Your cycles..
Your puppetism..
ID ya kusifu watu
ID ya kutukana na kukashifu
ID ya mizinga
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Hutaki kujua hii😅What happened 😁
Yaani unawadaka chap tu 😆Huwa wanasema na ela ya kula ukikaa week mbili unakuta id imebadli mimi sifuti pm ili nijionee miujiza ya jf😎
😄😄mi alikuta sina hela za kunipiga ila zake nilikulaMkuu, kuna mtu kakupiga nini?
🤣🤣🤣🤣🤣,unaweza.Niliona nikatulia, ulikuja mpole sana ikawa ngumu kukutambua, ila ningekutambua tu😂
Kuna siku nilimkuta anamwmabia Binti wa zamani sijui ampeleke wapi ana kama mil 200 hivi hazina kazi nikamsanua chapchap ndio akamshtukiaga, kuna mtu naye nilimsanua nusu aliwe saiz eti kanigeuza adui ila jf🙌🏾😂😄😄😄😄atakua ninyeye
Si alisema ana biashara ya madini?
Mara mil 100🙌🙌
🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Labda mpaka uwende kule! UlitupieChino leo niko na kikao serious naomba utulie😆
DuhHutaki kujua hii😅
Sina muda wa kumuombea tapeli 😄😄Tumuweke kwenye maombi huenda ni pepo hakuna mtu wa kawaida wa hivi! Hawa ndio wale wanaishi jf hawezi kupumua bila hii forum😂
Mshenzi tu ameshataja watu kibao huko vichochoroni na taarifa zinatuurudia anahisi yuko pluto anajiongelesha ka mpuuzi!
Hii ya madini imekutach sana mamaake🤣🤣😄😄mi alikuta sina hela za kunipiga ila zake nilikula
Shenz
Eti ooh huwa nina bness ya madini
Nikichek mtu anesema hayo na personality yake 2 different things
Bora ungemuachaKuna siku nilimkuta anamwmabia Binti wa zamani sijui ampeleke wapi ana kama mil 200 hivi hazina kazi nikamsanua chapchap ndio akamshtukiaga, kuna mtu naye nilimsanua nusu aliwe saiz eti kanigeuza adui ila jf🙌🏾😂
Nilitupie nini jini au😂Labda mpaka uwende kule! Ulitupie
Valentines nikupeleke zanzibar🤣Sina muda wa kumuombea tapeli 😄😄
Niache kuombea mambo yangu yakae sawa nihangaike na tapeli
Duuh!Kuna siku nilimkuta anamwmabia Binti wa zamani sijui ampeleke wapi ana kama mil 200 hivi hazina kazi nikamsanua chapchap ndio akamshtukiaga, kuna mtu naye nilimsanua nusu aliwe saiz eti kanigeuza adui ila jf🙌🏾😂
😄😄😄nomaKuna siku nilimkuta anamwmabia Binti wa zamani sijui ampeleke wapi ana kama mil 200 hivi hazina kazi nikamsanua chapchap ndio akamshtukiaga, kuna mtu naye nilimsanua nusu aliwe saiz eti kanigeuza adui ila jf🙌🏾😂
Najuta kuna mashenzi humu ndani, mtu anakimbilia kwenye kuonewa wivu, cha kumuonea wivu hukioni😂Bora ungemuacha