ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Safi sana
Moja tu hii,nilijifanya ku log out😁😁😁kumbe password nilishaisahau kitambo sana,nikaanza kupigia watu wanipe no yangu ya secondary kama wanayo😁😁😁 bahati nzuri mdogo wangu yupo vizuri Kwa kutunza ma file,,nilikuwa nawaza kuja na I'd mpya daaah,nilivurugwa.
 
Kama ni wakike
najitolea kuwa mentor wake Bure without any payments 😁

Ujue yule jamaa usingemuumbua basi angetufilisi wanachama wote wa humu kiasi cha kufanya sito tukose hata bando la kuingilia humu.
Angefilisi vipi wakati ana ID ya kusema yeye ni mhaya mjomba wake yupo Dar ni kiongozi mkubwa serikalini.
 
Back
Top Bottom