Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 31,675
- 90,543
Kikubwa hakuwa na ya kuombea mbunye na ya utapeli, id zake zote za utafutaji🤣Kuna dokta alikua na ID sjui 150 kama sjakosea
Id ya udokta
Id ya udalala
id ya udereva
id ya ualimu
😁😁😁
Kikubwa hakuwa na ya kuombea mbunye na ya utapeli, id zake zote za utafutaji🤣Kuna dokta alikua na ID sjui 150 kama sjakosea
Id ya udokta
Id ya udalala
id ya udereva
id ya ualimu
😁😁😁
Noma sanaKuna zile za kujipigia promo..🙌🏿😂
Watu wanaumwa sio mchezo!id zote 10 unakuta ziko active at the same time
Wewe unazo ngapi?Why can't you just be real!? Woga wa nini sass😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self
Your reaction..
Your handwriting..
Your cycles..
Your puppetism..
ID ya kusifu watu
ID ya kutukana na kukashifu
ID ya mizinga
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
😀😀😀 Sometimes kuna vitu vinachekesha sanaKikubwa hakuwa na ya kuombea mbunye na ya utapeli, id zake zote za utafutaji🤣
Nia yangu ni njema tu mkuu. Nina IDs kibao ili JF ionekane ina wanachama wengi, na kisha iheshimike kwa kuwa na idadi kubwa ya members.Punguzeni multiple IDs wakuu.
Wengi ni mental caseWatu wanaumwa sio mchezo!
Halafu melo alifanya mistake sana kuruhusu hilo jamboNia yangu ni njema tu mkuu. Nina IDs kibao ili JF ionekane ina wanachama wengi, na kisha iheshimike kwa kuwa na idadi kubwa ya members.
Ni uzalendo tu!
hahahahahaha,hapo lzm utulie kwanzaunakuta unazinguana na ID Moja gafla zinakujia ID 5 kukushambulia unajiuliza hawa watu vipi kumbe ni mtu mmoja bana😁
Umesahau ID ya kuuza makontenaKuna dokta alikua na ID sjui 150 kama sjakosea
Id ya udokta
Id ya udalala
id ya udereva
id ya ualimu
😁😁😁
Yule jamaa ni hatari aise😁Umesahau ID ya kuuza makontena
We unataka JF ionekane ina wanachama 250, kweli! Lazima tujiongeze bhana!Halafu melo alifanya mistake sana kuruhusu hilo jambo
Buda sio poa inashangaza tu gafla unaanza kupigwa na ballistic missile za kutisha kumbe ni mtu mmoja anafanya kuswitch id ila ni kipaji maana comment zinakuwa hazipishani muda 1min 2mn au 3minhahahahahaha,hapo lzm utulie kwanza
Mbarikiwa kaka 😊 ndege supapawaNdege mdinya sasa hivi nimelazimika kutumia ID mbili. Kwa ID moja napiga vizinga, kwa nyingine nakuwa mtu wa heshima.
Kwa bahati maxence melo anazijua zote, hivyo hawezi kuziunganisha.
Hadi leo kila asubuhi nakuombea uishi miaka mingi kwa kunikamatia Dr. Mnyaunyau muuza kontena.Umesahau ID ya kuuza makontena
Watu wanaupiga mwingiWe unataka JF ionekane ina wanachama 250, kweli! Lazima tujiongeze bhana!
Aibu ya nyumbani kwenu yakupasa uifiche mkuu.
hao wasenge mimi huwa siwapi nafasi, kila id yake itakula matusi na maudhi iwe id yake yakujifanya wa heshima au choko au mwehu, naruka nazo zote mpaka anakuwa hana raha ya kuandika humu hata alete mada ya kichungaji natumbikia humo kuvurugavurugaunakuta unazinguana na ID Moja gafla zinakujia ID 5 kukushambulia unajiuliza hawa watu vipi kumbe ni mtu mmoja bana😁
Watu hawana maisha nje ya jf ndio shida hiyo!😀😀😀 Sometimes kuna vitu vinachekesha sana