Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 4,209
- 8,894
Nani alikuwa mnufaika wa hizo buku 7Kweli kabisa jamaa alitoa milioni 7, baada ya dakika Tano tukawa tumejazana kwenye pm yake 😂
Nani alikuwa mnufaika wa hizo buku 7Kweli kabisa jamaa alitoa milioni 7, baada ya dakika Tano tukawa tumejazana kwenye pm yake 😂
Full minuno🤣🤣,
Sema humu nikishamsoma mtu nakaanae mbali,,,Kuna mmoja anajifanyaga kichaa na ana kundi lake linamsapoti🤣🤣,alijifanya anaenijua mara ooh nadaiwa vicoba,ooh bwana ako bodaboda anajitungia,,niliruka nae vile alivyotaka,,nikamsanukia Hadi pm kwake,,na nilisha mwambia Hadi nimtie mikononi🤣🤣,,,nilimfunga mdomo Hadi pm akafunga Kwa muda,,,
Noma sna🤣🤣Hapo kwenye kuombea watu sasa 🙌
Machawa🤣🤣🤣,Sasa si pesa zake😁maana hamsaidiki Kwa chochote😁Humu tuko macho. Tukijua tu una pesa hata ukitukanwa na member mwingine basi huyo memba tutamshambulia kwa makombora ya kibalistiki ili bosi usiumie kisaikolojia.
😂🙌🙌🙌🙌🙌Ety anaombea mpaka watu duu,, mtumishi wa jf
Hata hili litapita tuu
Dogoli alimchangia Lissu milioni saba, wapiga vizinga tukajikuta tunapigana vilumbo kunako PM yake.Nani alikuwa mnufaika wa hizo buku 7
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dogoli alimchangia Lissu milioni saba, wapiga vizinga tukajikuta tunapigana vilumbo kunako PM yake.
🤣🤣🤣🤣Hata hili litapita tuu
Magumu yakizidi jua furaha inakuja🤣🤣🤣🤣🤣
Ni katika ile hali ya kujifariji tu kwamba, labda kesho atanipa pesa n.k.Machawa🤣🤣🤣,Sasa si pesa zake😁maana hamsaidiki Kwa chochote😁
Daaah😁,hakuna pesa ya hivyo😁,,,,akupe tu🙌Ni katika ile hali ya kujifariji tu kwamba, labda kesho atanipa pesa n.k.
Imani inaponya...Daaah😁,hakuna pesa ya hivyo😁,,,,akupe tu🙌
Hizi picha unzitoaga wapi mkuu
Ungetafta mganga kwanza kabla ya vyoteImani inaponya...
Sikuwaza hivyo.Ungetafta mganga kwanza kabla ya vyote
😁😁😁😁,nyie watu daaah.Imani inaponya...