Hahaha,,Bro Mshana Jr mimi najua ID yako moja ya kike
Mkuu hebu fafanua kidogo hapo 😁😁Mimi ukunipiga kizinga nikatumia pesa bas ujue iyo pesa ndan yake inakiumbe Cha buku jero uhangaike nacho😂😂😂
Nimecheka🤣🤣🤣,Kweli kabisa jamaa alitoa milioni 7, baada ya dakika Tano tukawa tumejazana kwenye pm yake 😂
Eleza kwa undaniMkuu hebu fafanua kidogo hapo 😁😁
Kumbe 😁😁Kuna wakati huwa wanajisahau.. Basi tu huwa tunasitiriana
Uspime mkuu!Nimecheka🤣🤣🤣,
Ungempa tu🤣🤣🤣,,Mbona nilituma ad risit ya malipo ndo mwana akaona aje na utambulisho mwingine anipe kizinga
Ila ID za JF ..🙌🏿 kuna yule mwana akafiwa na mtoto Kenya halafu tukamchangia mapesa mengi tuu.. Ila njia ya muongo fupi😂
Mimi tena nieleze niniEleza kwa undani
Hahaha 😂
Labda zilikuwa za kinyamkela🤣🤣Uspime mkuu!
Sio kweli pesa chache ndio mbayaWanasema Pesanyingi ni mbaya 😁
Kuna hii siku hii🙌🏿..halafu elnino ikanyesha hapohapo.. Kumbe nilikuwa nqpangwa🤣.. Nyau kabisa🤣
View attachment 3668009
Sasa ulijuaje kama na wengine wameenda 😁Kweli kabisa jamaa alitoa milioni 7, baada ya dakika Tano tukawa tumejazana kwenye pm yake 😂