Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 4,202
- 8,885
Jamaa nilisoma naye huyu saivi hafai Tik Tok
Jamaa nilisoma naye huyu saivi hafai Tik Tok
Mods watuwekee kitufe cha kuwafinyaWhy can't you just be real!? Woga wa nini sasa😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self...!
Your reaction...!
Your handwriting...!
Your cycles...!
Your puppetism...!
ID ya kusifu watu.
ID ya kutukana na kukashifu.
ID ya mizinga.
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk..❗❗❗
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako❗
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Kweli kipendacho roho hula nyama mbichi!Kama kweli kuna watu wana ID zaidi ya moja basi ni dalili ya
Uoga
Utapeli
Umalaya
Kutojiamini
Umaskini
Kasoro BICHWA KOMWE -
au aka DIVISHENI FOO
HUyu amejiweka wazi kabisa....na ID zake zina kazi mbili tofauti...
Umeona eeee😅😅😅 hata ww nakutetea hauna ID mbiliKweli kipendacho roho hula nyama mbichi!
Unavyomtetea rafiki yako😂🙌
Umesahau ya BRAZA CHOGOKama kweli kuna watu wana ID zaidi ya moja basi ni dalili ya
Uoga
Utapeli
Umalaya
Kutojiamini
Umaskini
Kasoro BICHWA KOMWE -
au aka DIVISHENI FOO
HUyu amejiweka wazi kabisa....na ID zake zina kazi mbili tofauti...
Khee kanishinda tabia...Umesahau ya BRAZA CHOGO
Hakuna hata anayenijua wanajichekesha tu!Lamomy
Haya pita hapa
🤣🤣
Anaejifanya anakujua kapotea baada ya huu uzi
Tapeli la mjini
Eti anakujua unaishi buza , aisee ni huzuni
Sitoweza aseeh hapa home sijafka.... Nifanyie summaryKila kurqsa ina umuhimu jitahidi usipitwe😂
Ingine anatoa mbunye nene😂Khee kanishinda tabia...
Uzuri wake
ID moja ni me
ID nyingine anakuja kama anakataa anakua haeleweki 😁
Ntakutumia vn😂Sitoweza aseeh hapa home sijafka.... Nifanyie summary
Ok jitahid hapa au piemuNtakutumia vn😂
😅😅😅niliiona nilicheka sana...eti njoo nina mbunye nene na yenye mafuta...Ingine anatoa mbunye nene😂
🤣🤣🤣 mpuuzi tapeliHakuna hata anayenijua wanajichekesha tu!
Na huu mdomo wangu si wangeshanifungia sabufa wanisute hapa..!! 😹
Huyo anatafuta kiki, kuishi kwake Buza basi anajua wote wa buza wenzie..!! Malaya mchafu akajambe mbeleee huko..!!
🤣🤣🤣Ila ID za JF ..🙌🏿 niliwahi kupewa dili ya kusafisha dollar kwa kemikali maalum.. Halafu yule mwana nilikuwa namheshimu sana😎🤣
Mi huwa naiogopa id yake sio😅😅😅niliiona nilicheka sana...eti njoo nina mbunye nene na yenye mafuta...
Huyu bwana yy anajifurahia zake maisha hanaga stress
Ila ni kichwa...sio wa kispotspot ukimkuta ana argue kwenye vitu serious
Nani tena huyoMi huwa naiogopa id yake sio
Siri😂